Humphrey Polepole: Jaji Ntemi alitufuata CCM akatuomba tumpelekee orodha ya Mawakili tunaotaka wafungiwe

Humphrey Polepole: Jaji Ntemi alitufuata CCM akatuomba tumpelekee orodha ya Mawakili tunaotaka wafungiwe

Hakuna ajabu yoyote, hata Yesu pia hakutambuliwa na kusulubishwa, hivyo ni kweli hawa majaji wa voda fasta, kiukweli kabisa sijabahatika kuwatambua wote!.
P
Kama huwatambui kwa nini ulisema ni mchezaji wa mpira comment yako ya kwanza umeandika as if unamjua umekuja kuumbuliwa unatafuta utetezi wa kijinga
Na hii inaonyesha watu mnasomea ili mpate vyeti na sio elimu
 
Inasikitisha sana, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Mbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?

Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.

View attachment 2821320
Duh,
Huu mhimili wa mahakama na ule wa Bunge vimegeuka matawi ya sisiemu, imekosa weledi na haina tija kwa wananchi
 
Mbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?

Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.

View attachment 2821320
Halafu ndiyo wapumbavu wa CCM wanasema kama mnaona kuna wizi wa kura nendeni mahakamani sasa majaji wenyewe ndiyo hawa kuna mahakama tena Tanzania?
 
Kama itathibitisha tuhuma hizo, sioni shida, ni sawa tu.
Kwani Jaji asingojee aletewe shauri mahakamani kama sheria inavyoelekeza bali yeye ndiye aombe CCM impelekee orodha ya mawakili isiyowapenda nawe unaona ni sawa? CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
JamiiForums1389173211.jpg
FB_IMG_1604027510826.jpg
 
Hii kauli ndio inathibitisha yanayotokea sasa, inasikitisha na kushangaza sana kuona majaji wameamua kugeuka majambazi wanaopora haki za wengine, ili kumfurahisha bosi anayewapandisha vyeo.

Samia lazima atuthibitishie uhai wa kauli zake anazotoa kila siku kuwataka majaji watende haki, atuoneshe yupo tayari kusimamia haki hata kama haki hiyo itayagusa maslahi yake kwa namna moja au nyingine.

Lakini kinyume na hapo, akiwaacha hao majaji waendelee kuwakandamiza wapinzani wake kwa maslahi yake, basi atambue zile kauli zake za kutaka haki itendeke kwenye idara ya mahakama zitabaki huko huko majukwaani tu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Walianza polisi kugeuka majambazi kuwaibia raia kisha kuwaua tukirejea kesi ya Zombe na hii ya sasa ya Polisi kule Lindi, sasa imekuwa zamu ya majaji na mahakimu kuwa majambazi kupitia mahakama.
 
Kama huwatambui kwa nini ulisema ni mchezaji wa mpira comment yako ya kwanza umeandika as if unamjua umekuja kuumbuliwa unatafuta utetezi wa kijinga
Na hii inaonyesha watu mnasomea ili mpate vyeti na sio elimu
Duh humu ndani siku hizi madogo wengi mpaka basi, Tanzania Mtemi Ramadhan maarufu ni yule mchezaji wa Simba!, Jaji Mtemi Ramadhan ndio namsikia leo!. Sio kila aliyesomea sheria amefuata cheti!. Nime graduate 2007 cheti nimepewa 2017 , uwakili nimepewa 2022 na sijakanyaga mahakamani!.
P
 
Shukrani sana..
Nimependa Hilo Jibu linaonyesha Honesty

Na nimesoma hizi nyuzi zako zote nakufatilia sana hapa jf na ni mmoja wa watu wanaosoma sana mabandiko yako Tangu mwaka 2009..

Ila tu ulinishangaza kusema humjui mtu huyo ikuwa wewe ni mwanahabari mwandamizi na Advokate wa mahakama kuu
Hivi mayala uanasheria wake ni wa makaratasi baada ya kuhitimu
Au ,maana sijawahi muona kwenye pilika pilika hapo mahakamani [emoji1]

Ova
 
Duh humu ndani siku hizi madogo wengi mpaka basi, Tanzania Mtemi Ramadhan maarufu ni yule mchezaji wa Simba!, Jaji Mtemi Ramadhan ndio namsikia leo!. Sio kila aliyesomea sheria amefuata cheti!. Nime graduate 2007 cheti nimepewa 2017 , uwakili nimepewa 2022 na sijakanyaga mahakamani!.
P
Ni jaji NTEMI not MTEMI

Ova
 
The man is more than correct
Kuna mchakato anauelezea kuhusu vikao na uchunguzi ndio ije maamuzi
Siioni shida hapo jaji yupo sawa

Huyo Jaji kakosea sana. Kwa mfumo wetu wa mahakama Jaji ni adversarial, hatakiwi kuomba kesi Bali analetewa kesi. Sasa Jaji anaenda CCM na kuwaomba wamletee kesi inaonekana Kuna shida. Ndio maana akina Fatma Karume alifutiwa uwakili kisa ujinga Kama huu. CCM kama chama tawala kitapeleka majina ya mawakili wanaoikosoa.
 
Mbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?

Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.

View attachment 2821320
Mungu ibariki JF
 
Duh humu ndani siku hizi madogo wengi mpaka basi, Tanzania Mtemi Ramadhan maarufu ni yule mchezaji wa Simba!, Jaji Mtemi Ramadhan ndio namsikia leo!. Sio kila aliyesomea sheria amefuata cheti!. Nime graduate 2007 cheti nimepewa 2017 , uwakili nimepewa 2022 na sijakanyaga mahakamani!.
P
Sio utoto usipende kuwa mjuaji wa kila kitu ilihali kuna mambo huyajui
 
Mbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?

Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.

View attachment 2821320
I hoped judges are independent and professional! But this one shows the true picture of our corrupt systems! So where do we go? what do we do? In order to get our rights? ALARM!!! ALARM!! ALARRRRRRm!
 
Back
Top Bottom