Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Mtu unakuwaje hujielewi kiasi hiki!!? Maana huu uhuni alipaswa aufanye siri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapa Tanzania ...hata bila kufanya siri mambo yanaonekana kwa macho ...Mtu unakuwaje hujielewi kiasi hiki!!? Maana huu uhuni alipaswa aufanye siri.
Shida ni kwanini yeye awafuate badala ya yeye kupelekewa mahakamani! Ni mwema sana?Kama itathibitisha tuhuma hizo, sioni shida, ni sawa tu.
Shida ni kwanini yeye awafuate badala ya yeye kupelekewa mahakamani! Ni mwema sana?
Ndo maana juzi juzi Rostam alisema hakuna mahakama watu wakamshambulia bali ndo ukweli wenyeweI hoped judges are independent and professional! But this one shows the true picture of our corrupt systems! So where do we go? what do we do? In order to get our rights? ALARM!!! ALARM!! ALARRRRRRm!
ThanksNi jaji NTEMI not MTEMI
Ova
Auwawe kwa kupigwa maweNtemi akamatwe haraka
Kuna ibayya gami? KuziRaisaliwaomba viongozi wa chama watoe maoni yao kuhusu Katiba, kwa nini hakuwaomba Wasabato au Walokole? Maoni ni maoni tu haja yake niMbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?
Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.
View attachment 2821320
Pimbi hawaishi nchini. Mawakili wanawajibika Kwa Chama cha siasa?Kama itathibitisha tuhuma hizo, sioni shida, ni sawa tu.
Kutetea ujinga kunahitaji uwe na kiwango Fulani cha upumbavu.The man is more than correct
Kuna mchakato anauelezea kuhusu vikao na uchunguzi ndio ije maamuzi
Siioni shida hapo jaji yupo sawa
Pimbi hawaishi nchini. Mawakili wanawajibika Kwa Chama cha siasa?
Kwanza ni aibu kusema hiyo ni mihimili.Duh,
Huu mhimili wa mahakama na ule wa Bunge vimegeuka matawi ya sisiemu, imekosa weledi na haina tija kwa wananchi
Yuko sawa kivipi yeye ni rpc ? Hii ni tofauti na COVID-19 inavyoshughulikiwa?The man is more than correct
Kuna mchakato anauelezea kuhusu vikao na uchunguzi ndio ije maamuzi
Siioni shida hapo jaji yupo sawa
Mkuu kuna mambweha wamefunguliwa zizini wapo humu kutetea kila kitu wakiongozwa na yule muuaji mueneza ufisi aka bashiteYuko sawa kivipi yeye ni rpc ? Hii ni tofauti na COVID-19 inavyoshughulikiwa?
Nchi hii ipo mikononi mwa watu wa hovyo sanaMbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?
Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.
View attachment 2821320
Tunayajua sana haya, kila idara inaendeshwa na CCM, uhamisji, polisi,nkMbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?
Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.
View attachment 2821320