JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Na mimi nasema wacha uendelee.Mnyukano unaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nasema wacha uendelee.Mnyukano unaendelea
Mropokaji katika ubora wake.....Nimealikwa na Star ⭐️ TV nimekubali kwa sharti moja kwamba Mjadala ujikite katika kujenga na kuweka mbele Maslahi Mapana ya Nchi yetu!
NB: Ukitaka kujua NB ya leo fuatilia Star ⭐️ TV saa 3:30 Usiku na tutakuwa hewani pia! Mjuze na mwingine! https://t.co/HOoJjoCh4K
View attachment 2031707
Ana ujana gani?!!!Humphrey ndio hazina pekee ya vijana waliobaki!
Kudos
Tema mate chini kwa dhihaka meku.....Polepole anajua nchi ina marais wawili. Mmoja feki anayekaa mbelembele , mwingine wa ukweli yuko nyumanyuma na ndiye anayemfanya huyu wa mbele kikaragosi chake.
Anasikilizwa na "mapopoma" wasio na uelewa mpana wa MAMBO ya nchi.....Huyu jamaa kaishiwa hivi kuna watu bado wanamsikiliza?
Mami nasubiri kwa hamu! Nyanda, huwa ana maswali CHOKOZI sana. Sina shaka kitakuwa kipindi kizuri, kutokana na aina ya mgeni, na huyo muandaaji kipindi!Sawa nitamsubiri kwa hamu zoteeee
Huyu ndo raisi anayesubiriwa kwa ham saaanaaa. Polepole kaka yangu na mzalendo Mungu akubarikiiii. Ngoja niangalie na kusikiriza madini yako.Nimealikwa na Star ⭐️ TV nimekubali kwa sharti moja kwamba Mjadala ujikite katika kujenga na kuweka mbele Maslahi Mapana ya Nchi yetu!
NB: Ukitaka kujua NB ya leo fuatilia Star ⭐️ TV saa 3:30 Usiku na tutakuwa hewani pia! Mjuze na mwingine! https://t.co/HOoJjoCh4K
View attachment 2031707
Anataka kurudi kwenye laini lakini ni ngumu alishaingia chaka neneHuyu dogo kaishiwa kichwani,sioni anachokiongelea
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Huyu Sukumagang Masalia adui zake sio Chadema ila ni utawala na Watawala wa sasaChadema na majizi wote matumbo joto
Ndiyo nani huyo Polepole hadi mtu awashe Star TV na kumsikiliza? Ni ndugu yake Kingai?Nimealikwa na Star ⭐️ TV nimekubali kwa sharti moja kwamba Mjadala ujikite katika kujenga na kuweka mbele Maslahi Mapana ya Nchi yetu!
NB: Ukitaka kujua NB ya leo fuatilia Star ⭐️ TV saa 3:30 Usiku na tutakuwa hewani pia! Mjuze na mwingine! https://t.co/HOoJjoCh4K
View attachment 2031707
Yang mhojwaji anajiwekea mashart tenaNimealikwa na Star [emoji294]️ TV nimekubali kwa sharti moja kwamba Mjadala ujikite katika kujenga na kuweka mbele Maslahi Mapana ya Nchi yetu!
NB: Ukitaka kujua NB ya leo fuatilia Star [emoji294]️ TV saa 3:30 Usiku na tutakuwa hewani pia! Mjuze na mwingine! https://t.co/HOoJjoCh4K
View attachment 2031707
Hivi Chakubanga lilitokanaje tokanaje jina hiloLeo nita lala mapema sana. Sina muda wa kumsikiliza Chakubanga
Ukijibiwa naomba unitag mkuu
Vibaya mno. Kalamaganda na Majaliwa kimyaaAnataka kugain populate aunde chama chake.Ule utawala wa vichaa baada ya kufa kilanja wao wamepoteana hawa kenge
Alisimamia biashara haramu kuwahi kutokea katika taifa letu. Siasa za hovyo za uhasama angejiuzuru walau ningemwelewa.Kwa hiyo Polepole si kibaraka?!!
Rejea alivyonunua wabunge wa UPINZANI na kuiharibu demokrasia ya nchi hii.....
Jamaa hovyo kabisa....alituharibia CCM yetu kwa chuki ,sifa na maslahi binafsi......bure kabisa!Alisimamia biashara haramu kuwahi kutokea katika taifa letu. Siasa za hovyo za uhasama angejiuzuru walau ningemwelewa.
Sio kweli. Tanzania ina rais zaidi ya mmoja. Mmoja kikaragosi na mwingine wa ukweli.Tema mate chini kwa dhihaka meku.....
Mbali na propaganda mfu Tanzania ina rais mmoja tu mwenye "mandate" zote ambaye ni mh.SSH!!!
#SiempreJMT
#NchiKwanza
Ccm yenu iliyolifukarisha taifa ilishaharibika kabla ya polepole, msimsingizie bure, enzi hizo akina Subash Patel na wahuni wengine wanaingia ikulu kama chooni. Enzi za yule mbembeaji kule Jamaica.Jamaa hovyo kabisa....alituharibia CCM yetu kwa chuki ,sifa na maslahi binafsi......bure kabisa!