Kaka P,naomba link ya mazungumzo ya Ndugu Humphrey Polepole.Duh...!. Wabongo kwa husda, fitna na majungu.
Nimemsikia Balozi Polepole, amesisitiza utaratibu utafuatwa.
P
Dawa ni silaha kwa wenye akili.Nyie mna weledi kwenye tiba kuliko Cuba au ndiyo mwendelezo wa siasa maandazi!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Yeye atupe tu sisi binafsi wenye kuhitaji watakitafutia. Hata kuleta hii information tu ni faida kwetu.Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.
Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.
Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.
Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?
Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
Huyu mtaalam anasema dawa haziwezi kuingia nchini, mpaka zifanyiwe utafiti na wataalamu wa Tanzania. Je, wataalamu wa Cuba na wa Tanzania ni wataalamu wapi wapo juu kitaalum? Obviously jibu ni wa Cuba. Aidha niongeze tu kuwa Cuba kuna mabingwa wa udaktari wengi sana. Na ni wa viwango vikubwa. Nakumbuka wakati wa Vita na Idd Amin miaka ya 1978/79 madaktari wa Cuba walifika kwenye uwanja wa mapambano outta huduma ya tiba kwa askari wa ki Tanzania . Pia, niongeze kwa kumpongeza baloz polepole kwa Kaz nzuri anayofanya kama baloz. Yaan anawaonyesha viongoz wetu kwamba baloz anatakiwa afanye nn. Sio hawa ma baloz wa vimemo wanaokwenda Kumar na kustarehe. Nakumbuka Baloz Polepole alipokuwa Malawi aliwaletea Chuo Kikuu Huria dili la kufundisha ki Swahili. Huyu akipelekwa Italia au France au UK atawaletea wazazi dili la watoto kwenda kwenye academy za ulaya. Ni so innovative guy. Chaos.Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.
Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.
Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.
Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?
Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
Ila Paulo kwani hujasikia kwamba WHO wamekataa kusajili dawa zao nyingi? Nchi haiwezi kujiingiza kwenye huo utaratibu, ambacho kinhmgefanyika kama viongozi wetu wanatumia akili hilo swala lingekuwa la ki intelligencia kisha likaratibiwa ki informal na serikali na ikafanywa as if watu binafsi ndiyo wanaohusika na siyo serikali. Tatizo ni huo wivu wa wabongo na roho mbaya yetu watu weusi tusiojipenda.Duh...!. Wabongo kwa husda, fitna na majungu.
Nimemsikia Balozi Polepole, amesisitiza utaratibu utafuatwa.
P
Mkuu Ame, WHO ni mabeberu, wanatoa ithbati kwa madawa ya ulaya tuu!, nchi nyingi zilitengeneza dawa za covid, lakini WHO walizigomea because its a big business!.Ila Paskali kwani hujasikia kwamba WHO wamekataa kusahili dawa zao nyingi? Nchi haiwezi kujiingiza kwenye huo utaratibu, ambacho kinhefanyuka kama viongozi wetu wanatumia akili Hilo swala lingekuwa la ki intelligencia kisha likaratibiwa ki informal na serikali na ikafanywa as if watu binafsi ndiyo wanaohusika na siyo serikali. Tatizo ni huo wivu wa wabongo na roho mbaya yetu watu weusi tusiojipenda.
Hata wangewaunganisha na traditional medicine basi ikafanywa kama tiba ya asili bila ku raise voice za kisiasa kama hivi.
Ukisikiliza maelezo ya Polepole kwenye clip inayozunguka mtandao inaacha maswali kadhaa:-Pole pole anapiga kazi , ana uwezo wa kujenga hoja na anayo maono makubwa kuhusu kesho ya Tanzania.
Kwa akili alizonazo hawezi kukubalika ndani ya CCM kirahisi na mwisho wa siku watampiga Majungu hata nafasi yake ya Ubalozi apokonywe. Waliona akiwa Malawi anafaidi wakampeleka Cuba . Amefika Cuba ametulia na kufanya mazungumzo na mamlaka husika na zimemwelewa, amepata fursa ya kuleta dawa tiba kwa watanzania.
Kuonyesha wana CCM walivyo na wivu na chuki, imemlazimu yeye binafsi afanye mazungumzo na hospitali ya Kairuki na kuwaomba wenye hospital nyingine wamtumie majina ya wagonjwa. Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono. Maana yake wapo watu wanajadili namna yakumkwamisha kwa kisingizio cha taratibu za kuingiza dawa nchini.
Watafanya hivyo kumkwamisha kwa sababu wao siyo wahanga wa magonjwa haya manne anayowaza kutusaidia mdogo wetu Polepole. Wapo watu wizara ya Afya watataka waende Cuba kujiridhisha na dawa hizi kwa gharama za serikali au cuba , jiulize kama hizo dawa hazipo nchini wao walizosomea wapi hadi wakazifanyie uchunguzi?
Nimeandika haya kwa sababu kwenye moja ya droup la whatsapp nimeona kiongozi mmoja Mwanza mwenye taaluma ya dawa akisema Polepole hatofanikiwa kwenye mpango wake kwa sababu hizo dawa anqzosema hazijasajiliwa na Mamlaka za Tanzania na kwamba serikali haiwezi kuziruhusu ziingie nchini. Pia ameongeza hakuna dawa zinaingizwa nchini kwa sababu tu balozi kaomba, dawa zinatakiwa zifanyiwe utafiti na wataalam wetu aidha kwa wao kwenda Cuba au sample kuletwa Tanzania. Haya mawazo ndiyo mtizamo wa wasomi wengi wa Afya, ndio mtizamo wa washauri wa serikali kwamba wao dawa hawana lakini wanataka wapewe wazichunguz3....Pole pole usikate tamaa tunahitaji msaada huu wa tiba kwa ajili ya ndugu zetu. Ila fanyia utafiti vikwazo vinavyotarajiwa kuwekwa na wanasiasa wenzako kukuzina mdomo na kukufanya uonekane umewalaghai wananchi.
Sasa hapa kama hoja ni serikali kukataa kujiingiza kwenye biashara ya dawa ambazo WHO hawapendezwi nazo, aliyekosea ni PolePole! Kwa yeye kuja public na kutaja moja ya hospitali huoni atawafanya hao waanze kufuatilia kimya kimya? Kumbuka balozi ni sehemu ya serikaliIla Paulo kwani hujasikia kwamba WHO wamekataa kusahili dawa zao nyingi? Nchi haiwezi kujiingiza kwenye huo utaratibu, ambacho kinhefanyuka kama viongozi wetu wanatumia akili Hilo swala lingekuwa la ki intelligencia kisha likaratibiwa ki informal na serikali na ikafanywa as if watu binafsi ndiyo wanaohusika na siyo serikali. Tatizo ni huo wivu wa wabongo na roho mbaya yetu watu weusi tusiojipenda.
Hata wangewaunganisha na traditional medicine basi ikafanywa kama tiba ya asili bila ku raise voice za kisiasa kama hivi.
Nakubaliana na wewe. Hii ya kuja public kweli hata Mimi sikumwelewa kusudi lake ni lipi...Sasa hapa kama hoja ni serikali kukataa kujiingiza kwenye biashara ya dawa ambazo WHO hawapendezwi nazo, aliyekosea ni PolePole! Kwa yeye kuja public na kutaja moja ya hospitali huoni atawafanya hao waanze kufuatilia kimya kimya? Kumbuka balozi ni sehemu ya serikali
Kama ameona kuna walakini alitakiwa avishawishi vyombo vya kiitelejensia nyuma ya pazia viwasaidie watu binafsi kupata hizo dawa, sio yeye kuja public
Tunafahamu WHO ni ya mabepari na cuba ina mlengo wa kijamaa kamwe hawawezi kuiva hasa kwenye ishu kubwa kama biashara ya dawa ambayo kila bepari anaitolea macho
Story za vijiweni zinasema kuwa hata corona imeisha kwasababu wakubwa walianza kugombania soko la chanjo. Kila mmoja aligundua chanjo yake na akataka WHO aidhinishe, ikatumika hekima kama ile ya "Berlin conference" ikabidi ugonjwa upishe kwanza malumbano
Dawa ni siraha na biashara kubwa sana, ni vizuri zingetumika mbinu za medani kusaidia wahitaji kuliko kuingiza siasa
Nyie ndio watu mnaojifikiria nyinyi tu badala ya kuwafikiria maelfu ya wananchi ambao wanateseka na maradhi ambayo hayana tiba nchini. Pole pole kwa maono yake anataka kuwasaidia wananchi hao na ndio maana anataka majina yao ili idadi Yao ifahamike. Idadi Yao ikifahamika itakuwa rahisi kujua kiasi cha dawa kinachoweza kuletwa nchini ; dawa zikiletwa itakuwa rahisi kuwasiliana na wagonjwa ambao majina yao yameorodheshwa.Kwa nini Polepole anataka atumiwe majina ya wagonjwa??
Kuja public kusudi lake ni kuona wananchi wa chini wanafahamu uwepo wa dawa hizi ili nao wafaidike!! Ama sivyo mafisadi wataingilia kati na walengwa wa Polepole hawatafaidika!!Nakubaliana na wewe. Hii ya kuja public kweli hata Mimi sikumwelewa kusudi lake ni lipi...
Kwani WHO wanakataza kutumia dawa za kienyeji hapa Tanzania? Au kufuatana na mabwana zao wa Marekani WHO are part of the enforcement of the embargo on CUBA! Hapana kuingiza Siasa kwenye afya ya wananchi waache dawa zije!! Kwani WHO waliwakaza kunywa kikombe cha BABU?Sasa hapa kama hoja ni serikali kukataa kujiingiza kwenye biashara ya dawa ambazo WHO hawapendezwi nazo, aliyekosea ni PolePole! Kwa yeye kuja public na kutaja moja ya hospitali huoni atawafanya hao waanze kufuatilia kimya kimya? Kumbuka balozi ni sehemu ya serikali
Mnatamani tusinywe mitishamba!!! Kwa staili hii. Chanjo ya COVID mlifanya clinical trials lini?Pamoja na kazi nzuri ya Polepole, lazima sheria, kanuni na taratibu zinazohusu uingizaji dawa zifuatwe.
Dawa zaweza kusababisha madhara zaidi ya kutibu, hivyo weledi unahitajika na siyo siasa.
Kuna Balozi alikuwa China Kila mara akawa anakuja front/ mitandaoni kutangaza furusa zilipo China kuanzia Mihogo mpaka nafaka. Naye alikuwa anafanya ubinafsi?2. Kwa hoja zako anaweza kukosa uungwaji mkono wa wizara kwasababu hili jambo anataka kulifanya kibnafsi na sio kiserikali. Yeye kama balozi kazi yake ilikuwa kutafuta fursa na kuishawishi wizara ya afya kuchangamkia fursa
Tatizo mnataka kuiondoa ccm mkiwa hamna mbadala wa ccm.Maadui wakubwa wa nchi hii ni;
1. Ujinga
2.Umasikini
3.Maradhi, na
4. CCM.
Ili nchi hii iendelee yatupasa kuondoa hao maadui wakubwa tulio nao. Katika formula ya kuondoa tukianzia chini namba 4 itakuwa rahisi sana kukabiliana na hao wengine kwa ulaini.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Akina nani wanafanya kazi pasipo kutajeti Vyeo?Umeandika: ''Wizara ya Afya hakuna Sehemu kwenye website wala mitandao ilipoonyesha kumuunga mkono.''
Ewe chawa wa Polepole, kwanini ni lazima wizara imuunge mkono kwenye mitandao? Anyways, hawa ndiyo CCM, kila kitu kinafanyika ili mtu apate au asipate umaarufu. Hakuna ambaye anafanya jambo kwa moyo wa kweli. Nchi hujengwa na wenye moyo na siyo wataka vyeo. CCM wote wanafanya mambo kwa kutaka vyeo. Hii ni hatari sana wasipoondolewa kwenye uongozi wa nchi.
Polepole hafai kuendelea kuwa balozi.Ukisikiliza maelezo ya Polepole kwenye clip inayozunguka mtandao inaacha maswali kadhaa:-
1. Kulikuwa na sababu gani ya yeye kuja hadharani? Yeye kama balozi ameshindwa kabisa kupata takwimu za watu wenye changamoto hizo kutoka wizara ya afya na maeneo wanakopatikana hadi atumie mitandao ya kijamii kuwatafuta?? Huo ndo utaratibu wa serikali wa kufanya kazi?
2. Kwa hoja zako anaweza kukosa uungwaji mkono wa wizara kwasababu hili jambo anataka kulifanya kibnafsi na sio kiserikali. Yeye kama balozi kazi yake ilikuwa kutafuta fursa na kuishawishi wizara ya afya kuchangamkia fursa
3. Tuseme ameileta hiyo fursa serikalini/ wizara ya afya wakaipiga danadana au waka reject kabisa. Kama aliona option ni kuwashirikisha hospitali binafsi bado hakuwa na sababu ya kuja kwenye mitandao! Angeweza kutumia mifumo iliyopo huko huko hospitali binafsi halafu wakatumia mifumo yao kuingiza hizo dawa nchini na kufikisha taarifa kwa wenyechangamoto. Yeye kuja public anaweza kuwachonganisha na mamlaka husika kama kweli wame ignore hoja zake kama unavyohisi
PolePole ni mchapa kazi lakini pia anapenda sana kuonekana. Wakati mwingine unatakiwa kupiga kazi halafu una maintain low profile hasa kama umenusa hali ya mizengwe kwenye unachotaka kufanya wakati wewe unaamini kinamanufaa
Hivi zile juice alizofuataga muokotwa jalalani kwa ndege yetu kule Madagascar ziliishia wapi mkuu?Kwa comments hizi nadhani tumeelewa tatizo la Watanzania lilipo. Hawa wanaopinga agenda ya pole pole na kuweka urasimu ni wengi sana. Wanaona wivu kwamba kwanini awe polepole na siyo wao waliobuni hii kitu.
Pole pole nimesema ana akili nyingi sana, anafahamu siasa za Tanzania zilivyo na anaelewa fika kwamba anaweza kukwamishwa kwa sababu tu waliopo ofisini hawana ndugu zao wanaumwa.
Babu wa Loliondo alipoanzisha kikombe cha babu hakuna mfamasia wala MSD aliyeweka kikwazo. Pole pole anaposema kuna dawa ambazo watanzania wanazitaka na hazipo nchini he is serious.....wangapi wameenda Cuba na hakuna aliyewahi kutuambia haya? Leo hi wenye fedha ambao wana matatizo ya sukari na vidonda miguuni watakata tiketi kwenda kutibiwa Cuba.......wakifika huko hakuna atakayeuliza sheria na taratibu
Mwenzetu huyu katupa fursa si kwa manufaa yake ni kwa manufaa ya wagonjwa ikiwemo wewe ambaye leo hii ni mzima.....hakuna ajuaye kesho .
Polepole kataa wauni tuletee dawa, naamini Waziri mwenye dhamana na Mhe. Rais wapo positive kwenye hii hoja. Wanaojifanya wataalam walipaswa kwenda Cuba kabla ya wewe kuwaeleza uponyaji uliopo huko