Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Mimi nilihitaji uniambie zilipitia utaratibu gani na zilienda kutumiwa na nani kipindi zilipokuja.Lakini si zilikuja? Sasa hizi za Cuba mnazbania kwanini? Kwavile zinampandisha Chati Pole pole au mnataka kujipendekeza kwa Marekani kuwa nyinyi nanyi mnawawekea embargo Cuba? Acheni ujinga huo ; Rais wenu mstaafu “Kamando” pengine angewahi kupata dawa hizo saa hizi angekuwa anaona!!
Wamshughulikie kipindi cha Magu alikuwa ni mjinga snTaratibu na sheria zipo kila mahali, hata Mbinguni.
Changamoto ni watu wa kuzisimamia kwa weledi.
Wewe boya, unamshutumu Polepole kwa kufanya kazi yake ya ubalozi? Hiyo ndio kazi aliyotumwa kufanya economic diplomacy ili kuongeza biashara na nchi ya Cuba!Polepole ni kati ya watu wajinga ambao huwa wanaona Tanzania ni mali binafsi
MumeoWewe boya, unamshutumu Polepole kwa kufanya kazi yake ya ubalozi? Hiyo ndio kazi aliyotumwa kufanya economic diplomacy ili kuongeza biashara na nchi ya Cuba!
Zili kwenda kuchukuliwa na ndege ya serikali na zilipofika zikatumiwa na viongozi wa serikali wakina Kabudi etc. Una swali zaidi?Mimi nilihitaji uniambie zilipitia utaratibu gani na zilienda kutumiwa na nani kipindi zilipokuja.
Mimi huwa siko tayari kuwa mpambe wa mtu,bali nahitaji kuwa na wapambe.
Sihitaji kuwa mlinzi wa mtu,bali nahitaji kuwa na walinzi.
Acha üşengeç wako jibu hoja! Polepole amewazidi akili nyie maboya!Mumeo
Kamzidi na mumeo piaAcha üşengeç wako jibu hoja! Polepole amewazidi akili nyie maboya!
That is afrika.iko slow Sana.Taratibu na sheria zipo kila mahali, hata Mbinguni.
Changamoto ni watu wa kuzisimamia kwa weledi.
Sasa muambieni Polepole naye akazichukue na wakatumie kwa namna ileile.Zili kwenda kuchukuliwa na ndege ya serikali na zilipofika zikatumiwa na viongozi wa serikali wakina Kabudi etc. Una swali zaidi?