Humphrey Polepole ni nani?


Unajaribu kupindisha mada. Mahanga (mzee wa kura za hotpot) na Lowassa ndio wasemaji wa CHADEMA?
 
Unatuletea mambo ya gwajima.weka cheti chake
Halafu hata kama ni kweli failure,yule ni msemaji tu kuliko wewe mnywekiti wako hakufanya mtihani wa form four na form 6 ni zero,anaburuza maprofessor
 
Kudiscus Maswala ya Elimu Kwa Baadhi Ya Viongoz Huku Bado wapo Madarakan Wanakula Tuu pesa Ni Upuuzi
 
Mi hili jukwaa linanishinda sana bora nibaki MMU na kwa wakubwa tuu
 

Kila mara nilikuwa nasema hapa jamaa alipata zero kidato cha sita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…