Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Huyu polepole anatumiwa na mataifa ya nje kishamaliza kazi yake ya rasimu apumzike.dawa yake inakuja:
hata mimi nina mashaka anafanya biashara. kama anataka aandikishe chama cha siasa sio kuendelea kupambana na bmk. ukiwa tume ukishakabidhi sio wajibu wako kushinikiza kukubaliwa maoni yako.
 
Polepole ni shujaa wetu mpya waTaifa. Ni kijana tofauti sana na walewa ccm wanaoendekeza njaa kiasi cha kutumiwa na kina sita, lukuvi na wasira. Polepole ni moto wakuotea mbali kwa kina makonda.
 
Ndio maana nimesema tusubiri tuone hoi movie itaishaje, na sasa tupo kwenye episode ya UKAWA kwenda Ikulu, sidhani kama CCM hawafahamu wanachokifanya, tusubiri
UKAWA kutoka nje ya Bunge ni sahihi sana kwa anayefahamu ubabaishaji unaondelea kwa sasa. Ukweli ni kwamba taratibu zimevurugwa sana kiasi kwamba vifungu muhimu vimebadilishwa au kupitishwa vifungu kwa wingi was wajumbe si HOJA. Sote tafahamu wajumbe walio wengi Hawako Objective na wengi hawajui hata rasimu inazungumzia nini!
 
Wanaombeza Humprey Polepole wote ni machotara wa akili. Ndio maana nchi hii hatutakaa tuendelee. Watu wanaosema ukweli wanaonekana wote wabaya. Humprey polepole ni shujaa wa Taifa hili. Anasimamia anachokiamini. Wote wanaombeza ni maadui wa maendeleo na wanapaswa kupuuzwa mbali.
 
Huyu jamaa ni kichwa jana alikuwa anamwanga maziwa ITV via kipima joto.
Nina wasi wasi na uhai wake maana anaweza potezwa uyu zikajengwa sababu
 
POLEPOLE ni mzalendo mpya anayeng'a hakika mungu awe nawe daima
 
Kama kumbukumbu zako ziko sawa,basi alikuwa "black"

Nakumbuka lebo za Azania zilikua za rangi mbili tu. Group moja ilikua Red na group lingine ni blue. Zilokuwa zikigongewa chumba cha fine art pale juu karibu na 'Lake Azania'. Au rangi zilibadirishwa baadae. Nilikuwepo wakati wa Kisamo na Kwayu pia.
 
Hakika ni mtetezi wa wanyonge. mungu anawajua na anapendezwa na watakatifu walioko duniani. sauti ya polepole ni sauti ya mungu. na hata ccm wakiendelea kutumia nguvu kama GOLIATI kupinga sauti ya mungu. mugu wetu atatuinulia DAUDI ambaye kwa jiwe moja la kombeo tutamuua goliati na hata wafusi wa GOLIATI wataikimbia maiti ya shujaa wao.
 
Nakumbuka lebo za Azania zilikua za rangi mbili tu. Group moja ilikua Red na group lingine ni blue. Zilokuwa zikigongewa chumba cha fine art pale juu karibu na 'Lake Azania'. Au rangi zilibadirishwa baadae. Nilikuwepo wakati wa Kisamo na Kwayu pia.

Huenda hiyo ni kitambo sana kabla ya 1995 mkubwa. Kwa kipindi nilichokuwa pale (baada ya 1995), kila kidato kilikuwa na lrangi yake (kuanzia 1-6). Kulikuwa na NYEUSI, NYEKUNDU, KIJANI, BLUE, BROWN na nyingine imenitoka kidogo.

Nilikuwa pale kipindi cha Kwayu-headmaster, Charles, Maleko-academic, Muchwampaka-Nidhamu
 
Kupitia kaka Humphrey ni muhimu sana kwa sisi vijana ambao tutaitumia kwa muda mrefu zaidi ,hivyo tunapaswa KUSIMAMIA UKWELI mpaka mwisho.Katiba si Mali ya mtu , kundi , au chama cha siasa.Binafsi nawashangaa vijana ambao aidha kwa kuelewa au kutoelewa kukubali kutumika kubeba hoja ambazo hata nafsi zao haziamini wanayosema...vijana tuamke!
 
Back
Top Bottom