kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
hata mimi nina mashaka anafanya biashara. kama anataka aandikishe chama cha siasa sio kuendelea kupambana na bmk. ukiwa tume ukishakabidhi sio wajibu wako kushinikiza kukubaliwa maoni yako.Huyu polepole anatumiwa na mataifa ya nje kishamaliza kazi yake ya rasimu apumzike.dawa yake inakuja: