Kabla hujaenda mbali,tupe tafsiri ya uzalendo,isije kuwa unazungumzia uzalendo wa kitanzania.ule usio amini katika haki, na sheria, ule unaoamini katiba mpya itayaondosha maslahi ya wachache na kuzingatia maslahi ya taifa.Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu jamaa?[emoji1313][emoji1313]
Kama polepole yule wa tume ya warioba sawa,ila polepole yule wa uMC wa maccm hapana nasema hapana.Pole pole yupi?? Yule wa tume ya jaji Warioba au huyu aliyefurushwa juzi huko lumumba??
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo [emoji1313]l's ?[emoji1313][emoji1313]
Yule wa mavieite !!Pole pole yupi?? Yule wa tume ya jaji Warioba au huyu aliyefurushwa juzi huko lumumba??
Hizbollah wanaendeleaje na harakati?Kwani kufufua treni, na kujenga steglaz na kuwanyoosha kina acacia unadhan ni ushauri wa nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo [emoji1313]l's ?[emoji1313][emoji1313]
Kwani kufufua treni, na kujenga steglaz na kuwanyoosha kina acacia unadhan ni ushauri wa nani?
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo [emoji1313]l's ?[emoji1313][emoji1313]
😲😲🤣🤣🤣Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo [emoji1313]l's ?[emoji1313][emoji1313]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule aliyesema Tume ya uchaguzi ikiwa huru fisiemu wajiandae kukabidhi Ikulu au huyu mzee wa V8?
Ohoooo....mkuuUzalendo wa kuwaambukiza watu ukimwi makusudi. Ameumiza wadada wa CCM wengi akiwaahidi ubunge wa viti maalum. Nunda kabisa huyo