Humphrey Polepole: Shule ya Uongozi

Namheshimu kwa kuhifadhi msimamo. Sio wengine waliyobadilika kama vinyonga. Mwanzo tu pale kuona sabaya akitemwa wakashikwa na ganzi na kumtafsiri mama kwa kubahatisha au kwa uhakika. Wengine wakaanza kuomba msamaha etc mradi wasije fukuzwa mezani kula. Polepole anakeep on fighting kwa ideas za kutukuka na kubeba juu bendera ya ccm ya siasa ya ujamaa na kujitegemea bila hofu.
 
Tatizo la Polepole ni kwamba alijiwekea doa jeusi sana kwenye mchakato wa katiba mpya!! Kabla ya hapo alikuwa anang'aa sana kwenye harakati za jukwaa la katiba. Lakini baadaye akakubali kuuza uaminifu wake kwa bei ya "kukubalika" kwenye chama!! Vinginevyo kama atakuwa ameligundua kosa lake, na kujisahihisha kama inavyoelekea watanzania watamsamehe japo kwa sasa bado sana!! Polepole alitusaliti!! Tuko tayarj kumsamehe kama tukijiridhisha kuwa kwa sasa anatambua kuwa mtaji wake kubwa ni wananchi wala siyo chama!! Haimaanishi kuwa atoke ccm la hasha, ila inapotokea mgongano kati ya maslahi ya chama na maslahi ya wanananchi aegemee kwenye maslahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla!! Kama alivyoonesha msimamo wenye kufikiria maslahi ya Taifa kwenye suala la chanjo za covid19. Yaani kutumia mabilioni ya shilingi kwenye chanjo isiyoweza kumkinga mtanzania hata kwa mwaka mmoja tu haina maslahi kwa taifa!!! Ni wizi sawa na wizi mwingine tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…