Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
43ca1bf922655dee6064489ad1879ee5.jpg

Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
 
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" :~humphrey polepole
huku mbona kipo mkuu
kinaibaga kura kinabaki madarakani. kinatumia hizo hela kinanunua akina Mdee
 
Yeye na genge lao la Sukuma gang walipiga copy serikali iliyopita na kula keki mpaka kujisaidia ovyo bahati mbaya copy yao ika expire, wahuni wa Msoga wakafuata, wakajaribu na kufanikiwa kupiga copy yao mpya na wanakula keki mpaka kuvimbiwa.
Pole Pole anaumia tu, atulie tu kwa sasa wahuni wengine nao watafune.
Hii ni nchi ya wahuni tu, na inaendeshwa kihuni.
 
Wahuni waliopiga kopi serikali wapo.

Ndiyo hao wanatajwa na CAG lkn hawachukuliwi hatua. Pia ndiyo hao wanawabagaza wenzao kule Arusha kana kwamba wao ni malaika.
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Yaani hilo jamaa kaliona leo?
Tangu November 2005 serikali ilidurufiwa labda kama sasa ni serikali C hapo nitamuelewa.
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Mbona kitambo tu Abdul ndiye namba moko.
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Mbona anawasema indirect
 
Back
Top Bottom