Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

Duuh sikuwa kuliona hili bandiko alichoongea ndio kinachofanyika sasa hivi Kuna kikundi Cha watu wachache wamejiundia serikali Yao tofauti na ya wananchi na wanakula kisawasawa inaonekana hii ni michezo ya CCM sema jamaa aliamua kumwaga mboga baada ya kuondolewa kundini
Reply yako imekuja muda muafaka, leo nikiwa safarini nilikuwa naongea na msafiri mwenzangu yahusuyo nchi yetu Tanga na nyika.

Jamaa kaongea mwisho nikauzunika alafu sikujua kama nilipitiwa na usingizi hadi niliposhtuka.
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Ata sasa mbona Msoga Kingdom ndiyo wanaamua nani ateuliwe na nani asiteuliwe kulinda masilahi yao!!
 
Back
Top Bottom