Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Tanzania kuna
  1. Rost Tamu
  2. Msoga
  3. Mwashambwa
  4. Supika
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Atuambie yeye alificha ngapi maana mwendazake inasemekana alikutwa na 42 usd million in de house..
 
Mimi huwa nawaza hivi teuzi haziwezi kufanyika kwa mtu ambae ni ametoka masomoni chuo lakini cha ajabu wanajirudia walewale wanabadilishwa tu vituo
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Ndugu Polepole umekisoma hiki kitabu? Ufafanuzi wa kina kabisa wa post yako unapatikana humo ndani.

Nimeona wewe umeguswa pia humu ndani. Au labda ni mtazamo wangu
 

Attachments

  • Screenshot_20240218-030511_Canva.jpg
    Screenshot_20240218-030511_Canva.jpg
    421 KB · Views: 2
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Hapo ametoa mfano au ametueleza kuhusu mwanasesere,mtoa kopi na mchukua mapato?Maana ameongea kwa mtindo wa flashback.Tayari au bado?
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
#Polepole kataa wahuni #

Maelezo hayajitoshelezi
Hao wahuni wanaweza wezaje kufanya hivyo bila hiyo Serikali A kujua nini kinaendelea ???

Au ana maana A na B ndio wale wale ??
Tumeshasikia mikoa mingine wamegundulika wanazo control namba zao hao wezi 🙄👁😳
 
View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.

Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.

Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.


Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.

Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Huyu mjamaa mda wote anaongea nadharia kama kawaida Yao 😬😬
 
Back
Top Bottom