ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Deep State ni akina nani kwa mfano tumjue hata mmoja tu 👁🙄Polepole hajui kama hata sasahivi kuna serikali ndani ya serikali , hajui kama kuna deep state ndani ya government .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deep State ni akina nani kwa mfano tumjue hata mmoja tu 👁🙄Polepole hajui kama hata sasahivi kuna serikali ndani ya serikali , hajui kama kuna deep state ndani ya government .
Umetuzila ???Mtajuana wenyewe
Ova
Humphrey Polepole: unachokisema ndicho kilichopo Tanzania.View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Huyu shetani kasau nini nchini?View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Umesahau January, hawa ni mapacha wanneRostam, Abdul, Jk, ...
Hili genge ni smart
Maza hajui hata anafanya niniMie nakubaluana naye 100%
Hii sirikali ya bi tozo ni bosheni tu kama lile robot Eunice la nape...wapo wahuni walioliwekea sauti ya binadamu ili liweze kuongea kulingana na maneno wanayoyataka wao!!!.
Polepole ni zaidi ya shetani aseeTena huyo huyo Polepole alikuwa msimamizi wa biashara batili ya ununuzi wa watu kwa kutumia pesa ya walipa kodi
Mwamba bado anakomaa na wahuni.. shida hawataji majina.View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Huyu shetani kasau nini nchini?
Wanao ahirisha kufikiri kwa nafsiView attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Labda kaacha kuahirisha kufikiri kwa nafsiAlikutwa na nani?