Tanzania kunaWahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Atuambie yeye alificha ngapi maana mwendazake inasemekana alikutwa na 42 usd million in de house..View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Chakubanga alitengeneza mabilioni kwenye ile project haramu ya kununua wapinzani uchwara. Kwenye kichwa cha Waitara pekee alikula m300 na chapombe mwenyewe akaambulia m100 tu.Atuambie yeye alificha ngapi maana mwendazake inasemekana alikutwa na 42 usd million in de house..
Ndugu Polepole umekisoma hiki kitabu? Ufafanuzi wa kina kabisa wa post yako unapatikana humo ndani.View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Hapo ametoa mfano au ametueleza kuhusu mwanasesere,mtoa kopi na mchukua mapato?Maana ameongea kwa mtindo wa flashback.Tayari au bado?View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Ana matusi ya reja reja kweli kweli.Pole anakula mahela ya ubalozi huko alafu anamfitini aliyemchagua!!
Kwani rais ni goigoi kiasi gani mpaka iibuke serikali B naiamue mambo wakati tumemuweka rais wakutuwakilisha kilakitu
Hilo ni dongo kwa Rais Samia bila kupepesa macho hajui tuliosoma π¨πΊ tupo wengi siku hizi.Hapo ametoa mfano au ametueleza kuhusu mwanasesere,mtoa kopi na mchukua mapato?Maana ameongea kwa mtindo wa flashback.Tayari au bado?
Atakuwa anawatukana CHADEMA tu.Ana matusi ya reja reja kweli kweli.
SubhanAllah!πHilo ni dongo kwa Rais Samia bila kupepesa macho.
π€£π€£π€£Atakuwa anawatukana CHADEMA tu.
#Polepole kataa wahuni #View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole
Huyu mjamaa mda wote anaongea nadharia kama kawaida Yao π¬π¬View attachment 3005433
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza watu wote na maelekezo yanatoka kwenye Kikundi.
Kule Angola kikundi hicho kinaitwa FUTUNGO.
Wahuni wa Tanzania wanaweza kupiga Copy serikali yetu yani wao ndio wakawa kila kitu wao ndio wanatoa Maamuzi yote, halafu hii serikali iliyopo Madarakani ikawa ni Mwana Sesere tu yani ikawa haina Lolote.
Wahuni ndio wakawa wanaongoza Nchi Kupitia serikali yao walio itengeneza wenyewe yani Serikali ime pigwa Copy kuna Serikali A na Serikali B ila Serikali B ndio yenye Nguvu kuliko Serikali A.
Tuwe makini na Wahuni" -humphrey polepole