Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

Reply yako imekuja muda muafaka, leo nikiwa safarini nilikuwa naongea na msafiri mwenzangu yahusuyo nchi yetu Tanga na nyika.

Jamaa kaongea mwisho nikauzunika alafu sikujua kama nilipitiwa na usingizi hadi niliposhtuka.
 
Ata sasa mbona Msoga Kingdom ndiyo wanaamua nani ateuliwe na nani asiteuliwe kulinda masilahi yao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…