Hivi Polepole ni mzee au kijana!https://www.facebook.com/
Polepole wewe ni Mkristu na huu ni mwezi wa Kwaresim, kabla hujasema uongo kwaajili ya tumbo lako muogope Mungu.
Kijana mzee anapotosha ukweli
Na Mashinji anasikiliza ukweli unavyopindishwa.
Huyo pole pole, ndio sababu Sura na umbo lake vilikakaa kinafikinafiki.
Kijana unapokuwa na mawazo ya kizee siyo!!!Kijana mzee anapotosha ukweli
Kashazikabidhi tayari Lumumba zimewekwa kwenye droo...saa hii kabakia na zile za kuvukia barabara na za kuimbia mapambio ya kusifu na kuabuduMashinji kwa sasa hawezi tena kutumia akili zake alizo kuwa nazo tena
In God we Trust
Hamna kitu hapo.Kwa uchunguzi wangu mdogo sidhani kama Polepole ana akili timamu
Kashazikabidhi tayari Lumumba zimewekwa kwenye droo...saa hii kabakia na zile za kuvukia barabara na za kuimbia mapambio ya kusifu na kuabudu
Hapa ilikuwa kabla hajachukuliwa msukule sasa hivi siyo yeye ni msukule tu ule
https://www.facebook.com/
Polepole wewe ni Mkristu na huu ni mwezi wa Kwaresim, kabla hujasema uongo kwaajili ya tumbo lako muogope Mungu.
Mashinji Sasa amekua Kama yule mtu aliyemwagiwa tindikali akitembezwa na Mwigulu kila pahala.Kijana mzee anapotosha ukweli
Amesimama utafikiri amebanwa na call 1 kama sio Call 2
Moyoni anajutia
Wamejidanganya
Mchezo ulikuwa hivi mashtaka yapunguzwe faini iwe kubwa au jela wakijua Mh Mbowe na wenzie watashindwa kulipa faini Mashinji watajidai wamelipa faini ( wakati tunafahamu hawajalipa hata ndululu) Wakiamini ni mwisho wa Chadema Upinzani utakufa rasmi then akina bashite waringe imekula kwao
Muziki waliouanzisha wameshindwa kuucheza midomo imekuwa mizito
WATAJUUUUUUUTA kudanganywa
Mkuu Sky huyu anadanganya Wana CCM tu,wengine wote waliobaki duniani hawadanganyiki.Kijana mzee anapotosha ukweli
https://www.facebook.com/
Polepole wewe ni Mkristu na huu ni mwezi wa Kwaresim, kabla hujasema uongo kwaajili ya tumbo lako muogope Mungu.
Kujiuzulu ubunge na kugombea tena ni uhayawani uliopitiliza ule wa nguruwe!
Wananchi ni wale wale utagombeaje ubunge mara mbili kama siyo ushetani!
Ana maana aliyepata hiyo Division huko Lumumba wanamuona ana nafuu xnaa kama akina Bashite. Yaani huko imejaa mi mburula ndio mana inabebwa ktk Malori kama mizigo na bado wanajiona watu muhimu.Nimpongeze kwa kukaa miaka miwili darasani bila kuelewa chochote. Unamtesa Mzee Mgaya kwa uelewa wako duni.
CCM wanateseka sana. Wanataka kuionesha dunia wako vizuri lkn wapi bhana!https://www.facebook.com/
Polepole wewe ni Mkristu na huu ni mwezi wa Kwaresim, kabla hujasema uongo kwaajili ya tumbo lako muogope Mungu.