Humphrey Polepole usipotoshe umma, waliofanya maandamano wote walikuwa CHADEMA

Humphrey Polepole usipotoshe umma, waliofanya maandamano wote walikuwa CHADEMA

Sky Eclat,
Njaa bado itaendelea kuwa tatizo na kikwazo kikubwa katika ustawi wa taifa letu!!!!
 
Mashinji kwa sasa hawezi tena kutumia akili zake alizo kuwa nazo tena

In God we Trust
Kashazikabidhi tayari Lumumba zimewekwa kwenye droo...saa hii kabakia na zile za kuvukia barabara na za kuimbia mapambio ya kusifu na kuabudu
 
Umesahau na za kupigia ngoma kumfurahisha mtukufu
Kashazikabidhi tayari Lumumba zimewekwa kwenye droo...saa hii kabakia na zile za kuvukia barabara na za kuimbia mapambio ya kusifu na kuabudu

In God we Trust
 
Kumbe sasa hivi ukifanya kosa dawa ni kujiunga ccm huko watakulipia faini
 



Polepole wewe ni Mkristu na huu ni mwezi wa Kwaresim, kabla hujasema uongo kwaajili ya tumbo lako muogope Mungu.


Huyu
1583998783083.png
ana matatizo sana.
 
Amesimama utafikiri amebanwa na call 1 kama sio Call 2
Moyoni anajutia

Wamejidanganya

Mchezo ulikuwa hivi mashtaka yapunguzwe faini iwe kubwa au jela wakijua Mh Mbowe na wenzie watashindwa kulipa faini Mashinji watajidai wamelipa faini ( wakati tunafahamu hawajalipa hata ndululu) Wakiamini ni mwisho wa Chadema Upinzani utakufa rasmi then akina bashite waringe imekula kwao

Muziki waliouanzisha wameshindwa kuucheza midomo imekuwa mizito

WATAJUUUUUUUTA kudanganywa

Na hii imedhihirisha upinzani bado upo na una nguvu,wameshangazwa Sana na michango wa watu maskini.
 



Polepole wewe ni Mkristu na huu ni mwezi wa Kwaresim, kabla hujasema uongo kwaajili ya tumbo lako muogope Mungu.


Hivi Dada Sky unakaa unawaza to believe any ccm motherfvcker whatever they say on anything?

Achilia mbali remotely?

Dont waste your precious time with these liars!
 
Nimpongeze kwa kukaa miaka miwili darasani bila kuelewa chochote. Unamtesa Mzee Mgaya kwa uelewa wako duni.
Ana maana aliyepata hiyo Division huko Lumumba wanamuona ana nafuu xnaa kama akina Bashite. Yaani huko imejaa mi mburula ndio mana inabebwa ktk Malori kama mizigo na bado wanajiona watu muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom