Humphrey Polepole: Wahuni hawatashinda, CCM ni taasisi kubwa inayoweza kupambana na wahuni.

Humphrey Polepole: Wahuni hawatashinda, CCM ni taasisi kubwa inayoweza kupambana na wahuni.

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCi
IMG_20211221_082831.jpg
 
Huyu mzee atulie nyumbani alee wajukuu kama anao. Kuendelea kuita watu wahuni ilhali yeye ndiye alikuwa kiongozi wa genge la wahuni wanunuzi wa binaadamu na wajasiliamali wa kisiasa, atafanikiwa kuwachota akili nyinyi mazuzu ! Huyu jamaa akiwa kwenye uongozi sikuwahi kusikia akikemea uhuni au unyama wowote uliotendeka zama zake anatoa wapi moral authority ya kuita wenzake wahuni?
 
inawezekana Polepole naye akawa ni mhuni..

Lakini ukweli ulio wazi, tukipambana na kutokomeza wahuni ndani ya CCM tutakuwa tumeiponya nchi mapema..
 
Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Umewaondoa wahuni na wewe wahuni wanakuondoa kwa vile ni baba wa wahuni.
 
mwisho wa hii vita ya chakubanga na wahuni utakua mbaya sana ccm.
Bado hujaijua ccm wewe...
Huyo polepole mwenyewe anaweza kuwa anasetiwa na ccm wenyewe,,
Hukumuona sumayi akiikanyaga katiba ya ccm hadi mkamkaribisha kamati kuu cdm? [emoji23][emoji23]
 
Huyu mzee atulie nyumbani alee wajukuu kama anao. Kuendelea kuita watu wahuni ilhali yeye ndiye alikuwa kiongozi wa genge la wahuni wanunuzi wa binaadamu na wajasiliamali wa kisiasa, atafanikiwa kuwachota akili nyinyi mazuzu ! Huyu jamaa akiwa kwenye uongozi sikuwahi kusikia akikemea uhuni au unyama wowote uliotendeka zama zake anatoa wapi moral authority ya kuita wenzake wahuni?
Kwani wewe ni mmoja wa wahuni?
Na kama sio muhuni kwa nini unabanwa na uhuni?
 
Mh. Polepole njoo huku, huyu hapa tena... spana zako si za karne hii - ati anataka mdahalo na wewe !!

 
Polepole yupo sahihi, Chama kikishakuwa na WAHUNI wengi hakiwezi kusonga mbele !! sisi wananchi tunamuunga mkono.
Polepole yuko sahihi Ccm ni taasisi kubwa jiulize lowasa na membe walishindwaje? Ndo utamwamini polepole anachosema
 
inawezekana Polepole naye akawa ni mhuni..

Lakini ukweli ulio wazi, tukipambana na kutokomeza wahuni ndani ya CCM tutakuwa tumeiponya nchi mapema..
Ni kweli, yawezekana matatizo haya ya nchi tuliyonayo yamesababishwa na WAHUNI wachache ndani ya CCM, tumuunge mkono Polepole ili tuwatokomeza.

Yeye mwenyewe kaapa kuendelea kufukiza moshi ndani ya shimo ili waibuke wengi, tayari mwingine huyu hapo kaibuka na hoja yake kwamba polepole hata nguo ya chama ya kuingilia kwenye kikao cha kuteuliwa kuwa katibu mwenezi alifanya kupewa mlangoni na Nape.
 
Back
Top Bottom