Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCi
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCi