Humphrey Polepole: Wahuni hawatashinda, CCM ni taasisi kubwa inayoweza kupambana na wahuni.

Humphrey Polepole: Wahuni hawatashinda, CCM ni taasisi kubwa inayoweza kupambana na wahuni.

Mwanachama wa kawaida hana nafasi ndani ya CCM hilo ulijui? Ndio maana wanachukuliwa watu nje ya CCM, upewa vyeo serikalini hadi ndani ya CCM. Sasa polepole ni mwanaccm wa kawaida. Kama una maoni peleka kwa m/kiti wa tawi lako liweze kufika kwa m/taifa. Ila kujifanya unauchungu zaidi kuliko bulembo juu ya Magu, halipo! Na umefika juzi huna mizizi, si tishio! Umeona maovu mengi ukujali ulikuwa unademka tu, leo uwaitwe watu wahuni!
 
Wajukuu awatoe wap????hata mtoto hana
Huyu mzee atulie nyumbani alee wajukuu kama anao. Kuendelea kuita watu wahuni ilhali yeye ndiye alikuwa kiongozi wa genge la wahuni wanunuzi wa binaadamu na wajasiliamali wa kisiasa, atafanikiwa kuwachota akili nyinyi mazuzu ! Huyu jamaa akiwa kwenye uongozi sikuwahi kusikia akikemea uhuni au unyama wowote uliotendeka zama zake anatoa wapi moral authority ya kuita wenzake wahuni?
 
Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndiyo genge kubwa pekee la wahuni, mafisadi,waongo na vilaza duniani linalojiita chama cha siasa.
 
Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Screenshot_20211221-105720.jpg
 
Kabla ya kumbeza polepole jiulize je ccm halijajaa mahuni? Kama jibu ni ndiyo basi kwanin polepole aonekane mwehu kwa kupambana na wahuni?
 
Bado hujaijua ccm wewe...
Huyo polepole mwenyewe anaweza kuwa anasetiwa na ccm wenyewe,,
Hukumuona sumayi akiikanyaga katiba ya ccm hadi mkamkaribisha kamati kuu cdm? [emoji23][emoji23]
Hahahahaaaaaaa
 
Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Tangu lini kinyonga akawa na uwezo wa kukabili wahuni zaidi, ataliwa mshikaki na wahuni anaopambana nao😄.
 
Polepole kafanikiwa kumchomoa mhuni mmoja toka kwenye shimo, watu wote wamemwona mhuni namba 1 akijitokeza!! moshi unaofukishwa na slow slow umeanza kuonesha mafanikio!! Tusubiri mhuni namba 2 naye moshi ukimzidi nguvu ajitokeze hadharani!! hongera sana slow slow, watanzania tulio wengi tunakuelewa!! Fainali 2025!!
 
Back
Top Bottom