Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Umewaondoa wahuni na wewe wahuni wanakuondoa kwa vile ni baba wa wahuni.Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
On the way to dust binPolepole, the slowly unfolding trash!
Bado hujaijua ccm wewe...mwisho wa hii vita ya chakubanga na wahuni utakua mbaya sana ccm.
Kwani wewe ni mmoja wa wahuni?Huyu mzee atulie nyumbani alee wajukuu kama anao. Kuendelea kuita watu wahuni ilhali yeye ndiye alikuwa kiongozi wa genge la wahuni wanunuzi wa binaadamu na wajasiliamali wa kisiasa, atafanikiwa kuwachota akili nyinyi mazuzu ! Huyu jamaa akiwa kwenye uongozi sikuwahi kusikia akikemea uhuni au unyama wowote uliotendeka zama zake anatoa wapi moral authority ya kuita wenzake wahuni?
Kibaraka wa wahuniKwani wewe ni mmoja wa wahuni?
Na kama sio muhuni kwa nini unabanwa na uhuni?
Mhuni tu huyuMh. Polepoe njoo huku, huyu hapa tena... spana zako si za karne hii - ati anataka mdahalo na wewe !!
mkuki kwa nguruweKitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Polepole yuko sahihi Ccm ni taasisi kubwa jiulize lowasa na membe walishindwaje? Ndo utamwamini polepole anachosemaPolepole yupo sahihi, Chama kikishakuwa na WAHUNI wengi hakiwezi kusonga mbele !! sisi wananchi tunamuunga mkono.
Ni kweli, yawezekana matatizo haya ya nchi tuliyonayo yamesababishwa na WAHUNI wachache ndani ya CCM, tumuunge mkono Polepole ili tuwatokomeza.inawezekana Polepole naye akawa ni mhuni..
Lakini ukweli ulio wazi, tukipambana na kutokomeza wahuni ndani ya CCM tutakuwa tumeiponya nchi mapema..