chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Huyu mzee atulie nyumbani alee wajukuu kama anao. Kuendelea kuita watu wahuni ilhali yeye ndiye alikuwa kiongozi wa genge la wahuni wanunuzi wa binaadamu na wajasiliamali wa kisiasa, atafanikiwa kuwachota akili nyinyi mazuzu ! Huyu jamaa akiwa kwenye uongozi sikuwahi kusikia akikemea uhuni au unyama wowote uliotendeka zama zake anatoa wapi moral authority ya kuita wenzake wahuni?
KirobotoKitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Kama ambavyo naye hatashinda. Wacha wajipe moyo tu.Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndiyo genge kubwa pekee la wahuni, mafisadi,waongo na vilaza duniani linalojiita chama cha siasa.Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
HahahahaaaaaaaBado hujaijua ccm wewe...
Huyo polepole mwenyewe anaweza kuwa anasetiwa na ccm wenyewe,,
Hukumuona sumayi akiikanyaga katiba ya ccm hadi mkamkaribisha kamati kuu cdm? [emoji23][emoji23]
Aseme ni nani siyo mhuni huko CCM.Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Tangu lini kinyonga akawa na uwezo wa kukabili wahuni zaidi, ataliwa mshikaki na wahuni anaopambana nao😄.Kitu kimoja nina hakika ni kwamba wahuni hawatashinda lakini kitu kimoja nina imani kubwa sana ni kwamba ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee ndio kina uwezo wa kitaasisi na kidhamira wa kukabiliana na wahuni. Kazi ni kwetu wana CCM.
#ujamaaniimani
#kaziinaendelea
#kataawahuni https://t.co/SBkOfXKKCiView attachment 2052053
Kibaraka wa wahuni
Huwa nashindwa kukuelewa kabisa.Polepole alifanikisha sana yule kiongozi muovu kutawala kikatili.
Huwa nashindwa kukuelewa kabisa.