Humprey Polepole na Genge lako mtakwama sana, hamuwezi kushindana na dola.

Humprey Polepole na Genge lako mtakwama sana, hamuwezi kushindana na dola.

Humphrey Polepole na genge lake la wapakwa KY.
200 (11).gif

Tunajuaa!!
 
Ujinga wenu nikudhan mnapambana na Pole pole.


Mambo makubwa aloyafanya Magufuli., ndio mnapambana nayo.


Hamna kiti cha kuwaambia Watanzania pale SGR itakapokwama, Bwawa la Mwalimu Nyerere, na mambo mengineyo makubwa !!.


Mfumo wenyewe imewachoka nakuwajua nyinyi wahuni WAHUNI .



Nchi hii hahitaji siasa zenu za ujanja ujanja, wizi, na kuneemesha matumbo yenu .

Huko tulishatoka, Watanzania wa sasa wana akili, wana Elimu ,sio wale mazwazwa wakuambiwa et Mashine hazikufanyiwa repair !!!.


Endeleeni uhuni WENU.
Sabaya na genge lake hawakuwa wahuni?. Wale waliokuwa wanapeleka taarifa kwa mamlaka za serikali kwa ajili ya kuwafanyia unyama wananchi hawakuwa wahuni?.
 
Wahuni maananza kutoka kwenye mashimk yenu mmoja mmoja kenge nyie
 
Hivi kabunge ka kuteuliwa utaratibu wake wa kumvua ubunge ni mgumu kiasi gani kwani?
 
Ninakuona kama:-
1. Ni mmoja wa wahuni kwenye ccm.
2. Umeguswa pahala usipotarajia na sasa ume panic sana.
3. Huna hoja ya kujibu hoja za Polepole na hivyo unapiga yowe kufunika maovu yako.
4. Ni mmoja wa watu wasioenda shule ndani ya ccm kiasi kwamba hujui hata tofauti kati ya chama na dola.
5. Ni mmoja wa wahuni wanaofanya uhuni wakitarajia Serikali itawalinda na ndiyo sababu unalazimisha kuunganisha ccm na serikali ili ziwe kinyume na hoja za Polepole kijinga.
6. Umezoea vya kunyonga sana na sasa unaogopa mafuriko yanayowajilia Wahuni hivyo unataka mob support ili ujichanganye.
7. Unamtumia Mama Samia kama human shield ya kujikinga na nuclear za Polepole kwamba atumie Kiti chake kumkandamiza Polepole bila hoja, ila kwa makelele yako na wahuni wenzako.

Bahati Mbya ni kwamba:-
1. Japo si wote wanasema, lakini Watanzania na Rais wao wanajua keusi ni kapi na keupe ni kapi.
2. Mfa maji akitapatapa ndipo huzama zaidi. Bora jipangeni kwa hoja kulilko kelele za mfa maji.
3. Waambie wahuni wezako kwamba CCm siyo Serikali wala Dola. Kama mmezoea kuendesha uhuni katika Chama kwa matazamio kwamba Serikali itawalinda ama Dola, badilikeni mfahamu kwamba, Polepole na Serikali ikiwemo Dola wanajua mipaka na miundo yao na wala hawajakataa kukosolewa na kurekebishika.

Utakwenda na mafuriko kama utaendelea kuota ndoto za uhuni. Na isitoshe kama wewe si mhuni, unaona shida gani wahuni wakiitwa kwa sifa yao? Kwa hiyo unataka uhuni lifutwe kwenye kamusi?
Jipange kubadilika, la sivyo kampeni na kelele za kihuni, hazina nafasi sasa. Tanzania imeamka.
Ukitaka kunywa ili ufe dadadeki. Siasa lazima ifanywe na wenye kujua siasa na siyo Viswaswadu au Viroboto. Tulieni tujenge chama kirudi kwenye mikono ya wananchi na siyo genge la madikiteta.
 
Muhuni anaweza kusaidia serikali kuharibu mfumo wa utengenezaji wa fedha fake ambazo zilikuwa zinaingizwa kwenye mzunguguko wa fedha hapa nchini kiharamia?
Alisaidia au hicho kilikua kisingizio cha kufanya ujambazi kwenye mali za watu. Tumesema hivi.... Hatutaki pesa za dhuluma serikali ya A6
 
Kuna sababu nyingi sana za kuwaambia kua mtakwama sana kukivuruga chama na serikali, sababu kuu ni hizi;

1.Ninyi ni wageni kwenye chama hamjui historia na itikadi za chama nyie.
2.Mmejaa visasi na roho mbaya
3.Dola ni kubwa kuliko kikundi chenu
4.Chama ni kikubwa kuliko nyie
5.Kuna wakati ni muhimu kukilinda chama kuliko watu watakaopita ambao wengine huenda wamesajiliwa kwingine.

Kwahiyo hamuwezi kushindana na mtu na wala kama mna mtazamo hasi na viongozi wa chama na serikali mtaondoka mmoja mmoja baada ya mwingine.
Ninyi ndio mliokuwa mnaendekeza majambazi ndani ya serikali kwa kivuli cha kukisaidia chama, hivi kina Sabaya na kundi lake hawakua wahuni ni kina nani tukuulize wewe inayeita watu wahuni?


Mama Samia .....kazi iendelee!
Kuna tofauti kati ya wahuni waliopo serikalini na dola polepole anapambana na wahuni waliopo serikalini na kwenye ccm
 
Kuna sababu nyingi sana za kuwaambia kua mtakwama sana kukivuruga chama na serikali, sababu kuu ni hizi;

1.Ninyi ni wageni kwenye chama hamjui historia na itikadi za chama nyie.
2.Mmejaa visasi na roho mbaya
3.Dola ni kubwa kuliko kikundi chenu
4.Chama ni kikubwa kuliko nyie
5.Kuna wakati ni muhimu kukilinda chama kuliko watu watakaopita ambao wengine huenda wamesajiliwa kwingine.

Kwahiyo hamuwezi kushindana na mtu na wala kama mna mtazamo hasi na viongozi wa chama na serikali mtaondoka mmoja mmoja baada ya mwingine.
Ninyi ndio mliokuwa mnaendekeza majambazi ndani ya serikali kwa kivuli cha kukisaidia chama, hivi kina Sabaya na kundi lake hawakua wahuni ni kina nani tukuulize wewe inayeita watu wahuni?


Mama Samia .....kazi iendelee!
Ipo haja katika uchaguzi 2025 kuwakata baadhi ya watu kwa maksudi kabisa wasiguse katika kugombea maana wameshindwa kuendana na nidhamu na miiko ya chama suala la kuvumiliana limewashinda
 
Ungemfanyia haya mwendazake, leo makonda angekuwa anaongea na waandishi wa habari, kuwa wanaendelea kukutafuta, mama ametulia anakuangalia tu licha ya kile chombo kukusimamisha, naamini awakutumwa wale ila kujibalaguza kwao waonekane wanalinda maslahi ya Nchi. Wanafiki tcra!
 
Ukitaka kunywa ili ufe dadadeki. Siasa lazima ifanywe na wenye kujua siasa na siyo Viswaswadu au Viroboto. Tulieni tujenge chama kirudi kwenye mikono ya wananchi na siyo genge la madikiteta.
Mbona kiwewe? Hofu yako nini kama viswaswadu? Tulieni dawa iingie vizuri mafisadi!. Mliteka chama kutoka kwenye asili yake, mkafanya upatu wa familia. Sasa kinarudi kwenye muundo wa mwanzo.
Waambie na wenzako " bibi tarabushi maneuverers", mmegundulika, na safari hii hamkatishi!. Hamieni
Bir Tawil, mkaanzishe jamhuri ya mafisadi kwa kuwa kule ni eneo lililowazi lisilokuwa chini ya taifa lolote. Hapa kwetu, hapana. Upilike?
 
Hao chawa wa Magu awaelewi tu KILA zama na kitabu chake
 
Back
Top Bottom