Humprey Polepole na Genge lako mtakwama sana, hamuwezi kushindana na dola.

Sabaya na genge lake hawakuwa wahuni?. Wale waliokuwa wanapeleka taarifa kwa mamlaka za serikali kwa ajili ya kuwafanyia unyama wananchi hawakuwa wahuni?.
 
Wahuni maananza kutoka kwenye mashimk yenu mmoja mmoja kenge nyie
 
Hivi kabunge ka kuteuliwa utaratibu wake wa kumvua ubunge ni mgumu kiasi gani kwani?
 
Ukitaka kunywa ili ufe dadadeki. Siasa lazima ifanywe na wenye kujua siasa na siyo Viswaswadu au Viroboto. Tulieni tujenge chama kirudi kwenye mikono ya wananchi na siyo genge la madikiteta.
 
Muhuni anaweza kusaidia serikali kuharibu mfumo wa utengenezaji wa fedha fake ambazo zilikuwa zinaingizwa kwenye mzunguguko wa fedha hapa nchini kiharamia?
Alisaidia au hicho kilikua kisingizio cha kufanya ujambazi kwenye mali za watu. Tumesema hivi.... Hatutaki pesa za dhuluma serikali ya A6
 
Kuna tofauti kati ya wahuni waliopo serikalini na dola polepole anapambana na wahuni waliopo serikalini na kwenye ccm
 
Ipo haja katika uchaguzi 2025 kuwakata baadhi ya watu kwa maksudi kabisa wasiguse katika kugombea maana wameshindwa kuendana na nidhamu na miiko ya chama suala la kuvumiliana limewashinda
 
Ungemfanyia haya mwendazake, leo makonda angekuwa anaongea na waandishi wa habari, kuwa wanaendelea kukutafuta, mama ametulia anakuangalia tu licha ya kile chombo kukusimamisha, naamini awakutumwa wale ila kujibalaguza kwao waonekane wanalinda maslahi ya Nchi. Wanafiki tcra!
 
Ukitaka kunywa ili ufe dadadeki. Siasa lazima ifanywe na wenye kujua siasa na siyo Viswaswadu au Viroboto. Tulieni tujenge chama kirudi kwenye mikono ya wananchi na siyo genge la madikiteta.
Mbona kiwewe? Hofu yako nini kama viswaswadu? Tulieni dawa iingie vizuri mafisadi!. Mliteka chama kutoka kwenye asili yake, mkafanya upatu wa familia. Sasa kinarudi kwenye muundo wa mwanzo.
Waambie na wenzako " bibi tarabushi maneuverers", mmegundulika, na safari hii hamkatishi!. Hamieni
Bir Tawil, mkaanzishe jamhuri ya mafisadi kwa kuwa kule ni eneo lililowazi lisilokuwa chini ya taifa lolote. Hapa kwetu, hapana. Upilike?
 
Hao chawa wa Magu awaelewi tu KILA zama na kitabu chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…