Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, Mzee mwenzangu. Nimekuelewa ujueHapa enzi zetu wahenga kungekuwa na amsha amsha tunapeana address tu za maeneo ya matukio na tunakutana kweli na Kula bata na Biriani.
Lakini sasa hivi kimya, nyie vijana vipi? Mbona mmezubaa hivi? Hebu changamkeni! Kama kuna mtoto mzuri yupo hapa Liquid opposite TIA ajifanye kama anajikuna atakunywa na Kula bure hadi majogoo
Hahahaha, au utasikia MTU anakuambia Nina 'file lako'Tatizo siku hizi kuchorana kwingi, leo mtu anakuita kwa umhiyari yake bila kushurutishwa na mtu kesho asubuhi anakuja kukufungulia uzi
Hahaha acha kabisaHahahaha, au utasikia MTU anakuambia Nina 'file lako'
Hahaha acha kabisa
Ninyi hamnijui ila kuna watu wananijua, akiexpose identity yangu wanaonijua watasema khaa kumbe Yule mdada anajiita Khantwe ni huyu mke wa mzee Abdu, halafu hata humu sitokuwa huru kama nilivyo sawa hivi nilivyojificha nyuma ya keyboardHata akikufungulia uzi kwan sisi tunakujua?
Ninyi hamnijui ila kuna watu wananijua, akiexpose identity yangu wanaonijua watasema khaa kumbe Yule mdada anajiita Khantwe ni huyu mke wa mzee Abdu, halafu hata humu sitokuwa huru kama nilivyo sawa hivi nilivyojificha nyuma ya keyboard
[emoji23][emoji23][emoji23] Ha ha ha niliona akiambiwa hivyo nikakaa vizuri file lishushwe
Hali imekuwa mbaya sana kiongozi
Wazee hatuna hiyana
Hahaaa!!kabisaaWazee hatuna hiyana
Usikute wewe ni mke wa LugolaNinyi hamnijui ila kuna watu wananijua, akiexpose identity yangu wanaonijua watasema khaa kumbe Yule mdada anajiita Khantwe ni huyu mke wa mzee Abdu, halafu hata humu sitokuwa huru kama nilivyo sawa hivi nilivyojificha nyuma ya keyboard
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani kumbe hata wewe hunitakii mema kabisa, nimegundua watu wanaonipenda ni wachache sana[emoji23][emoji23][emoji23] Ha ha ha niliona akiambiwa hivyo nikakaa vizuri file lishushwe
Ila ulikuwa unafurahiaHapana,mimi nilikuwa mpenzi msomaji