Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,758
Akiii nimecheka vibaya [emoji1787][emoji1787].... G ukaamua umalizie kbs.....Walivyokufanya (pole samaki pole)
Kichwa wakampa paka[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiii nimecheka vibaya [emoji1787][emoji1787].... G ukaamua umalizie kbs.....Walivyokufanya (pole samaki pole)
Kichwa wakampa paka[emoji1787][emoji1787]
Bae mie nimekuta comment huko juu,, nkamalizia kabisa[emoji23]Akiii nimecheka vibaya [emoji1787][emoji1787].... G ukaamua umalizie kbs.....
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
🤣🤣🤣🤣🤣😍😍🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻Bitch plz....kwanza nahis umri nimekupita sana...
Hlf humu jf hatujajiunga juzi km wewe kuja kutafuta mandaga km wewe unavyopost post .wenzio tupo humu ku socialize ndio maana wala hatuhitaj tujulikane....
..unatafuta mume Jf....si ufala huo...manake mtaan kote washakushindwaa
Endele a kutumika[emoji1787]
Ulikuja Jf na higher expectation WAMEKUKULAAAA
BUREEE TENAAA
Nyie hamuna hela hata kidogo mimi jueni hiloo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Anachukulia 1M kiutani! Vipi kwanza Eid utakuja Dar?
Hahaha that's why I love you[emoji7]Bae mie nimekuta comment huko juu,, nkamalizia kabisa[emoji23]
Unajishaua wajameni ipo siku utaibika kama nini ipo siku yaani naiona nikwamba sihitaji kukusema maana walahi utazima simu .Bahati mbaya uongo siujui kivile na najua kufunguka tu! Vipi pale hotel ulipokuwa unafanya kazi bado upo?
1ml huyo mama anajua wewe nyumbu hawezi kukupa wewe ni hela ya pamba na kifuta jasho tu kodi sianalipaga ya mwaka .[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Anachukulia 1M kiutani! Vipi kwanza Eid utakuja Dar?
Unakumbukaga lile sakata la kutembea na mke wa meneja ukakatwa nywele na mabaunsa nilizani ungetolewa kazi ,Katoto tafuta tiba mapema hakiyamungu stress zinakusumbua!
Hela hatuna ila kikubwa mbususu za bure kama hizo tunapataMnaela gani??
Unamkumbuka yule mwanadada aliyekufanyiaga shopping akakufumania na yule manzi mmnywa pombe yule chembamba cheupe kile kibaamed , barabarani akapaki bodaboda na mabaunsa akakuvua nguo zote upo no men zisizisi is my mine wakanyakua na laptop ya mzee hadi naleo unalipia .Bahati mbaya uongo siujui kivile na najua kufunguka tu! Vipi pale hotel ulipokuwa unafanya kazi bado upo?
Wewe bichwa usinizoeee usitake nikuanzee na hizo misa zako zaungoo na bible study zako unafamilia na wanakuheshimu ila kwa vidada vya watu juzi hapa mnaeleka kanisani mama akapata bikini ya pinki kwenye gar pale kwenye droo ya gari .Hela hatuna ila kikubwa mbususu za bure kama hizo tunapata
😂😂😂😂😂 We dada uko sawa??Wewe bichwa usinizoeee usitake nikuanzee na hizo misa zako zaungoo na bible study zako unafamilia na wanakuheshimu ila kwa vidada vya watu juzi hapa mnaeleka kanisani mama akapata bikini ya pinki kwenye gar pale kwenye droo ya gari .
Mkazipigwa na ulivyosasa ujaza jaza .
Ulifumuliwa kimya kimya namaza akahirisha misa kaensa kivyake ukaenda kulala acha vibinti vya shule utakuja kufungwa mmoja akipata mimbaa.
Wanunulie basi hata uniform sio chipsi na kuwapeleka ukweni ukijidai twende tuakogee.
Unamalizia kila kitu .
njoo pm niko tayariHumu kuna wanaume wanaringa kama nini.
Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu.
Hawana pesa wala nini wote ni shida.
Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment.
Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume mwenzako ipate wateja ish hii inaitwa bado wewe ni mtumwa katika nchi yako.
Gari ya mikopo bado unakopa .
Eti unaoa lini bado nipo nipo woi huna hela .
Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu.
Kweli samahanini ila humu wanaoringa ni boyas .
Unapanga hadi leo umelogwa rudi kijijini kwenu ukatambikiwe unamikosi .
Huu mwaka wa 31 unapanga je tukikadiria miaka yako si miaka ya uhuru kabisaaa😂🤣🤣🤣 unatoa madongoo nahujui asha anamimba yako tena huidumii ukidai sio yangu kumbe hela huna badilikeni mna sonya wasichana mnaota wanawake wamajuu na unaishia baa kujidunga shida nini na ni ndoto tu uhalisia upo nani kina mwanaidi oa tulia miaka imeshaenda siku moja haitatoka maji wala povu .
Nikavu tu .
Hata uipike .
Shauri zenu .
Mapovu ruksa waliooa umiza kichwa tu hela hakunaga eti unamradi wakuku kuku wenyewe ni wakisasa
get innjoo pm niko tayari
Kwani ni uongoo sema bhana acha vitoto vya watu visome wewe hujaacha tu vile vimichezo vya shule mkeo anafadhaika sana haloo kwa kila mtumishi anataka mumewe acha videnti vya shule kwa sasa siupo na yule wa secondary ile kale keupe kapo kama paula kazuri kazuri ndio unajilia😂😂😂😂😂 We dada uko sawa??
Au umekosea kuquote??
Umenichekesha kichizi yani 😂😂😂
Mbona unajijibu mwenyewe nakujilike nakujichekeshaget in
ooh nilikuwa nakujibu weweMbona unajijibu mwenyewe nakujilike nakujichekesha