Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Dada unique karibu nyama choma na Castle lite hapa utulize munkari na hasira
 
😂😂😂😂😂
 


🤣🤣🤣🤣

Tanzania masikini ni zaidi ya 80% Mkuu
 
Naona umeamua kuja na mapicha picha! Hongera, kajitibie msongo wa mawazo
 
1ml huyo mama anajua wewe nyumbu hawezi kukupa wewe ni hela ya pamba na kifuta jasho tu kodi sianalipaga ya mwaka .

Sipendi kukuaibisha nakuheshimu ila picha ninazo tena zile ambazo amina alikupiga sikufutaga .
Naona umeamua kuja na mapicha picha! Hongera, kajitibie msongo wa mawazo
 
Naona umeamua kuja na mapicha picha! Hongera, kajitibie msongo wa mawazo. Haya mapichapicha unayoyaleta humu wanaonijua wanakucheka sana!
 
Hiyo siku nikifanyiwa shopping na mdada si nitazirai! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We dada uko sawa??
Au umekosea kuquote??

Umenichekesha kichizi yani [emoji23][emoji23][emoji23]
Hayuko sawa huyu!! Stress ni ugonjwa mbaya sana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Sukari ya wanawake my foot! Kajitibie wewe, naona unaropoka tu! Hata yasiyoeleweka!! Hueleweki hata kidogo zaidi ya kuandika stori na porojo!!
 
Anafikiri kila mdada ni mswahili kama alivyo yeye Bora ulivyompa dozi ya maana
 
Eti kuku wenyewe wa kisasa

Umejua kunifurahisha haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…