Huna sura huna chura, nakusaidiaje

Huna sura huna chura, nakusaidiaje

habarini wakuu poleni na majukumu, katika pita pita zangu mtaani nikakutana na binti mmoja hivi kwa kifupi mbaya maana hana sura wala chura

sikutaka kumsalimia maana nlimuona kama kisiriri kwangu hafiti popote ata kulia na ndimu hafai

Asa kumbe kinashida bwana, kama uwajuavyo hawa viumbe wakiwa na shida huwa hawachoki kujisalimisha kikasema mambo nikakiambia poa, kikaniuliza mzima nikakijibu ndio hofu kwako

Nilipokiambia hivo si ndo kikaanza kuelezea shida zake kwanza kikasema kina njaa balaa pili kikasema kuna sehemu inatakiwa kiende asa kimekwama nauli tatu mama yake anaumwa koo kinaomba nikiunge mkono kama nimeguswa

mi nkamwambia pole dada na matatizo ila mimi mwenyewe niko vibaya labda tukionana tena ntakusapoti

ila kimoyo moyo nikawa nawaza binti huna sura huna chura unasaidiwaje kwa mfano?

mjini ukiwa na kimoja kati ya sura au chura huwezi kosa sponsor
Kwa hiyo ndo umeamua kumdhalilisha dada yangu huku JF kwa vile kakunyima papuchi na domo zege lako au sio [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Dahhhh
Unamadharau sana.
Hivi kweli unatumia maneno haya kwa binadamu “kikasema”, “kikaniuliza”
Shame on you 🤬🤬
Ameshindwa kutambua ya kwamba binadamu hatuko sawa. I mean we are of different type
 
Ni vizuri tutakakosoana kwa tabia zetu na sio jinsi Mungu alivyotuumba huo Uhandsome au Urembo wako unaweza kupotea ndani ya dakika tu. Tumshukuru Mungu kwa kila jambo.
Na hawakuchagua kujiumba hivyo tena hamna mwanadamu awezaye kuongeza hata urefu wa kidole chake.
 
MUNGU alipomuumba alisema NI NJEMA. Wewe ni nani hata uhukumu uumbaji wake?
 
MUNGU alipomuumba alisema NI NJEMA. Wewe ni nani hata uhukumu uumbaji wake?
kwan mungu wanawake alimuumbia nani?

kama alijiumbia yeye sawa sipaswi kuhukumu ila kama aliniumbia mimi nakosoa tuu

atamnyimaje mtu vyote no sura even chura!
 
Back
Top Bottom