Huna Wajibu wa kumtunza au kumhudumia Mzazi wako akiwa chini ya miaka 60 kama haumwi

Huna Wajibu wa kumtunza au kumhudumia Mzazi wako akiwa chini ya miaka 60 kama haumwi

Hizi laana ulizonazo zilitoka kwa wazazi wako baada ya kukataa kuwaudumia na huku ukijua wazazi wako ni maskini, bado unakuja hapa kushawishi vijana wa leo nao waangukie kwenye laana kama zako, UKALAANIKE PEKE YAKO, MBWA WEE.
[emoji16][emoji16]
 
Nimesoma tu heading nikagundua mtoa mada ni mtu ambae hamnazo.!

Ni mtu ambae kila anachokifikiria kichwani kwake anakiona Cha kukileta mbele ya jamiii na kujiona genius.

Usipowapa furaha wazazi wako unataka kuwapa wakina nani.?? Maisha ni Nini kwako kama unajiweza na huku ukiwapa kisogo wazazi wako eti tu kisa wapo chini ya miaka 60.

saidia wazazi wako kwa kile ulicho nacho Wala hutapungukiwa chochote na zaidi baraka zitaongezeka katika utafutaji wako.!

Usisubiri mzazi afe ili uje kuonyesha fahari katika mazishi mbele ya jamii na marafiki WA kazini kwako

Note.
Maisha ni mafupi sana Miaka inaenda kama upepo siku si nyingi na sisi tutakuwa wazee kama walivyo wazazi wetu. Tusaidie ndugu na jamaa zetu

Nb.taikon WA fasihi ni mtoto mdogo Ambae hajui maisha yanataka nini. Yeye anajua mtu ukishapata Hela basi imeisha unafanya unavyoweza.kumbe sio kweli Kuna sehemu Hela na umaarufu havifiki

Be humble mzee sio Kila kitu Cha kuandika mtandaoni ' WE zombie.
Topics zake nyingi zipo kinadharia zaidi kama filamu vile!
 
Kumbe ni muhimu kuwatimua mapema nyumbani.

Kuna Daktari mmoja alikuwa anatufundisha somo la hesabu Chuo Kikuu alikuwa anatania kwamba;

Ili kuwafanya watoto akili zichaji na waondoke mapema nyumbani basi Jenga nyumba ya vyumba viwili.

Eti kimoja wewe na Mkeo na kingine wajaze watoto wako humo

Atakayejisikia aibu ataondoka kwenda kuanza maisha ya kujitegemea 😜

Ngoja Wazazi tuanze kitumia hii mbinu 😜

Kibongo bongo kama Mzazi anafikiria kutunzwa na kuhudumiwa na watoto jua wapo watoto wenye fikra hizo hizo kuwa wao hawakûtaka kuzaliwa ila ni kiherehere cha wazazi wao kuwazaa hivyo wao ndio wanawajibu wa kuwatafutia Maisha.
Ndio hapo hapa mjini watoto hawataki kutoka nyumbani na mzazi huna chakufanya na ukileta Ngebe wanakumaliza.

Mzazi anayetegemea mtoto ilhali yupo umri wenye nguvu hana tofauti na mtoto anayetegemea mzazi ilhali yupo umri wa utafutaji.
Ni vile Watu hawataki ukweli
 
Kibongo bongo kama Mzazi anafikiria kutunzwa na kuhudumiwa na watoto jua wapo watoto wenye fikra hizo hizo kuwa wao hawakûtaka kuzaliwa ila ni kiherehere cha wazazi wao kuwazaa hivyo wao ndio wanawajibu wa kuwatafutia Maisha.
Ndio hapo hapa mjini watoto hawataki kutoka nyumbani na mzazi huna chakufanya na ukileta Ngebe wanakumaliza.

Mzazi anayetegemea mtoto ilhali yupo umri wenye nguvu hana tofauti na mtoto anayetegemea mzazi ilhali yupo umri wa utafutaji.
Ni vile Watu hawataki ukweli
Sahihi Mkuu

It is possible play your part
 
Mkuu Robert,

Suala la mtoto kumsaidia mzazi sidhani kama linahitaji sana sheria. It’s all about LOVE.
sababu kuingiza sheria kwenye upendo ni jambo gumu sana.

mtoto wa miaka 18 ni mtu mzima anaweza kujitegemea, lakini wazazi wanaendelea kulea watoto hao mpaka pale wanapoona sasa anaweza kujisimamia.

sihitaji wazee wangu wafike 60+ ili niwahudumie sababu sidhani kama ipo sheria ya kusema ni lazima uwahudumie wazazi wakiwa 60+
ILA hayo yote ni upendo wetu kwa wazazi na ile bond tuliyotengeneza.

Ukiona unaona ni mzigo kuhudumia mzazi aliyekulea nafikiri kuna shida mahali mimi huwa najisikia furaha hasa mama anapodeka akisema mwanangu nipo sehemu fulani Embu ntumie kiasi kadhaa nitatuma zaidi ya ile.

Mama namuungia banda la kuongea na mb za wiki nzima, baba yangu lazima niwe nampelekea gazeti la kusoma kila nitapoenda nyumbani, anafurahi sana na huwa napata kumbukumbu nzuri pindi alipokuwa akirudi nyumbani na gazeti mkononi.

Mzazi anatunzwa katika umri wowote ule.
[emoji1545][emoji1545]
 
Wazazi wa kesho nimesoma comment zenu .

Inaonekana kuwa ni lazima mtoto amsaidie mzazi .

Kuna wazazi baada ya watoto kuweza kutafuta /siyo kujitegemea ni kutafuta wameacha kabisa kujitafutia na kutegemea watoto .

Siyo haki kabisa narudia Tena siyo haki, mzazi anazo/unazo nguvu kabisa unamlazimisha mtoto akusaidie Kwa kigezo Cha kwamba mbona nilikulea huku ukitoka matusi na laana . Ukimjengea kijana hofu ..

Ni nani aliyefanikiwa Kwa kutizama nyuma?

Badala ya kuwa msaada wewe ambaye umekula chumvi nyingi na maarifa mengi unayafanya maarifa yako obsolete , Ukitegemea Leo Ione kesho kweli ?

Wazazi /Vijana wa Leo Mimi na wewe tubadili hii mindset ..

Tujiwekeze vilivyo in the end tuwe na win win situation tusiwe ni wakuchukuwa tuuu
 
Nimesoma tu heading nikagundua mtoa mada ni mtu ambae hamnazo.!

Ni mtu ambae kila anachokifikiria kichwani kwake anakiona Cha kukileta mbele ya jamiii na kujiona genius.

Usipowapa furaha wazazi wako unataka kuwapa wakina nani.?? Maisha ni Nini kwako kama unajiweza na huku ukiwapa kisogo wazazi wako eti tu kisa wapo chini ya miaka 60.

saidia wazazi wako kwa kile ulicho nacho Wala hutapungukiwa chochote na zaidi baraka zitaongezeka katika utafutaji wako.!

Usisubiri mzazi afe ili uje kuonyesha fahari katika mazishi mbele ya jamii na marafiki WA kazini kwako

Note.
Maisha ni mafupi sana Miaka inaenda kama upepo siku si nyingi na sisi tutakuwa wazee kama walivyo wazazi wetu. Tusaidie ndugu na jamaa zetu

Nb.taikon WA fasihi ni mtoto mdogo Ambae hajui maisha yanataka nini. Yeye anajua mtu ukishapata Hela basi imeisha unafanya unavyoweza.kumbe sio kweli Kuna sehemu Hela na umaarufu havifiki

Be humble mzee sio Kila kitu Cha kuandika mtandaoni ' WE zombie.
Mtoa mada amezaliwa kwenye familia ya uchumi wa Juu au uchumi wa Kati. Kwa maana aidha wazazi wake wote ni watumishi wa serikali au walishaga jipata kijana amakuta Mali zipo, ndyo maana amepata muda wa kufikilia na kutoa hizo tafakuli zake! Hivyo basi kwa Upande wake yupo sahihi.

Lakini kwa SISI tuliozaliwa kwenye tabaka la uchumi wa chini, baba na mama na Ndugu na jamaa wote ni wakulima wa jembe la mkono hatuwezi kuwa na MAWAZO kama hayo ya mtoa Mada.
 
Hiyo akaunti ya Siri Bora wale Hela watu wa Benki lakini sio nyie

Watoto wa miaka hii wamebadirika sana, full kuwawinda Wazee wao na kuwaombea wafe mapema

Mzazi anawinda mtoto apate kazi
Na mtoto anawinda mzazi apate kiinua mgongo chake.
Hatari sana
 
Mtoa mada amezaliwa kwenye familia ya uchumi wa Juu au uchumi wa Kati. Kwa maana aidha wazazi wake wote ni watumishi wa serikali au walishaga jipata kijana amakuta Mali zipo, ndyo maana amepata muda wa kufikilia na kutoa hizo tafakuli zake! Hivyo basi kwa Upande wake yupo sahihi.

Lakini kwa SISI tuliozaliwa kwenye tabaka la uchumi wa chini, baba na mama na Ndugu na jamaa wote ni wakulima wa jembe la mkono hatuwezi kuwa na MAWAZO kama hayo ya mtoa Mada.

Sio kwéli.
Mimi ni mzaliwa wa familia ya chini
 
Wazazi wa kesho nimesoma comment zenu .

Inaonekana kuwa ni lazima mtoto amsaidie mzazi .

Kuna wazazi baada ya watoto kuweza kutafuta /siyo kujitegemea ni kutafuta wameacha kabisa kujitafutia na kutegemea watoto .

Siyo haki kabisa narudia Tena siyo haki, mzazi anazo/unazo nguvu kabisa unamlazimisha mtoto akusaidie Kwa kigezo Cha kwamba mbona nilikulea huku ukitoka matusi na laana . Ukimjengea kijana hofu ..

Ni nani aliyefanikiwa Kwa kutizama nyuma?

Badala ya kuwa msaada wewe ambaye umekula chumvi nyingi na maarifa mengi unayafanya maarifa yako obsolete , Ukitegemea Leo Ione kesho kweli ?

Wazazi /Vijana wa Leo Mimi na wewe tubadili hii mindset ..

Tujiwekeze vilivyo in the end tuwe na win win situation tusiwe ni wakuchukuwa tuuu

Upo positive Sana
 
Twende kisheria mzazi asipo muhudumia mtotowake anashitakiwa sio! Je mzazi anaweza kumshitaki mtoto kwa kutomuhudumia?
Achana na sheria ndugu, nenda kwenye uhalisia. Hujui wakati mwingine sheria humnyima mtu haki maana zinatungwa kwa malengo kuumiza wengi na kufurahisha wachache. Umewahi kuskia mtu kaua hadharani lakini kashinda kesi.

Achana na mambo ya kwenye makaratasi, nenda kwenye vitendo.
 
Unajua kusoma sana siyo kuelimika. Naweza kusema mleta mada kasoma lakini inaonekana hajaelimika Bali kaathiriwa na vyeti vya darasani.
 
Back
Top Bottom