Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Mpaka useme. Yaani baba nimeshakuambiaPlease usimwambie Mama yenu....
Nitakuletea zawadi ya Laptop ikusaidie kwenye Masomo Yako 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka useme. Yaani baba nimeshakuambiaPlease usimwambie Mama yenu....
Nitakuletea zawadi ya Laptop ikusaidie kwenye Masomo Yako 😜
Kweli hizo sheria za kitibeli.
Ila sisi wapemba tunakaa na wazazi wetu na wake zetu plus watoto yaani tunakaa kiukoo zaidi.
Yote kwa yote MUNGU ni mwema Sana.
Badilisha rangi uwe mzungu kama kila kitu cha kiuafrika unakiponda na nimeshakuona kwenye nyuzi nyingi
Tafuta ela hayo makasiriko ni kwa sababu huna huna helaSio kosa pia.
Mzazi kutomtegemea mtoto wake itamaanisha atakuwa makini na utafutaji pamoja na matumizi ya kile atakachojaliwa na Mungu wake
Wapo kiongozi. Na ndugu yangu huyo Kwa wakwe anaweza akaenda hata mara 5 Kwa mwaka ila Kwa wazazi waliomsomesha kwenda lamda iwe msiba na tukio la lazima sanaWatu kama hao ni wajinga
Kajichubue uwe mzunguUzungu upo wapi mkuu?
Nimekuambia hata hapa Afrika hakuna nchi hata moja ambayo inasheria ya mtoto kumhudumia mzazi.
Wanasheria, majaji na mahakimu wapo hapa wao wanajua nazungumzia nini. Mtu wa kawaida huwezi Elewa
Wapo kiongozi. Na ndugu yangu huyo Kwa wakwe anaweza akaenda hata mara 5 Kwa mwaka ila Kwa wazazi waliomsomesha kwenda lamda iwe msiba na tukio la lazima sana
Kajichubue uwe mzungu
Nimekwambia uzi zako nyingi sio huu tu lazima zinakipengele cha kuuponda uafrika
Huna haki bali ni roho mbayaHuyo ni Mpumbavu ingawaje anahaki ya kuamua maisha yake pia.
Watu wenye Haki isiyozidi kikawaida ni werevu na wenye Hekima
Wewe ndo unaoponda uafrika kila siku kwenye nyuzi zako usitake kubadilisha mada kijanja nani asiyekujua labda mgenjUafrika sio ujinga.
Ñinyi ndio mnautambulisha kama uafrika ni ujingaujinga.
Ni sawa na wale Watu wanaotambulisha Uanaume kama ukatili na ubabe. Jambo ambalo sio Sahihi
Wewe ndo unaoponda uafrika kila siku kwenye nyuzi zako usitake kubadilisha mada
Hivyo vyote mbona ndo tabia zako sasaNaponda ujinga, Ubinafsi, ukatili, dhulma, unyanyasaji, ukandamizaji, kiburi.
Kama hayo kwako ni uafrika basi uko Sahihi
Mkuu Robert,Sheria za dunia na nchi haisemi popote kuwa unatakiwa umhudumie mzazi wako. Kumaanisha sio wajibu wa mtoto kumhudumia mzazi wake.
Kwenye dini hasa dini kongwe kama ukristo na Uyahudi. Hakuna sheria ya kumhudumia mzazi hata moja. Bali mzazi ndiye katika umri huo anatakiwa kutoa urithi kwa watoto.
Kiafrika, watoto ni watumwa wa wazazi. Kabla ya ujio wa wageni mtoto ni mtumwa wa mzazi wake.
Mantiki ya andiko ni kuwa Wazee ndio UNAOWAJIBU wa kuwatunza na kuwahudumia.
Na watoto wadogo.
Sisi waafrika tunasaidiana sio wabinafsi sio mzazi wangu mtu yeyote mimi namsaidia kama nauwezo huoNaponda ujinga, Ubinafsi, ukatili, dhulma, unyanyasaji, ukandamizaji, kiburi.
Kama hayo kwako ni uafrika basi uko Sahihi
Umeongea bonge la point hongera sanaMkuu Robert,
Suala la mtoto kumsaidia mzazi sidhani kama linahitaji sana sheria. It’s all about LOVE.
sababu kuingiza sheria kwenye upendo ni jambo gumu sana.
mtoto wa miaka 18 ni mtu mzima anaweza kujitegemea, lakini wazazi wanaendelea kulea watoto hao mpaka pale wanapoona sasa anaweza kujisimamia.
sihitaji wazee wangu wafike 60+ ili niwahudumie sababu sidhani kama ipo sheria ya kusema ni lazima uwahudumie wazazi wakiwa 60+
ILA hayo yote ni upendo wetu kwa wazazi na ile bond tuliyotengeneza.
Ukiona unaona ni mzigo kuhudumia mzazi aliyekulea nafikiri kuna shida mahali mimi huwa najisikia furaha hasa mama anapodeka akisema mwanangu nipo sehemu fulani Embu ntumie kiasi kadhaa nitatuma zaidi ya ile.
Mama namuungia banda la kuongea na mb za wiki nzima, baba yangu lazima niwe nampelekea gazeti la kusoma kila nitapoenda nyumbani, anafurahi sana na huwa napata kumbukumbu nzuri pindi alipokuwa akirudi nyumbani na gazeti mkononi.
Mzazi anatunzwa katika umri wowote ule.
Mimi nachoweza kusema kama unaweza kwenda baa ukazungusha round bill ikaja laki na ukalipa na ikawa kawaida sioni shida kumsaidia mzazi hata kama angekuwa under 50, mzazi ni Bora kuliko hao Malaya wa baa kula na kusaza wakati naweka roho ngumu Kwa wazazi. Sio kwamba hata sisi wengine hatukuwahi kukutana na situation wazazi wanajaribu kututegemea angali tuko kwenye majukumu pasua kichwa kama kujenga? Tuliwabania vizuri tu lakini life lilipotengamaa tulirudisha fadhilaHuyo ni Mpumbavu ingawaje anahaki ya kuamua maisha yake pia.
Watu wenye Haki isiyozidi kikawaida ni werevu na wenye Hekima
Wazazi wa kiafrika huwezi walaumu ni mfumo wa maisha ya kiafrika upo hivyoMtibeli Leo yupo na wazee wetu around 50+ yrs
Hii vita sijui itaishaje.
My dad yupo around 60+
My mama 50+
Ila wote wapo financial broke
Hapa Africa wazazi wetu walikuwa wakitazama mbele ya PUA tao hawakupenda kujishughulisha kuwaza 20 yrs to come Maisha yatakuaje .
It pain and it is so funny .
Mimi nachoweza kusema kama unaweza kwenda baa ukazungusha round bill ikaja laki na ukalipa na ikawa kawaida sioni shida kumsaidia mzazi hata kama angekuwa under 50, mzazi ni Bora kuliko hao Malaya wa baa kula na kusaza wakati naweka roho ngumu Kwa wazazi. Sio kwamba hata sisi wengine hatukuwahi kukutana na situation wazazi wanajaribu kututegemea angali tuko kwenye majukumu pasua kichwa kama kujenga? Tuliwabania vizuri tu lakini life lilipotengamaa tulirudisha fadhila
Kuna reply nimemjibu kama hivi hajaijibuMimi nachoweza kusema kama unaweza kwenda baa ukazungusha round bill ikaja laki na ukalipa na ikawa kawaida sioni shida kumsaidia mzazi hata kama angekuwa under 50, mzazi ni Bora kuliko hao Malaya wa baa kula na kusaza wakati naweka roho ngumu Kwa wazazi. Sio kwamba hata sisi wengine hatukuwahi kukutana na situation wazazi wanajaribu kututegemea angali tuko kwenye majukumu pasua kichwa kama kujenga? Tuliwabania vizuri tu lakini life lilipotengamaa tulirudisha fadhila