Huna Wajibu wa kumtunza au kumhudumia Mzazi wako akiwa chini ya miaka 60 kama haumwi

Huna Wajibu wa kumtunza au kumhudumia Mzazi wako akiwa chini ya miaka 60 kama haumwi

Shida watu hawajamuelewa yeye hajakataa mtu kumhudumia mzee wake ila amesema sio lazima kama hajafika miaka 60... Yaani kama ambavyo hata kisheria mzazi hawajibiki kwa mwanae baada ya miaka 20 vivo hivyo kuna umri ambao mtoto hawajibiki kwa mzazi wake labda kwa mapenzi yake... Hapo sasa inategemea uhusiano wa mtoto na mzazi... Yaani wanaivaje?

Wanajifanya wanaakili ndogo wakati wameelewa.
Watu Wabinafsi ndivyo walivyo
 
Shida watu hawajamuelewa yeye hajakataa mtu kumhudumia mzee wake ila amesema sio lazima kama hajafika miaka 60... Yaani kama ambavyo hata kisheria mzazi hawajibiki kwa mwanae baada ya miaka 20 vivo hivyo kuna umri ambao mtoto hawajibiki kwa mzazi wake labda kwa mapenzi yake... Hapo sasa inategemea uhusiano wa mtoto na mzazi... Yaani wanaivaje?
Kama huna moyo wa kusaidia huna tu utatafuta visingizio
 
Mtibeli huu waraka wako ngoja niwaachie waefeso kwangu hapana! Mm mzee au maza akikwama mapema tu natuma 🤔hv nyie wengine malezi yenu hamkuenjoy malezi ya baba & mama?
Hawa ni wale wa single mother/father kwa hiyo wamekuwa psychologically affected. Mzazi wako hata km ana pesa, kumpa vocha/pesa ya chakula au kumnunulia gari au zawadi yoyote ni kuongeza upendo na baraka. Uzungu anaozungumzia mleta mada awafanyie tu wazazi wake aache kurubuni na wengine.
 
Hizi roho za kichawi zirudishe kwenye ukoo wenu,, kusaidia mtu hautaji umri. Kuna watu mitaani wengine ni vijana na wanasaidiwa bila hata kuwa na nasaba nao.
Kama unauwezo wa kupata bundle na kuandika huu upuuzi hapa mshukuru Mungu wako usidhani na kujiona kuwa wewe ndo mwenye akili kuliko wote.

Ok fine mzazi yuko chini ya miaka sitini hana kazi, unatake home ya ten digits kuendelea uko tayari kwenda baa ili hali baba na mamako wanalala na kushinda njaa kwa sababu tu wako below 60, narudia hii roho ya kichawi peleka kwenye jukwaa la ukoo
Jamaa nimemuona ana upeo mdogo
 
The writer, the author of this "fairytale" is not serious, needs to ba whipped massively.
 
Hizi laana ulizonazo zilitoka kwa wazazi wako baada ya kukataa kuwaudumia na huku ukijua wazazi wako ni maskini, bado unakuja hapa kushawishi vijana wa leo nao waangukie kwenye laana kama zako, UKALAANIKE PEKE YAKO, MBWA WEE.
 
Hawa ni wale wa single mother/father kwa hiyo wamekuwa psychologically affected. Mzazi wako hata km ana pesa, kumpa vocha/pesa ya chakula au kununulia gari au zawadi yoyote ni kuongeza upendo na haraka. Uzungu anaozungumzia mleta mada awafanyie tu wazazi wake aache bkurubuni na wengine.

Ukimpa mtu pesa ndio umemhudumia au kumtunza mtu?
Hivi hizi akili mnatolea wapi?
 
Hizi laana ulizonazo zilitoka kwa wazazi wako baada ya kukataa kuwaudumia na huku ukijua wazazi wako ni maskini, bado unakuja hapa kushawishi vijana wa leo nao waangukie kwenye laana kama zako, UKALAANIKE PEKE YAKO, MBWA WEE.

Laana ni kuvunja sheria fulani ya Mungu au miungu.
Kutomhudumia mzazi ambaye sio mzee na haumwi sio kuvunja sheria za Mungu wala sheria za nchi.
 
Sishangai Mtibel kutoeleweka!

Alichoandika taikuni wa fasihi ni akili kubwa na kinaeleweka kwa wenye akili kubwa pia.

Ukipata shida kuelewa huu uzi, unapaswa kutathimini akili yako na siyo kushambulia mwandishi. Kila kitu kipo wazi.
Mwalimu asipoeleweka kwa aliowafundisha jua tatizo liko kwa mwalimu.
 
Robert Heriel Mtibeli unaboa sana unajiona kama unajielewa ila hujitambui kabisa tema cheche itabakia wewe ni mtu mmoja unakera sana unajiona na biashara uliyo nayo ndio imekuharibu ukaona watu shit,

Safari bado huu wimbo kaangalie you tube .


View: https://youtu.be/DBrZ06tU91g?si=YEDS2YMSlPqO9sQl

Huu wimbo unadhirisha kitu kama unaakili. Ambayo sijui kama ipo kwenye hiyo akili yako ya mkate.
 
Back
Top Bottom