Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Niliwaambia mtembee mtazame nchi zingine ili CCM ikome kuwadanganya eti nyinyi mko bora.. TZ NI LDC..
Wakati sasa hivi mvua ni nyingi mpaka inataka kuharibu mazao mashambani huku manyara siku mbili tatu kuanzia juzi ndo mvua imeisha.Nimesoma na kupuuza , nisiumize macho yanadai kuna UKAME MKUBWA MAENEO KARIBU YOTE TANZANIA NA KULETA UHABA WA CHAKULA
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... Ni wavivu kweli yani unakuata wakiwa na shamba hawalimi wabongo wanachofanya wanalima mashamba yao kule lakini hao wanakuja kudai ka share kadogo kipindi cha mavuno hapo njaa itawaachaje sasa?WaKenya buaaana
Mnathubutu kuiweka Tz kwenye baa la njaaa hahahhh mnachekesha
Nyanda za Juu Kusini inalisha Tz sehemu kubwa na nje ya Tz
Tuna chakula Tunalima
WaKenya wavivu sana
Man mambo ninyi kha
Kama kwa BBCSwahili mmeandika Kenya ndio bora kwa Kiswahili kwenye msiba wa Proffesor Nani sijui
Muwe wa wakweli
Kiswahili bora ni Tz wengine wote mnajisogeza
Mnajivuna na Kidhungu bakieni nacho msijipe credit kwa Lugha ya Kiswahili
Kiswahili chenu kibovuuuuu
Rubbish [emoji706], go and die from hunger in your slums, empty stomach with empty brain, what a misfortune!Go argue your case with IMF and the World Bank.. Then uletee magufuli apike takwimu.. Kama anavyopika GDP
Safi Sana, current news!Usitake sasa tuanza kukuaibisha humu
View attachment 1431861
Acha kudanganya watu tz tunalima kiasi kidg cha mazao kiasi kikubwa wanalima wazungu na kuondoka navyo ndio maana tanzania tunapigwa sana njaa,hata afya zetu ni dhaifu kulingana na chakula kidg kinachozalishwa na wakulima wachache wa ndani kuwa na gharama,ndio maana tunatumia pia hata bidhaa nyingi za wakenya..Mindset yako imekaa kimashindano mashindano. Unadhani Tanzania tunalima kwaajili ya kushindanishwa na nchi nyingine.
Ondoa hiyo mentality kijana. Hatifanyi kazi ili tulinganishwe na nani.
1. Tunaziada ya mahindi
2. Tunaziada ya Mchele
3. Tunaziada ya mtama
4. Tunaziada ya muhogo
5. Tunaziada ya ndizi
6. Tunaziada ya viazi
7. Tunaziada ya maharage
8. Tunaziada ya mifugo
Tembelea Tanzania mkoa wowote, watu wanakula na kusaza.
Tunakukaribisha uje ujionee.
Tanzania sasa hivi kwenye uzalishaji wa viwanda tunaimprove vitu vingi madukani hasahasa vyakula ni vya kitanzania na pia tumeanza kuzaliaha vitu kama sabuni miaka michache ijayo bidhaa za Tanzania zitadominate soko.Wakenya mko vzr hata katika udharishaji wenu wa bidhaa zenye uhitaji wa kila wakati mfano sabuni zenu za jamaa ziko kila kona na mahali pote kwa maisha ya mtanzania zile sabuni tukinunua kipande kimoja cha tsh500 tunafulia nguo,tunaogea na kuoshea vyombo,ukija kwenye upande wa dawa dawa za wakenya ni bora mno za kwetu hazitibu ukijiroga ununue za kit z unajipotezea muda yaani vitu vingi vya kikenya vinatamba tz hata upande wa chakula wakenya mna bidhaa nzr sana nyama,matunda,unga n.k KENYA NI MOYO WA AFRICA MASHARIKI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu mupitia comments zako zote katika thread mbalimbali. Kwa kweli nimegundua 100% wewe siyo mtanzania.Acha kudanganya watu tz tunalima kiasi kidg cha mazao kiasi kikubwa wanalima wazungu na kuondoka navyo ndio maana tanzania tunapigwa sana njaa,hata afya zetu ni dhaifu kulingana na chakula kidg kinachozalishwa na wakulima wachache wa ndani kuwa na gharama,ndio maana tunatumia pia hata bidhaa nyingi za wakenya..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mkenya.Wakenya mko vzr hata katika udharishaji wenu wa bidhaa zenye uhitaji wa kila wakati mfano sabuni zenu za jamaa ziko kila kona na mahali pote kwa maisha ya mtanzania zile sabuni tukinunua kipande kimoja cha tsh500 tunafulia nguo,tunaogea na kuoshea vyombo,ukija kwenye upande wa dawa dawa za wakenya ni bora mno za kwetu hazitibu ukijiroga ununue za kit z unajipotezea muda yaani vitu vingi vya kikenya vinatamba tz hata upande wa chakula wakenya mna bidhaa nzr sana nyama,matunda,unga n.k KENYA NI MOYO WA AFRICA MASHARIKI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mtanzania asili kabisa damu ya kinyamwezi sikonge huko tabora,siwezi kujitapa uongo kama mnavyojitapa nyie kwa majirani zetu waliotuzidi kila kitu mpka usmart kichwani,ndo mnavyodanganya wenzetu tz hakuna njaa wakati unga tu wa ugali sembe kilo tunanunu mpka tsh1600-700 saivi kdg ndio umefikia 1400 njaa ipo tena wavivu wa kilimo kwa cc raia wa ndani kilimo kikubwa kinafanywa na wawekezaji huo ndio ukweli ukiona nakukera mkuu unaweza kujknyonga kamba nitakupatia.Nimejaribu mupitia comments zako zote katika thread mbalimbali. Kwa kweli nimegundua 100% wewe siyo mtanzania.
Huna sifa za utanzania.
So unajifanya kuwa wewe ni mtanzania wakati wewe ni mkenya.
Ulijiunga 2017 na mienendo yako yote ni ya likenya.
So wala usijisumbue sana kujificha
Hizi hapa comments zako za mwanzo mwanzo
View attachment 1431916
Acha kujisumbua kijana mimi mbongo mzr tu.Wewe ni mkenya.
Kiswahili chako na uandishi wako unakuumbua:-
1. Udharishaji
2. Kitz
Na hapa:-
View attachment 1431928
You cannot hide your identity
Vitu gani tunavyozalisha weka wazi wenzetu wavione na mimi nitaweka vya kwao hapa tunavyotumia mkuu usilete janja janja hapa.Tanzania sasa hivi kwenye uzalishaji wa viwanda tunaimprove vitu vingi madukani hasahasa vyakula ni vya kitanzania na pia tumeanza kuzaliaha vitu kama sabuni miaka michache ijayo bidhaa za Tanzania zitadominate soko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa hakuna Tanzania, hizo ni picha za wanafunzi shule za kata, wapo foleni kupata lunch.Yale yale ya watu kuteseka kisiri.....wenzetu hawa jaameni.
Mbona unatuletea picha ya watu waliopatwa na mafurikoKuficha na Kupika Takwimu ndiyo agenda ya CCM , halafu mnasema ni nchi yenye rutuba,
2020 ni mwaka wa kufichua ufedhuli wa WaTanzania - the North - Korea of Africa
View attachment 1431778
View attachment 1431779
View attachment 1431780
View attachment 1431782
Umezaliwa Sikonge sehemu gani!?Mimi ni mtanzania asili kabisa damu ya kinyamwezi sikonge huko tabora,siwezi kujitapa uongo kama mnavyojitapa nyie kwa majirani zetu waliotuzidi kila kitu mpka usmart kichwani,ndo mnavyodanganya wenzetu tz hakuna njaa wakati unga tu wa ugali sembe kilo tunanunu mpka tsh1600-700 saivi kdg ndio umefikia 1400 njaa ipo tena wavivu wa kilimo kwa cc raia wa ndani kilimo kikubwa kinafanywa na wawekezaji huo ndio ukweli ukiona nakukera mkuu unaweza kujknyonga kamba nitakupatia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mkenya 100%. Acha uongo.
Wewe ni mkenya 100% tuambie ulisoma shule gani!?Vitu gani tunavyozalisha weka wazi wenzetu wavione na mimi nitaweka vya kwao hapa tunavyotumia mkuu usilete janja janja hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app