Hunger in Tanzania - njaa Tanzania

Hunger in Tanzania - njaa Tanzania

WaKenya buaaana
Mnathubutu kuiweka Tz kwenye baa la njaaa hahahhh mnachekesha
Nyanda za Juu Kusini inalisha Tz sehemu kubwa na nje ya Tz
Tuna chakula Tunalima
WaKenya wavivu sana
Man mambo ninyi kha
Kama kwa BBCSwahili mmeandika Kenya ndio bora kwa Kiswahili kwenye msiba wa Proffesor Nani sijui
Muwe wa wakweli
Kiswahili bora ni Tz wengine wote mnajisogeza
Mnajivuna na Kidhungu bakieni nacho msijipe credit kwa Lugha ya Kiswahili
Kiswahili chenu kibovuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... Ni wavivu kweli yani unakuata wakiwa na shamba hawalimi wabongo wanachofanya wanalima mashamba yao kule lakini hao wanakuja kudai ka share kadogo kipindi cha mavuno hapo njaa itawaachaje sasa?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mindset yako imekaa kimashindano mashindano. Unadhani Tanzania tunalima kwaajili ya kushindanishwa na nchi nyingine.

Ondoa hiyo mentality kijana. Hatifanyi kazi ili tulinganishwe na nani.
1. Tunaziada ya mahindi
2. Tunaziada ya Mchele
3. Tunaziada ya mtama
4. Tunaziada ya muhogo
5. Tunaziada ya ndizi
6. Tunaziada ya viazi
7. Tunaziada ya maharage
8. Tunaziada ya mifugo

Tembelea Tanzania mkoa wowote, watu wanakula na kusaza.
Tunakukaribisha uje ujionee.
Acha kudanganya watu tz tunalima kiasi kidg cha mazao kiasi kikubwa wanalima wazungu na kuondoka navyo ndio maana tanzania tunapigwa sana njaa,hata afya zetu ni dhaifu kulingana na chakula kidg kinachozalishwa na wakulima wachache wa ndani kuwa na gharama,ndio maana tunatumia pia hata bidhaa nyingi za wakenya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya mko vzr hata katika udharishaji wenu wa bidhaa zenye uhitaji wa kila wakati mfano sabuni zenu za jamaa ziko kila kona na mahali pote kwa maisha ya mtanzania zile sabuni tukinunua kipande kimoja cha tsh500 tunafulia nguo,tunaogea na kuoshea vyombo,ukija kwenye upande wa dawa dawa za wakenya ni bora mno za kwetu hazitibu ukijiroga ununue za kit z unajipotezea muda yaani vitu vingi vya kikenya vinatamba tz hata upande wa chakula wakenya mna bidhaa nzr sana nyama,matunda,unga n.k KENYA NI MOYO WA AFRICA MASHARIKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya mko vzr hata katika udharishaji wenu wa bidhaa zenye uhitaji wa kila wakati mfano sabuni zenu za jamaa ziko kila kona na mahali pote kwa maisha ya mtanzania zile sabuni tukinunua kipande kimoja cha tsh500 tunafulia nguo,tunaogea na kuoshea vyombo,ukija kwenye upande wa dawa dawa za wakenya ni bora mno za kwetu hazitibu ukijiroga ununue za kit z unajipotezea muda yaani vitu vingi vya kikenya vinatamba tz hata upande wa chakula wakenya mna bidhaa nzr sana nyama,matunda,unga n.k KENYA NI MOYO WA AFRICA MASHARIKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania sasa hivi kwenye uzalishaji wa viwanda tunaimprove vitu vingi madukani hasahasa vyakula ni vya kitanzania na pia tumeanza kuzaliaha vitu kama sabuni miaka michache ijayo bidhaa za Tanzania zitadominate soko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya watu tz tunalima kiasi kidg cha mazao kiasi kikubwa wanalima wazungu na kuondoka navyo ndio maana tanzania tunapigwa sana njaa,hata afya zetu ni dhaifu kulingana na chakula kidg kinachozalishwa na wakulima wachache wa ndani kuwa na gharama,ndio maana tunatumia pia hata bidhaa nyingi za wakenya..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu mupitia comments zako zote katika thread mbalimbali. Kwa kweli nimegundua 100% wewe siyo mtanzania.
Huna sifa za utanzania.

So unajifanya kuwa wewe ni mtanzania wakati wewe ni mkenya.
Ulijiunga 2017 na mienendo yako yote ni ya likenya.
So wala usijisumbue sana kujificha
Hizi hapa comments zako za mwanzo mwanzo
Screenshot_20200427-093315.png
 
Wakenya mko vzr hata katika udharishaji wenu wa bidhaa zenye uhitaji wa kila wakati mfano sabuni zenu za jamaa ziko kila kona na mahali pote kwa maisha ya mtanzania zile sabuni tukinunua kipande kimoja cha tsh500 tunafulia nguo,tunaogea na kuoshea vyombo,ukija kwenye upande wa dawa dawa za wakenya ni bora mno za kwetu hazitibu ukijiroga ununue za kit z unajipotezea muda yaani vitu vingi vya kikenya vinatamba tz hata upande wa chakula wakenya mna bidhaa nzr sana nyama,matunda,unga n.k KENYA NI MOYO WA AFRICA MASHARIKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mkenya.
Kiswahili chako na uandishi wako unakuumbua:-
1. Udharishaji
2. Kitz
Na hapa:-
Screenshot_20200427-094238.png


You cannot hide your identity
 
Nimejaribu mupitia comments zako zote katika thread mbalimbali. Kwa kweli nimegundua 100% wewe siyo mtanzania.
Huna sifa za utanzania.

So unajifanya kuwa wewe ni mtanzania wakati wewe ni mkenya.
Ulijiunga 2017 na mienendo yako yote ni ya likenya.
So wala usijisumbue sana kujificha
Hizi hapa comments zako za mwanzo mwanzo
View attachment 1431916
Mimi ni mtanzania asili kabisa damu ya kinyamwezi sikonge huko tabora,siwezi kujitapa uongo kama mnavyojitapa nyie kwa majirani zetu waliotuzidi kila kitu mpka usmart kichwani,ndo mnavyodanganya wenzetu tz hakuna njaa wakati unga tu wa ugali sembe kilo tunanunu mpka tsh1600-700 saivi kdg ndio umefikia 1400 njaa ipo tena wavivu wa kilimo kwa cc raia wa ndani kilimo kikubwa kinafanywa na wawekezaji huo ndio ukweli ukiona nakukera mkuu unaweza kujknyonga kamba nitakupatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania sasa hivi kwenye uzalishaji wa viwanda tunaimprove vitu vingi madukani hasahasa vyakula ni vya kitanzania na pia tumeanza kuzaliaha vitu kama sabuni miaka michache ijayo bidhaa za Tanzania zitadominate soko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vitu gani tunavyozalisha weka wazi wenzetu wavione na mimi nitaweka vya kwao hapa tunavyotumia mkuu usilete janja janja hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale yale ya watu kuteseka kisiri.....wenzetu hawa jaameni.
Njaa hakuna Tanzania, hizo ni picha za wanafunzi shule za kata, wapo foleni kupata lunch.
Chakula kimejaa tangu mwaka jana.
Kwa taarifa yako Kenya mnanunua chakula kwetu.
Japo hatuwezi kuwa na chakula kila mmoja Tanzania nzima lakini kama nchi hatuna njaa mwaka huu mvua zimenyesha sana...mikoa ya Manyara, Singida, Dodoma, Shinyanga hadi Tabora wamekaribia kuvuna.
Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha hawa wamevuna mara mbili kwa mwaka, wamevuna Januari hadi Februari na wamepanda kuanzia Februari mwishoni na sasa mazao yako poa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale Watanzania ambao huwa mna tabia ya kutetea hizi guinea 🐷 nadhani sasa mnajionea tabia zao!
 
Mimi ni mtanzania asili kabisa damu ya kinyamwezi sikonge huko tabora,siwezi kujitapa uongo kama mnavyojitapa nyie kwa majirani zetu waliotuzidi kila kitu mpka usmart kichwani,ndo mnavyodanganya wenzetu tz hakuna njaa wakati unga tu wa ugali sembe kilo tunanunu mpka tsh1600-700 saivi kdg ndio umefikia 1400 njaa ipo tena wavivu wa kilimo kwa cc raia wa ndani kilimo kikubwa kinafanywa na wawekezaji huo ndio ukweli ukiona nakukera mkuu unaweza kujknyonga kamba nitakupatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezaliwa Sikonge sehemu gani!?
Wewe mnyamwezi unasalimiwaje!?
Jina lako LA ukoo ni nani!?
 
Back
Top Bottom