Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ww tu mkuu, mm pia nimeshindwa kusomaHayo maandishi mie sijaweza kuyasoma. Labda ubora was simu yangu sio.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye computer nimeyakuza ila zina onekanana data za kuazia mwaka 2012 hadi mwanzoni wa 2015 na zilitolewa na twaweza kuwa mojawapo ya yalioandikwa hapo ni kuwa 10% ya wanawake waTanzania wanazaa watoto wenye uzito pungufu kwa ajili ya lishe asilimia 40 watoto wamedumaa kwaajili ya lishe asilimia 64 ya watu wamjini wanaishi maisha magumu kwa ukosefu wa chakula haya yote kwa sababu ya ukame unaoikabili Tanzania kwani karibu nusu ya majira ya mwaka ni ukame tupu hayo nimefupisha kiasi
Kuficha na Kupika Takwimu ndiyo agenda ya CCM , halafu mnasema ni nchi yenye rutuba,
2020 ni mwaka wa kufichua ufedhuli wa WaTanzania - the North - Korea of Africa
View attachment 1431778
View attachment 1431779
View attachment 1431780
Hakuna mtz anaeongea kiswahili kizur wote tunaharibuWaKenya buaaana
Mnathubutu kuiweka Tz kwenye baa la njaaa hahahhh mnachekesha
Nyanda za Juu Kusini inalisha Tz sehemu kubwa na nje ya Tz
Tuna chakula Tunalima
WaKenya wavivu sana
Man mambo ninyi kha
Kama kwa BBCSwahili mmeandika Kenya ndio bora kwa Kiswahili kwenye msiba wa Proffesor Nani sijui
Muwe wa wakweli
Kiswahili bora ni Tz wengine wote mnajisogeza
Mnajivuna na Kidhungu bakieni nacho msijipe credit kwa Lugha ya Kiswahili
Kiswahili chenu kibovuuuuu
Aisee!!kwenye computer nimeyakuza ila zina onekanana data za kuazia mwaka 2012 hadi mwanzoni wa 2015 na zilitolewa na twaweza kuwa mojawapo ya yalioandikwa hapo ni kuwa 10% ya wanawake waTanzania wanazaa watoto wenye uzito pungufu kwa ajili ya lishe asilimia 40 watoto wamedumaa kwaajili ya lishe asilimia 64 ya watu wamjini wanaishi maisha magumu kwa ukosefu wa chakula haya yote kwa sababu ya ukame unaoikabili Tanzania kwani karibu nusu ya majira ya mwaka ni ukame tupu hayo nimefupisha kiasi
Yale yale ya watu kuteseka kisiri.....wenzetu hawa jaameni.
PoleeeeKuficha na Kupika Takwimu ndiyo agenda ya CCM , halafu mnasema ni nchi yenye rutuba,
2020 ni mwaka wa kufichua ufedhuli wa WaTanzania - the North - Korea of Africa
View attachment 1431778
View attachment 1431779
View attachment 1431780
View attachment 1431782
Nimesoma na kupuuza , nisiumize macho yanadai kuna UKAME MKUBWA MAENEO KARIBU YOTE TANZANIA NA KULETA UHABA WA CHAKULAHayo maandishi mie sijaweza kuyasoma. Labda ubora was simu yangu sio.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana.Njaa ya chakula inafichika?
Tanzania kuna njaa kisha Kenya iombe chakula? Watanzania wauze chakula ilhali wana njaa?
Uko vizuri kwenye propaganda za kuidunisha Tanzania na kujaribu kuonyesha uwongo kuwa Kenya ni bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikwisha wapelekea chakula bila shaka!pole sana.
whenever you need help, you can always reach out to me.
Tanzania: Declare Shortage of Food, PM Tells Regional Authorities
https://allafrica.com/stories/201703020574.html