Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Umeona sasa unashangaa bikra 72 maisha ya milele, wakati mfalme Selemani aliishi duniani muda mchache lakini alikuwa na wanawake 700, kuna shida kwenye akili yako, Mungu ikimpendeza aongeze wafike hata 100
🙄🙄🙄🙄🙄
 
unataka kuhalalisha jambo gani aisee??umeshawahi kusikia kuna mkristo anasema Yakobo ni mkristo na tunamfata huyo???sisi dira yetu ni kristo sio mtu mwingine na wewe ni shahidi kwamba alikuwa pure hakuwa na dhambi.

sasa mwanadam mfano wa kuigwa hajabakiza dhambi hata moja si katika jamii wala mifumo ya kisheria.

Hakukufundisha kuhusu Mungu alikufundisha kuhusu Allah Mungu wake wa mfukoni,laah asingekuelekeza ukasujudie kaaba pale macca upate msamaha wa dhambi.
 
Quran imejitoshereza ingeagiza mkawaulize watu wa kitaab???
ungekuwa unaisoma kwa kutafuta na hadithi ili kuunga unga uelewa???
 
Hii story ndo inaua maelfu ya mazombie pale Gaza.
Pasipo hii story ya kupanda lile li punda lenye mabawa la kuitwa nini sijui leo middle east pangekuwa ulaya
 
Quran imejitoshereza ingeagiza mkawaulize watu wa kitaab???
ungekuwa unaisoma kwa kutafuta na hadithi ili kuunga unga uelewa???
Quran haijawahi jitosheleza ndio maana Allah mwenyewe anasema mkiwa na shaka waulizeni watu wa kitabu..kiufupi quran imecopy biblia wakaongezea vistory vyao kidoogo.
 
Ukileta za kuleta tuna kufyeka. Diamond Ali kiba zuchu Marioo mbona hamja wa fyeka?
 
Quran imejitoshereza ingeagiza mkawaulize watu wa kitaab???
ungekuwa unaisoma kwa kutafuta na hadithi ili kuunga unga uelewa???
Kuuliza nini? sio kuuliza kuwa Mungu kavishwa nepi, ni kuuliza yale mazuri ambayo Quran inakubaliana nayo
 
Huyo Kristo mama yake ni chimbuko la Yakobo ambaye alikula mtu na dada yake pamoja na wafanyakazi wa ndani wote, kwahiyo huwezi watofautisha Yesu na Yakobo wote ni wana wa Israel, kubaka ni kelele zako Mohamadi alioa kwa ndoa na akapewa mke kihalali kabisaa, Allah katufundisha Mungu wa kweli, sio Mungu anaetiwa vidole vya macho na wahuni
 
Kuuliza nini? sio kuuliza kuwa Mungu kavishwa nepi, ni kuuliza yale mazuri ambayo Quran inakubaliana nayo
Sasa si umesema imejitoshereza??
Kuuliza nini? sio kuuliza kuwa Mungu kavishwa nepi, ni kuuliza yale mazuri ambayo Quran inakubaliana nayo
Wala haikusema kuhusu nepi unawashwa,umeamua kuiongezea maneno Quran,imesema mkihitilafiana wenyewe kwa wenyewe.

Boss hii mada iko juu ya uwezo wako.
 
So what??
Kasome tena kwa umakini nilichokuandikia.
Sisi yakobo sio nabii wetu na wala hatumnukuu popote kwamba ni kiumbe wa mfano kuna mambo mengi tu alifanya kama binaadam wa kawaida wa leo.

Wewe uko tayar kuniua mimi nilikwambia Muhammad ni firauni tu mjaa laana hufai kumchukulia kama kiumne bora wa daraja lako.kwamba mtume wa Allah kipenzi cha uma na kiongozi wa daraja akaenda kumtia mtoto wa miaka 9😆😆😆.unajua unafaa kuwa mwehu kiasi gani kupokea hilo swala!!!!

Kama alioa kihalali na Allah akaridhia na hakuna tatizo katika hilo,mkae kwa kutulia tunapompika,sio mnajaribu kusafisha mavi kwa mkojo.

Kama Allah kawafundisha kuhusu Mungu wa kweli basi ni Mungu mwingine sio Muumba mbingu na nchi.
 
Punda gani alikuambia Uislam ni Submission?

Kasome hata Tafsiri zote duniani hata za kiarabu.. Islam maana yake ni Surrender so YACOBO haku Surrender (Islam) Submission ni another word.. you get busted yourself Naive.
Kama Mnamuamini Jacob basi Mungu wake nae mumuamini sio Allah iblis
 
Uislamu kwa maana ya ujumla upo tangu Ibrahimu.kwa ufupi hakuna nabii wala Mtume ambaye hakuwa Muislamu.
 
Kama yakobo ni muislamu na kile kinachoendelea mashariki ya kati sitakuwa nimetoa kashifa kwa dini ya kiislamu kuwa ni dini ya shetani.

Kwanini ? Ulitakiwa uujue kwanza Uislamu unasemaje juu ya kadhia ya Palestina kabla ya kuandika haya.

Sababu kwenye Uislamu yameelezewa haya. Ardhi ya Palestina ni Ardhi ya Waislamu na itarithiwa na Waislamu.

Wapalestina ndugu zetu wamepata mtihani sababu Kuna mambo wamekosea katika Uislamu. Ila mwisho wa ardhi ya Palestina ni ya Waislamu wote na itarithiwa na Waislamu.
 
Ninacho kimanisha ni kwamba kama ushahidi upo unaothibitisha kuwa Yakobo ni muislamu kwa nini waislamu wenzake wamshambulie muislamu mwenzao wakati na yeye ana haki ya kukalia ardhi ya waislamu wenzake?.
 
Hata angekuwa na mwaka mmoja ameoa kihalaii na wazazi wamemtoa mtoto wao , uislamu huko wazi alioa, YAKOBO ndio Israel yenyewe hawa wana waisrael mnao wasema sasa bila Yakobo wasingekuwepo maana yeye ndio kawazaa sasa ajabu unajizima data wakati hawa waisrael walipatikana kwa Yakobo kugonga mtu na dada yake pamoja na wafanyakazi wao wa ndani halafu unasema eti Yakobo sio nabii wetu nani kakuuliza nabii hapa!!!! Yesu ni uzao wa ndugu wawili kupigwa bakora na Yakobo pamoja na wafanyakazi wao wa ndani maarufu mabeki tatu halafu unakuja kutupigia kelele eti Mohamadi anamtaka mke wa mwanae, huyo mwanae alizaa na mwanamke gani!!! yule ni mtoto wa kufikia tu sio mwanae , hivyo kabla hujashangaa hilo shangaa Yakobo mwenye jina lake Israel kupiga Threesome mtu na dada yake tumbo moja ili kuwatafuta wana wa Israel 😂😂😂
 
Sasa si umesema imejitoshereza??

Wala haikusema kuhusu nepi unawashwa,umeamua kuiongezea maneno Quran,imesema mkihitilafiana wenyewe kwa wenyewe.

Boss hii mada iko juu ya uwezo wako.
Quran imeshasema Yesu alikuwa anakunya na kula kama nyie, sio Mungu sasa hapo kuna la kuuliza, ndio maana nimekwambia kwa uwazi Quran inataka kuuliza yale ambayo inakubaliana nayo sio ule upuuzi wa Mungu kuvikwa nepi, huo ni ukafiri kwa mujibu wa Quran hakuna cha kuuliza hapo acha kujizima data wewe , halafu kwani sisi ndio tulikwambia uabudu Mungu alievishwa nepi si ujinga wako mwenyewe
 
Hili lijinga
 
Quran haiwezi kuwa kielelezo cha kila uhalisia maana hata jua haijui linazama wapi,Yesu kazaliwa ktk zizi la ng'ombe yenyewe inasema amezaliwa chini ya mtende.
Mirian ni dada wa haruni yenye inasema mariam mama wa Yesu ndie dada wa haroun.

Kitabu ambacho kinafail dialogue ya awali tu hakiwezi kuwa hatima ya mambo Makubwa yanayomhusu Mungu.

Wacheni kiwape miongozo ya kuoa wake wanne na kupiga makelele saa 05 asubuhi mambo mazito hiyo haiwezi kabisa.
 
Unataka uhalisia gani kama mpaka sasa mmeshindwa kuelewana kuwa Habakuki ni kitabu ndani ya biblia au sio kitabu? wewe unazungumzia uhalisia wakati kuna wakristo wengine wanatumia vitabu 66 tu vile vingine wanasema havina pumzi ya Mungu na wale wengine wanatumia 72/73 vurugu tupu,Quran iko vizuri kabisaa wewe lete hapa aya moja moja utaelekezwa sio unarusha mate kama nyoka wakati mwalimu nipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…