Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Dini hiyo ya kuletewa itakupeleka wapi ndugu. Rudi kwenye dini ya asili ya mababu zako, waliamini kwenye Mungu na mababu zao.
 
Hata angekuwa na mwaka mmoja ameoa kihalaii na wazazi wamemtoa mtoto wao ,
Uislam na mitombo ni dam damu,ndio maana hata huoni shida hapo mradi mzazi karidhia,naweza kumuoa binti yako wa miaka 6 leo???nawewe ukakubali??
uislamu huko wazi alioa, YAKOBO ndio Israel yenyewe hawa wana waisrael mnao wasema sasa bila Yakobo wasingekuwepo maana yeye ndio kawazaa sasa ajabu unajizima data wakati hawa waisrael walipatikana kwa Yakobo kugonga mtu na dada yake pamoja na wafanyakazi wao wa ndani halafu unasema eti Yakobo sio nabii wetu nani kakuuliza nabii hapa!!!!
Usiww na akili fupi kama za mtume wako???wewe shule umeenda na huwenda imekusaidia kidogo.
adam na eva ni chimbuko la binaadam wote,lakini tunakubaliana kabisa kwamba kuna uhuni alifanya akasababisha balaa kubwa.
uhuni aliofanya ulikuwa kinyume na muumba wake.hakuna anayemtetea kwa sababu yeye ndiye asili kwenye ujinga anaelezwa tu kavu.
Yesu ni uzao wa ndugu wawili kupigwa bakora na Yakobo pamoja na wafanyakazi wao wa ndani maarufu mabeki tatu halafu unakuja kutupigia kelele eti Mohamadi anamtaka mke wa mwanae
yakobo alilazimishwa kuoa mtu na dada yake,wala haikuwa ridhaa yake au msukumo wa ashki majinuun kama za mtume na hata alipozaa na beki 3 yalikuwa maagizo maalumu.
hii tu inazidi kukuweka uchi wewe na mtume wako vyande😂😂😂.
huyu fala yeye alitizama tu mke wa mwanaye akamtamani akamla,kama mbwa.
, huyo mwanae alizaa na mwanamke gani!!! yule ni mtoto wa kufikia tu sio mwanae ,
Huu utetezi wa kifala kabisa,huyu bazazi hata bi khadija alimla kwa mbinu hizo hizo kwamba anampa matunzo😂😂,inawezekana kabisa hata kijana aliyemuasili alimvuta jirani ili amt ombee,na akafanya kweli.
hivyo kabla hujashangaa hilo shangaa Yakobo mwenye jina lake Israel kupiga Threesome mtu na dada yake tumbo moja ili kuwatafuta wana wa Israel 😂😂😂
Yakobo alipewa wake wawili maana ilikuwa ni haram kumwoa mdogo mtu dada akiwa bado,na alizaa na kijakazi kwa maagizo maalumu,

Sheikh maandazi bajia barkashia kashata,embu tueleze Allah alimpa maagizo Muhammad ya kumt omba aisha wa miaka 9 ili atengeneze nini???akampa tena maagizo ya kumla mkwewe ili azalishe nini😁😁😁.

Tume mpechempeche linapenda chupi balaa🤣🤣🤣🤣
 
Unataka uhalisia gani kama mpaka sasa mmeshindwa kuelewana kuwa Habakuki ni kitabu ndani ya biblia au sio kitabu? wewe unazungumzia uhalisia wakati kuna wakristo wengine wanatumia vitabu 66 tu vile vingine wanasema havina pumzi ya Mungu na wale wengine wanatumia 72/73 vurugu tupu,Quran iko vizuri kabisaa wewe lete hapa aya moja moja utaelekezwa sio unarusha mate kama nyoka wakati mwalimu nipo
Narudia tena sio kenge yeyote wa kiislam anayeweza kunielewesha kuhusu Quran maana hakuna aliyeielewa.

Swali la msingi kwako habakuki inaeleza nini kuhusu ujio,kifo na ufufuko wa Yesu???

Hujui hata historia ya uislam na Quran maana uthman ndio mtu alijipa mamlaka ya kukusanya mabaki ya Quran na kuyaweka pamoja,yeye ndiye kazikwa na siri za ukweli wa aya zilizopo ktk Quran,maana zipo ambazo hakuzipenda akazitupa.
Yaani mtume hakuwa anajua kusoma.
Akakariri aya na kuwasomewa waandishi.
Wakaandika na wakasomesha watu wakazikariri.
Baadae mtume kafa miaka mingi baadae uthman anaamua ipi iwemo ipi hapana.

Nenda katafiti uzuri.
 
Narudia tena sio kenge yeyote wa kiislam anayeweza kunielewesha kuhusu Quran maana hakuna aliyeielewa.

Swali la msingi kwako habakuki inaeleza nini kuhusu ujio,kifo na ufufuko wa Yesu???

Hujui hata historia ya uislam na Quran maana uthman ndio mtu alijipa mamlaka ya kukusanya mabaki ya Quran na kuyaweka pamoja,yeye ndiye kazikwa na siri za ukweli wa aya zilizopo ktk Quran,maana zipo ambazo hakuzipenda akazitupa.
Yaani mtume hakuwa anajua kusoma.
Akakariri aya na kuwasomewa waandishi.
Wakaandika na wakasomesha watu wakazikariri.
Baadae mtume kafa miaka mingi baadae uthman anaamua ipo iwemo ipi hapana.

Nenda katafiti uzuri.
Tulia upate dawa wewe ni wale wa 66 au 72/73 ? Kwanza tukujue , Habakuki wale wa 66 kinaonekana ni kitabu cha kitapeli halafu unaniuliza habari za Yesu kwenye Habakuki kawaulize wale wanaokikataa ndio uje hapa sawa dogo? yaani mtu anaamua kufuta vitabu 6 na hakuna kitu mtamfanya halafu unataka sisi tuulize habari za Mungu mvaa nepi hauko serious wewe !!😂😂Quran ni kitabu bora kabisaaa hakina longo longo
 
Tulia upate dawa wewe ni wale wa 66 au 72/73 ? Kwanza tukujue , Habakuki hakuna liko na wale wa 66 kinaonekana ni kitabu cha kitapeli halafu unaniuliza habari za Yesu kwenye Habakuki kawaulize wale wanaokikataa ndio uje hapa sawa dogo? yaani mtu anaamua kufuta vitabu 6 na hakuna kitu mtamfanya halafu unataka sisi tuulize habari za Mungu mvaa nepi hauko serious wewe !!😂😂Quran ni kitabu bora kabisaaa hakina longo longo
Sasa ndio utumie akili kujua kwamba kuna vitabu vimetolewa maana uwepo wake na kutokuwepo kwake hakubadilishi chochote katika msingi mzima wa imani.maana hata wewe unakubali ni cha kihuni,kama kile cha barnaba ambacho kiliandikwa karne ya 12.
Ndio maana unaona kuna madhehebu mengi ila hakuna linalokataa Yesu hakufa wala kufufuka,maana ndio msingi wa ukristo.

Quran hii hii iliyosema nyota ni urembo umeweka kupamba anga😁😁😁,ah kudadadeki.
 
Kwahiyo wewe unataka uislamu utajwe na biblia ili iweje? ikiwa biblia yenyewe kuna watu baadhi ya vitabu hawavitaki mfano Habakuki n.k wenyewe mpaka sasa mmeshindwa kukubaliana vitabu ni 72/73 au 66? ebu tulia Quran inajitosheleza hatuitaji kitabu kingine ambacho wenyewe hamuelewi , ila ukipinga andiko la Quran uje na andiko lako sio porojo
ili nijue kama uislam ulikuwepo kabla ya Biblia. ama la, utakuwa uongo.
 
Sasa ndio utumie akili kujua kwamba kuna vitabu vimetolewa maana uwepo wake na kutokuwepo kwake hakubadilishi chochote katika msingi mzima wa imani.maana hata wewe unakubali ni cha kihuni,kama kile cha barnaba ambacho kiliandikwa karne ya 12.
Ndio maana unaona kuna madhehebu mengi ila hakuna linalokataa Yesu hakufa wala kufufuka,maana ndio msingi wa ukristo.

Quran hii hii iliyosema nyota ni urembo umeweka kupamba anga😁😁😁,ah kudadadeki.
mbona unaruka ruka tena suala la mimi kukubali sio hoja, wewe mkristo tuambie ni yupi kati ya hawa wanasema kweli 66 au 72/73? hawa wa 66 wanaona vile vitabu 6 ni takataka badala ya kujadili unaanza kusema eti wewe unakubali sasa mimi mkristo?😂😂😂 kitabu ambacho hakijulikani idadi ipi inakubalika kwa wanaoamini unataka kufananisha na Quran iliotulia kabisaaa, nimeshakwambia lete hapa aya yeyote nitakufundisha mimi sio mtu wa kuacha wanafunzi kama wewe Mkae, hii ndio shida ya kumfanya mnya mavi kama wewe kuwa ni Mungu shida sana
QURAN imesema mengi kuhusu nyota mbona umeishia kwenye urembo? Kijana nimeshakwambia hapa upo na mtaalamu kazi nyingine za nyota hizi HAPA
QURAN 6:97
Ni Yeye ndiye aliyekuumbieni nyota ili mwongoke kwazo katika viza vya bara na bahari.

Kutoa mwanga wakati wa Giza ni faida za nyota, ni urembo unapendezesha dunia n.k wewe unafikiri Allah wa mchezo mchezo hapa utaisoma namba kweli kweli
 
1. Ndio shida ya kuamka umelewa Biblia iwe kitabu cha Mungu watu wakatae vitabu 6 wewe unasema havina athari? 😂😂😂
Vina athali gani??wanaotumia 66 msingi wao wa imani ni upi tofauti na wa 77 au 72??
yaani watu wakatae mafundisho ya Mungu kuwa ni takataka unakuja hapa kuropoka havina athari !!! nimecheka sana, watu wanajiamulia tu hivi vitabu vya Mungu hivi sio kwa Mungu kwa utashi wao halafu unaniletea mimi hoja za kitoto eti havina athari , wewe sio mzima kama yule Mungu wako walio mchapa makofi wewe
Mimi ni mzima kuliko Allah wako aliyeamua kukupa mtume kama Muhammad alikudharau sana,
hivyo vitabu 6 vina mafundisho yapi ya Mungu ambayo wewe unadhani hayafuatwi???
2.Uislamu unatambua ukristo ndio maana mara zote umesisitiza Mungu hana mwana
huyo ni Allah sio Mungu,sema umesisitiza Allah hawezi kuwa na mwana maana hana mke,yaani inahitaji Allah kuingilia mke ili awe na mwana😁😁
, Yule Mungu wenu ni kiumbe tu cha Mungu , ambacho kinakwenda chooni na kula kama wewe , Quran iko wazi acha kuabudu binadamu wenzao, sio kutambua tu imekuonya pia kuachana na kuabudu kiumbe kama wewe
Yesu ni kiumbe kabisa,na ni Mungu kabisa.
wakati Muhammad anajaribu kuwafundisha Mungu ni nani alichanganya akaweka finction zake za ndotoni na maandiko yaliyotanguli,ndio maana unaoa story nyingi zina mkanganyiko.

Hivi wewe kwa akili zako unaweza kukataa Mungu hana mwana halafu useme,umekuja kusisitiza maandiko yaliyopita???sawa hakujua kusoma hajawahi kusoma popote Je Allah hakujua yalisemaje aliyowapa waliomtangulia mtume wake wa maji ya ugoko??
3.Mimi nitakufundisha Quran siku zote maana mimi najua wanafunzi kama wewe mpo, unaleta vitu robo robo mimi nitakueleleza kitu kizima, maana hapa umekutana na mwalimu wa kiwango kikubwa kabisaaa
Mwalimu wa kiwango kikubwa wa Quran😆😆.

4.Umetaja nyota mwenyewe kuwa Quran imesema nyota ni urembo tu ukaishia hapo ukaanza kujichekesha, mimi kama mwalimu nikakwambia usiishie hapo tu vile vile imetaja nyota kwa ajili ya kutoa mwanga nyakati za Giza popote pale bara au baharini, sasa unalia lia nini hapo 😂😂😂 au unafikiri tunabahatisha ukaona umeandika kitu cha maana nitakunyoosha humu
😂😂😂kaka nyota zinatoa mwanga???uko serious??
Yaani issue ya urembo wa anga unaona nimeandika pumba ila uje upinge kwamba Quran imesema pia zinatoa mwanga😁😁.
Dah!!!
,,WHEN IT WAS DARK THESE STARS WOULD LIGHT UP THE SKY GIVING PEOPLE LIGHT ‘
Kmmmk🤣🤣🤣🤣
Kijana hakuna kubahatisha HAPA
Kaka geography ya darasa la 5 hii kaka,ulimaliza shule ya msingi kweli wewe???nyota ya karibu kabisa na yenye nguvu ya kutoa mwanga na joto ni jua peke yake.
Zilizobaki zote hazina uwezo huo,umeshawahi kuishi porini gizani bila mwezi ila nyota peke yake???
Niambie zilikusaidia kuona nini😂😂😂
 
Vina athali gani??wanaotumia 66 msingi wao wa imani ni upi tofauti na wa 77 au 72??

Mimi ni mzima kuliko Allah wako aliyeamua kukupa mtume kama Muhammad alikudharau sana,
hivyo vitabu 6 vina mafundisho yapi ya Mungu ambayo wewe unadhani hayafuatwi???

huyo ni Allah sio Mungu,sema umesisitiza Allah hawezi kuwa na mwana maana hana mke,yaani inahitaji Allah kuingilia mke ili awe na mwana😁😁

Yesu ni kiumbe kabisa,na ni Mungu kabisa.
wakati Muhammad anajaribu kuwafundisha Mungu ni nani alichanganya akaweka finction zake za ndotoni na maandiko yaliyotanguli,ndio maana unaoa story nyingi zina mkanganyiko.

Hivi wewe kwa akili zako unaweza kukataa Mungu hana mwana halafu useme,umekuja kusisitiza maandiko yaliyopita???sawa hakujua kusoma hajawahi kusoma popote Je Allah hakujua yalisemaje aliyowapa waliomtangulia mtume wake wa maji ya ugoko??

Mwalimu wa kiwango kikubwa wa Quran😆😆.


😂😂😂kaka nyota zinatoa mwanga???uko serious??
Yaani issue ya utembo wa anga unaona nimeandika pumba ila uje upinge kwamba Quran imesema pia zinatoa mwanga😁😁.
Dah!!!

Kmmmk🤣🤣🤣🤣

Kaka geography ya darasa la 5 hii kaka,ulimaliza shule kweli wewe???nyota ya karibu kabisa na yenye nguvu ya kutoa mwanga na joto ni jua peke yake.
Zilizobaki zote hazina uwezo huo,umeshawahi kuishi porini gizani bila mwezi ila nyota peke yake???
Niambie zilikusaidia kuona nini😂😂😂
1. Tutaelewana tu , wanaotumia 66 maana yake wameona kuwa vile 6 huyo Mungu wako alikosea ndio maana HAWAVITAKI, sasa kama wanaweza kukataa maneno ya Mungu wao hiko kitabu cha nini mimi? yaani watu wanaweza kulala na kuamka na kuanza kufuta maandiko ya Mungu halafu unauliza athari gani aiseee wewe jamaa huko serious kweli? 😳😳
2.Allah amesha sema na nimesha kufundisha Wale wanaosema kuwa Yesu ni mwana wa Mungu kisa hana baba ndio Allah amekataa kuwa hilo jambo halipo, Yesu ni kiumbe tu cha Allah kama viumbe wengine mfano Kuku, Bata n.k ni kichaa pekee ndio anaweza kuamini Mungu wake kavalishwa nepi na kachambishwa mavi

3. Kuhusu nyota nimeshakufundisha wakati wa giza zenyewe ndio zina mulika anga na kutoa mwangaza sasa hapa napo huelewi??yaaan mtu unaambiwa kabisaa wakati wa GIZA unasema jua linatoa mwanga , ebu nenda hata kagoogle basi acha uvivu, watu walisha thibitisha

UNA SWALI JINGINE wakati wa GIZA uwe unaelewa wewe 😂😂😂😂, GIVING PEOPLE LIGHT , hapa utapata elimu bureee

D63CEFA9-013D-4F82-8F2E-0CE7A48608D8.jpeg
 
Asingekuwa Hajir kijakazi wa Ibrahim,tusingekuwa na vizazi vya Al-Shaabab na Boko Haram
 
1. Tutaelewana tu , wanaotumia 66 maana yake wameona kuwa vile 6 huyo Mungu wako alikosea ndio maana HAWAVITAKI, sasa kama wanaweza kukataa maneno ya Mungu wao hiko kitabu cha nini mimi? yaani watu wanaweza kulala na kuamka na kuanza kufuta maandiko ya Mungu halafu unauliza athari gani aiseee wewe jamaa huko serious kweli? 😳😳
Mimi niko serious nakuuliza vitabu 66 vina wakristo aina gani tofauti na hawa wa 77 hujibu mkuu??
Au kama hilo gumu hujui niambie vitabu 6 vilivyotolewa vina maagizo gani ya Mungu???
Wewe sio mkristo huujui ukristo najaribu kukuyliza kulingana na uelewa wako lakini bado inakuwa ngumu kunielewa.
2.Allah amesha sema na nimesha kufundisha Wale wanaosema kuwa Yesu ni mwana wa Mungu kisa hana baba ndio Allah amekataa kuwa hilo jambo halipo,
Ndio maana tunasema Allah hajawahi na hatakuwa Mungu,Mungu ametambua watu kibao kama wanaye yeye,lakini mlivyo wachafu wa tabia na mawazo akili zimewapeleka kwenye kutiana kupata mimba🤭🤭🤭.
Yesu mwenyewe mnayemkomalia kwamba ni muislam anapingana na maagizo ya Allah kwa kumwita baba yake,unaona hoja kwamba uislam ni dini ya kwenye wallet ya Muhammad inapoibukia???
Yesu ni kiumbe tu cha Allah kama viumbe wengine mfano Kuku, Bata n.k ni kichaa pekee ndio anaweza kuamini Mungu wake kavalishwa nepi na kachambishwa mavi
Ok tufanye ni kiumbe kama bata,wewe unaweza kumsujudia??? Haiwezekani kusujudia bata.
ila na akili zako timamu unakwenda kusujudia jiwe jeusi,tena limeumbwa na mtu sio Mungu kwamba walau lina pumzi😂😂😂.
3. Kuhusu nyota nimeshakufundisha wakati wa giza zenyewe ndio zina mulika anga na kutoa mwangaza sasa hapa napo huelewi??yaaan mtu unaambiwa kabisaa wakati wa GIZA unasema jua linatoa mwanga , ebu nenda hata kagoogle basi acha uvivu, watu walisha thinitisha
Narudia tena hii ni sayansi ya la 5 b,na kukusisitiza nikakuuliza umeshawahi kuishi mazingira ya giza kukiwa hakuna mbalamwezi wala mawingu???ulishuhudia mwanga upi kutoka kwenye nyota ukikusaidia hata kuokota kuni???😂😂.

UNA SWALI JINGINE wakati wa GIZA uwe unaelewa wewe 😂😂😂😂
ndio wakati wa giza kabisa bila mbalamwezi wala mawingi yaani nyota zikiwa wazi kabisa.
dah kmmmk Quran😂😂😂😂
 
Mimi niko serious nakuuliza vitabu 66 vina wakristo aina gani tofauti na hawa wa 77 hujibu mkuu??
Au kama hilo gumu hujui niambie vitabu 6 vilivyotolewa vina maagizo gani ya Mungu???
Wewe sio mkristo huujui ukristo najaribu kukuyliza kulingana na uelewa wako lakini bado inakuwa ngumu kunielewa.

Ndio maana tunasema Allah hajawahi na hatakuwa Mungu,Mungu ametambua watu kibao kama wanaye yeye,lakini mlivyo wachafu wa tabia na mawazo akili zimewapeleka kwenye kutiana kupata mimba🤭🤭🤭.
Yesu mwenyewe mnayemkomalia kwamba ni muislam anapingana na maagizo ya Allah kwa kumwita baba yake,unaona hoja kwamba uislam ni dini ya kwenye wallet ya Muhammad inapoibukia???

Ok tufanye ni kiumbe kama bata,wewe unaweza kumsujudia??? Haiwezekani kusujudia bata.
ila na akili zako timamu unakwenda kusujudia jiwe jeusi,tena limeumbwa na mtu sio Mungu kwamba walau lina pumzi😂😂😂.

Narudia tena hii ni sayansi ya la 5 b,na kukusisitiza nikakuuliza umeshawahi kuishi mazingira ya giza kukiwa hakuna mbalamwezi wala mawingu???ulishuhudia mwanga upi kutoka kwenye nyota ukikusaidia hata kuokota kuni???😂😂.


ndio wakati wa giza kabisa bila mbalamwezi wala mawingi yaani nyota zikiwa wazi kabisa.

dah kmmmk Quran😂😂😂😂
1.Wakristo wote walikuwa wanatumia vitabu 72/73, baada wakaja wale watu wamabadiliko wakaona vile vitabu 6 vinamatatizo Mungu wao alichanganyikiwa kwahiyo wakavitoa , sasa kama watu wanaweza kuamua tu kutoa vitabu kama wanatoa sisimizi mwilini unaniambia hakuna athari hujawai kuwa serious wewe 😳😳, Roman katoliki wanatumia 72/73 kama zamani, kuna hawa walimtoa Mungu wao kasoro na kufuta vile vitabu 6 na kutumia 66 ambao ni wasabato, Anglikana, lutheran n.k, yaani ukifika kwa hao wanajua kuwa vile vitabu Sita Mungu wako ALIVURUGWA HAVIFAI hatari sana hii

2.Yesu yupi tena sisi kwetu ni kiumbe kama wewe hapo , nimeshakwambia wale wanaodai eti kwa kuwa Yesu hana baba basi baba yake ni Mungu hao ndio Allah kawakataa, Allah anapotaka jambo huliambia KUWA linakua hakuna haja ya kumpanda mtu mimba ya kiumbe wake Yesu itokee, japo bado kuna watu akili zao haziko sawa wanamfanya binadamu mwenzao aliekuwa ananyoa vuzi kama wao kuwa ni Mungu, ni akili mbovu tu

3.Jiwe jeusi halina shida, mbona Quran iko wazi Allah ndio Mungu sasa wewe umevurugwa wapi? Quran imenyooka wa kuabudiwa ni Allah haya mengine ni hatua tu

4.Hoja ya nyota imekushinda unaruka ruka sasa kama unawabishia hawa mimi nikusaidie nini 😂😂😂😂 vinginevyo labda kiingereza kuwa ni shida yako
WAKATI WA USIKU, NYOTA INAMULIKA ANGA NA KUTOA MWANGA , na hivi ndivyo Allah amesema kwenye Quran tukufu kabisa , au hawa pia huwataka wamekugeuka 😂😂
93A48943-87B0-4D99-BC0E-5E01586EAB89.jpeg
 
1.Wakristo wote walikuwa wanatumia vitabu 72/73, baada wakaja wale watu wamabadiliko wakaona vile vitabu 6 vinamatatizo Mungu wao alichanganyikiwa kwahiyo wakavitoa , sasa kama watu wanaweza kuamua tu kutoa vitabu kama wanatoa sisimizi mwilini unaniambia hakuna athari hujawai kuwa serious wewe 😳😳, Roman katoliki wanatumia 72/73 kama zamani, kuna hawa walimtoa Mungu wao kasoro na kufuta vile vitabu 6 na kutumia 66 ambao ni wasabato, Anglikana, lutheran n.k, yaani ukifika kwa hao wanajua kuwa vile vitabu Sita Mungu wako ALIVURUGWA HAVIFAI hatari sana hii
Kati ya hao wakristo uliowataja ni kundi lipi linaamini Yesu hakuzaliwa,hakufa wala hakufufuka??
2.Yesu yupi tena sisi kwetu ni kiumbe kama wewe hapo , nimeshakwambia wale wanaodai eti kwa kuwa Yesu hana baba basi baba yake ni Mungu hao ndio Allah kawakataa, Allah anapotaka jambo huliambia KUWA linakua hakuna haja ya kumpanda mtu mimba ya kiumbe wake Yesu itokee, japo bado kuna watu akili zao haziko sawa wanamfanya binadamu mwenzao aliekuwa ananyoa vuzi kama wao kuwa ni Mungu, ni akili mbovu tu
Ahaa kwahiyo wewe unaamini Mungu alitoa agizo tu kwa kauli na mimba ikatungwa kwa mariam???
Au wewe unaamini Mungu hawezi hili mpaka awe na mke chumbani😂😂😂
3.Jiwe jeusi halina shida, mbona Quran iko wazi Allah ndio Mungu sasa wewe umevurugwa wapi? Quran imenyooka wa kuabudiwa ni Allah haya mengine ni hatua tu
Sina tatizo na yupi wa kuabudiwa,nauliza kwanini unasujudia jiwe jeusi??😂😂kwenye reli tafadhali usiruke ruke kama farasi.
4.Hoja ya nyota imekushinda unaruka ruka sasa kama unawabishia hawa mimi nikusaidie nini 😂😂😂😂 vinginevyo labda kiingereza kuwa ni shida yako
WAKATI WA USIKU, NYOTA INAMULIKA ANGA NA KUTOA MWANGA ,
Acha upumbavu mkuu,kuwa na imani haimaanishi uwe mpumbavu😄😄nyota haitoi mwanga wenye nguvu kuangaza popote duniani isipokuwa jua peke yake na mwezi ambao huakisi juani.
na hivi ndivyo Allah amesema kwenye Quran tukufu kabisa , au hawa pia huwataka wamekugeuka 😂😂
View attachment 3131285
Ndio maana tunasema Allah sio Mungu,uelewe sasa😂😂😂
 
Nabii Yakubu (Jacob) alikuwa ni mtumishi wa Mungu aliyeishi kabla ya Uislamu, Ukristo, au Uyahudi kujitokeza kama dini zilivyo leo. Katika Uyahudi na Ukristo, anachukuliwa kama mmoja wa mababu wa taifa la Israeli. Katika Uislamu, Yakub anaheshimiwa kama nabii na mmoja wa mitume wa Mwenyezi Mungu, lakini Uislamu ulianzishwa na Mtume Muhammad karne nyingi baada ya maisha ya Yakub.

Kwa hiyo, ingawa Yakub anaheshimiwa katika Uislamu kama nabii, hakuwa "Mwislamu" kwa maana ya kufuata dini ya Kiislamu, bali alikuwa mfuasi wa Mungu Mmoja aliyehubiri ujumbe wa kumtii Mwenyezi Mungu, sawa na manabii wengine waliomtangulia Muhammad.
Kwahiyo Jacob alikuwa hana dini?

Unataka kutuambia kuwa Jacob alikuwa mpagani?

Alafu Cha kushangaza umeeleza habari za Jacob Kwa hisia zako na akili zako badala ya kutumia mandiko au haujui kuwa Jacob alikuwa nabii wa Mungu

Quran 2:133
- Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake.


Hilo andiko hapo Allah anaanza Kwa kuliza swali na wanaoulizwa hapo ni makafiri kama wewe walikuwa wanasema Jacob alikuwa mpagani

Alafu Allah anaendelea kuelezea manano ya mwisho ya nabii Jacob aliyo waambia wanawe kuwa wasitoke katika mstari waendelee kumuabudu Mungu mmoja tu

Wewe unatakiwa utaje dini ya Jacob Ili Quran ionekane imedanganya hapo iliposema Jacob na kizazi chake wote walikuwa waislam
 
Wakristo wengiiii Tz ni bunge la ngoma wanafuata upepo tu hawajui hata dini yao any way kata ubishi (Lakum diyn Waliyadiyn) Nyie muna dini yenu na sisi tuna dini yetu full stop.By the way Taifa hili Waislamu ndio waliosimama kidete kupigia uhuru wakristo sijui mulikuwa wapi Zaidi ya Nyerere walimpa kipa umbele baadae akawageukia waislamu.
 
Kati ya hao wakristo uliowataja ni kundi lipi linaamini Yesu hakuzaliwa,hakufa wala hakufufuka??

Ahaa kwahiyo wewe unaamini Mungu alitoa agizo tu kwa kauli na mimba ikatungwa kwa mariam???
Au wewe unaamini Mungu hawezi hili mpaka awe na mke chumbani😂😂😂

Sina tatizo na yupi wa kuabudiwa,nauliza kwanini unasujudia jiwe jeusi??😂😂kwenye reli tafadhali usiruke ruke kama farasi.

Acha upumbavu mkuu,kuwa na imani haimaanishi uwe mpumbavu😄😄nyota haitoi mwanga wenye nguvu kuangaza popote duniani isipokuwa jua peke yake na mwezi ambao huakisi juani.

Ndio maana tunasema Allah sio Mungu,uelewe sasa😂😂😂
1. Hivi ni vichekesho kuamini Yesu Mungu kuna husika vip na kukataa vitabu vya Mungu wenu? binadamu unawezaje kukataa vitabu vya Mungu kuwa HAVIFAI hapa ndio HOJA ilipo acha kupuyanga 😂😂 yaani unafuta vitabu vya Mungu ukiulizwa unasema kwani wote si tunaamini Yesu ni Mungu wewe jamaa kichwani ziko sawa!!, tuambie hapa kwa mamlaka gani binadamu anaweza kufuta vitabu 6 vya Mungu acha kupuyanga

2.Sijda ni heshima tu kama ambavyo mnaweza kuheshimu yale masanamu pale kanisani na kuyapigia magoti, hakuna kingine pale , ndio maana swala ni 5 na hakuna jiwe wala pango ndani yake , au kile kisanamu cha Mungu wenu mule kanisani akiwa kavalishwa kachupi na miba kichwani si mnakapigia magoti na kupiga ishara ya msalaba, kumbe mnaabudu kale kasanamu?😂😂😂hizo ni heshima tu za kumbukizi hakuna la ajabu, ndio maana jiwe tunalibusu na kulishika

3.Haya bishana na watu wa BBC kuwa nyota haitoi mwanga , shida ni kufikiri Allah ana bahatisha , eti nyota haitoa Mwanga hapo inatoa masikio yako 😂😂😂😂😂😂, nimeshakwambia hapa umekutana na mtaalamu aswa

E8972928-C0EB-4AFA-8ED9-F6CEFCB7E260.jpeg


Tutaelewana tu nakwambia
8C7E6F81-EBB4-405B-AB89-D2436140EBED.jpeg
 
Kwahiyo Jacob alikuwa hana dini?

Unataka kutuambia kuwa Jacob alikuwa mpagani?

Alafu Cha kushangaza umeeleza habari za Jacob Kwa hisia zako na akili zako badala ya kutumia mandiko au haujui kuwa Jacob alikuwa nabii wa Mungu

Quran 2:133
- Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake.


Hilo andiko hapo Allah anaanza Kwa kuliza swali na wanaoulizwa hapo ni makafiri kama wewe walikuwa wanasema Jacob alikuwa mpagani

Alafu Allah anaendelea kuelezea manano ya mwisho ya nabii Jacob aliyo waambia wanawe kuwa wasitoke katika mstari waendelee kumuabudu Mungu mmoja tu

Wewe unatakiwa utaje dini ya Jacob Ili Quran ionekane imedanganya hapo iliposema Jacob na kizazi chake wote walikuwa waislam
Acha kupaniki Mkuu Mimi mwenyewe ni Muislamu wakati mwingine lazima uwe unafanya tafakuri ya mambo kwa kina. Nime highlight hilo Kumuabudu hapo. Sasa nakupa maana ya Kuabudu ili na wewe ufikirie kwa akili yako uliyopewa na Mungu.

Kuabudu ni tendo la kumheshimu, kumsifu, na kumtukuza Mungu au nguvu ya juu kwa nia ya kumtolea shukrani, kumwomba msaada, au kuonyesha upendo na utii. Inaweza kuhusisha ibada, sala, nyimbo, kutoa sadaka, na matendo mengine yanayoonyesha unyenyekevu na kujitoa kwa Mungu. Katika baadhi ya tamaduni, kuabudu pia kunaweza kumaanisha kumheshimu au kutoa heshima kwa viumbe au vitu vingine vinavyoonekana kuwa na nguvu au umuhimu maalum.
 
Back
Top Bottom