Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

1. Hivi ni vichekesho kuamini Yesu Mungu kuna husika vip na kukataa vitabu vya Mungu wenu?
Unaibua hoja mpya ambazo sijauliza,nimeuliza walioacha vitabu 6 au ambao bado wanavyo wanapishana katika msingi wa imani ya kiskristo??soma taratibu kaka hii sio futari ya mihogo ukiwa umefunga usiharakie kujibu.
hoja ya Uungu wa Yesu ni kubwa sana kwako na kwa kipenzi chako aliyekufundisha.
binadamu unawezaje kukataa vitabu vya Mungu kuwa HAVIFAI hapa ndio HOJA ilipo acha kupuyanga 😂😂 yaani unafuta vitabu vya Mungu ukiulizwa unasema kwani wote si tunaamini Yesu ni Mungu wewe jamaa kichwani ziko sawa!!, tuambie hapa kwa mamlaka gani binadamu anaweza kufuta vitabu 6 vya Mungu acha kupuyanga
kichwa changu kiko sawa kabisa ndio maana nakuuliza tena ni vitabu vya Mungu vyenye sheria zipi ambazo hazifahamiki??lakini reply ya ngapi sijui hii hujibu😁😁
2.Sijda ni heshima tu kama ambavyo mnaweza kuheshimubyale masanamu pale kanisani na kuyapigia magoti, hakuna kingine pale , ndio maana swala ni 5 na hakuna jiwe wala pango ndani yake , au kile kisanamu cha Mungu wenu mule kanisani akiwa kavalishwa kachupi na miba kichwani si mnakapigia magoti na kupiga ishara ya msalaba, kumbe mnaabudu kale kasanamu?😂😂😂hizo ni heshima tu za kumbukizi hakuna la ajabu
hii ni heshima ambayo huwezi mpa bata au mende aliyeumbwa na Mungu kama wewe ila jiwe,unaliheshimu kwa sifa gani lilizo nazo???
wanaosujudia sanamu ya maria hawajaanzia ktk yale mamidoli wameanzia kwa wahusika wenyewe,wakaja picha zinaofanania nao na mpaka masanamu yao,wewe hilo banda lina nini??mpaka mnauana ili mguse dhambi zifutwe🤣🤣🤣🤣
3.Haya bishana na watu wa BBC kuwa nyota haitoi mwanga , shida ni kufikiri Allah ana bahatisha , eti nyota haitoa Mwanga hapo inatoa masikio yako 😂😂😂😂😂😂, nimeshakwambia hapa umekutana na mtaalamu aswa

View attachment 3131307
Wacha nikufundishe sayansi ya unajimu sheikh maandazi kashata bin bajia,shule huwa sio kipaumbele kwenu.

Enough light to be seen ni huo mwanga unaoufanya uione nyota,sio mwanga wa nyota kumulika uso wa dunia wewe maandazi.
Hapo unaambiwa kuna nyota mpaka tunakuja kuziona ziliishakufa na zingine bado hatujafanikiwa kuziona,sio kutumulikia.
 
Unaibua hoja mpya ambazo sijauliza,nimeuliza walioacha vitabu 6 au ambao bado wanavyo wanapishana katika msingi wa imani ya kiskristo??soma taratibu kaka hii sio futari ya mihogo ukiwa umefunga usiharakie kujibu.
hoja ya Uungu wa Yesu ni kubwa sana kwako na kwa kipenzi chako aliyekufundisha.

kichwa changu kiko sawa kabisa ndio maana nakuuliza tena ni vitabu vya Mungu vyenye sheria zipi ambazo hazifahamiki??lakini reply ya ngapi sijui hii hujibu😁😁

hii ni heshima ambayo huwezi mpa bata au mende aliyeumbwa na Mungu kama wewe ila jiwe,unaliheshimu kwa sifa gani lilizo nazo???
wanaosujudia sanamu ya maria hawajaanzia ktk yale mamidoli wameanzia kwa wahusika wenyewe,wakaja picha zinaofanania nao na mpaka masanamu yao,wewe hilo banda lina nini??mpaka mnauana ili mguse dhambi zifutwe🤣🤣🤣🤣

Wacha nikufundishe sayansi ya unajibu sheikh maandazi kashata bin bajia,shule huwa sio kipaumbele kwenu.

Enough light to be seen ni huo mwanga unaoufanya uione nyota,sio mwanga wa nyota kumulika uso wa dunia wewe maandazi.
Hapo unaambiwa kuna nyota mpaka tunakuja kuziona ziliishakufa na zingine bado hatujafanikiwa kuziona,sio kutumulikia.
1. Hoja mpya ipi tena 😂, hoja yangu ni ile ile binadamu anawezaje kukataa vitabu 6 vya Mungu? badala ya kujibu Hoja unaanza kupuyanga ohooo kwani wanatofautiana nini kwenye imani ya kikristo 😂😂sasa hapa nani kauliza tofauti yao? lete jibu hapa kwa mamlaka gani mtu anaweza kulala na kuamka asubuhi na kufuta vitabu 6 vya Mungu wake, kaa kwa kutulia jibu swali

2.Kwahiyo zile picha ni za Bikira Maria au Yesu? huo mfanano wa picha umeutoa wapi 😂 yale ni masanamu tu kama masanamu mengine ambapo kanisani kwenu mmeamua kuyapa heshima, tena mmeyatengeneza wenyewe kabisaaa halafu unaleta habari za mfanano hapa😂😂😂 sisi jiwe jeusi historia yake iko wazi ni moja ya mawe ya peponi mtume ametueleza kwahiyo tunalipa heshima jiwe la peponi sio masanamu yako ya kutengeneza mwenyewe , sisi hata Bata tunampa heshima ndio maaana tukitaka kumchinja tunataja jina la Mungu , umenchekesha sana yale masanamu ya bikira na Yesu unasema eti kuna mfanano wake , ahahaaa

3.Kuhusu Nyota BBC imemaliza, umebaki kurusha mate , Nyota inatengeneza mwanga sasa niache kuamini BBC na google nikuamini wewe unaemini Mungu wako katundikwa msalabani kama korodani 😂😂
EACH STAR CREATES ENOUGH LIGHT , sasa hapa kuna haja tena ya kusikiliza porojo zako hapa!!!!!

462D8E8F-0861-4757-A5FA-0277E6EF0A76.jpeg


4. kwa akili hizi ndio maana Mungu wako akasema Nyoka anakula vumbi 😂😂😂😂😂, sasa hapa kipi hujaelewa
E1223261-7B0F-4394-9D17-D90C372B4ED3.jpeg
E1223261-7B0F-4394-9D17-D90C372B4ED3.jpeg
 
1. Hoja mpya ipi tena 😂, hoja yangu ni ile ile binadamu anawezaje kukataa vitabu 6 vya Mungu? badala ya kujibu Hoja unaanza kupuyanga ohooo kwani wanatofautiana nini kwenye imani ya kikristo 😂😂sasa hapa nani kauliza tofauti yao?
sasa hilo si ndio lilikuwa tatzio lako kwamba kwanini wengine wana vitabu 66 na wengine 72??nakuuliza tatizo hilo limeleta shida ipi katika ukristo ili tujue uzito wa hivyo vitabu hujui!!!!na wala vitabu husika pia huvijui vinahusu nini😂😂😂.
Cheza chini sheikh haya maji marefu sana.
lete jibu hapa kwa mamlaka gani mtu anaweza kulala na kuamka asubuhi na kufuta vitabu 6 vya Mungu wake, kaa kwa kutulia jibu swali
Kwa mamlaka gani uthman aliamua kitabu gani kiwe ktk msaafu ulioko mpaka leo??wakati kila aliyeisoma alikuwa kaisikia kwa mtume either kwa wapambe wake???
Embu jibu hili kwanza nitakuletea sababu za ulichouliza.
2.Kwahiyo zile picha ni za Bikira Maria au Yesu? huo mfanano wa picha umeutoa wapi 😂 yale ni masanamu tu kama masanamu mengine ambapo kanisani kwenu mmeamua kuyapa heshima, tena mmeyatengeneza wenyewe kabisaaa halafu unaleta habari za mfanano hapa😂😂😂
wala usihangaishwe na sura halisi,hakuna lenye sura halisi pale hata moja ni taswira,ukienda la st peter na st joseph yana sura tofauti,kwahiyo hoja yako hii ni masikini inakosa nguvu.

Nilichotaka uelewe ni kwamba tulianaza kumwabudu mhusika kabla ya sanamu zake.
sisi jiwe jeusi historia yake iko wazi ni moja ya mawe ya peponi mtume ametueleza kwahiyo tunalipa heshima jiwe la peponi sio masanamu yako ya kutengeneza mwenyewe ,
😂😂😂😂jiwe la peponi maanina😆😆.
Kwahiyo mungu wenu aliwapa jiwe akaagiza muwe mnalisujudia na mkiligusa lifuta dhambi zenu🤣
sisi hata Bata tunampa heshima ndio maaana tukitaka kumchinja tunataja jina la Mungu , umenchekesha sana yale masanamu ya bikira na Yesu unasema eti kuna mfanano wake , ahahaaa
wewe unacheka mimi nasikitika namna ambavyo unasujudia jiwe kutoka peponi ila unashangaa mimi kumsujudia Yesu ambaye yuko peponi😂😂.
Unaona unavyo sound kituko??
3.Kuhusu Nyota BBC imemaliza, umebaki kurusha mate , Nyota inatengeneza mwanga sasa niache kuamini BBC na google nikuamini wewe unaemini Mungu wako katundikwa msalabani kama korodani 😂😂
Hapana kaka usisite kuuliza,hizi elimu tu tunatoa bila malipo kama hukubahatika kusoma shule ya msingi😂😂😂
Nyota haitoi mwanga unaomulika duniani isipokuwa jua peke yake tu,nyingine zote mwanga ni dhaifu sana usiosababisha nuru yoyote duniani.
EACH STAR CREATES ENOUGH LIGHT , sasa hapa kuna haja tena ya kusikiliza porojo zako hapa!!!!!

View attachment 3131389

4. kwa akili hizi ndio maana Mungu wako akasema Nyoka anakula vumbi 😂😂😂😂😂, sasa hapa kipi hujaelewa
Nyoka kula vumbi hiyo ni lugha ya picha,kama alivyosema adam atakula kwa jasho😂😂😂.
akili kisoda kipimo barhashia unadhani atatumia jasho kulia ubwabwa na uji wa ukwaju🤣🤣🤣
SIku hizi mambo yote ni mtandaoni ficha aibu ndogo ndogo kwa kugoogle na kuuliza madogo wa std 5 hapo mitaani😁😁😁
 
sasa hilo si ndio lilikuwa tatzio lako kwamba kwanini wengine wana vitabu 66 na wengine 72??nakuuliza tatizo hilo limeleta shida ipi katika ukristo ili tujue uzito wa hivyo vitabu hujui!!!!na wala vitabu husika pia huvijui vinahusu nini😂😂😂.
Cheza chini sheikh haya maji marefu sana.

Kwa mamlaka gani uthman aliamua kitabu gani kiwe ktk msaafu ulioko mpaka leo??wakati kila aliyeisoma alikuwa kaisikia kwa mtume either kwa wapambe wake???
Embu jibu hili kwanza nitakuletea sababu za ulichouliza.

wala usihangaishwe na sura halisi,hakuna lenye sura halisi pale hata moja ni taswira,ukienda la st peter na st joseph yana sura tofauti,kwahiyo hoja yako hii ni masikini inakosa nguvu.

Nilichotaka uelewe ni kwamba tulianaza kumwabudu mhusika kabla ya sanamu zake.

😂😂😂😂jiwe la peponi maanina😆😆.
Kwahiyo mungu wenu aliwapa jiwe akaagiza muwe mnalisujudia na mkiligusa lifuta dhambi zenu🤣

wewe unacheka mimi nasikitika namna ambavyo unasujudia jiwe kutoka peponi ila unashangaa mimi kumsujudia Yesu ambaye yuko peponi😂😂.
Unaona unavyo sound kituko??

Hapana kaka usisite kuuliza,hizi elimu tu tunatoa bila malipo kama hukubahatika kusoma shule ya msingi😂😂😂
Nyota haitoi mwanga unaomulika duniani isipokuwa jua peke yake tu,nyingine zote mwanga ni dhaifu sana usiosababisha nuru yoyote duniani.

Nyoka kula vumbi hiyo ni lugha ya picha,kama alivyosema adam atakula kwa jasho😂😂😂.
akili kisoda kipimo barhashia unadhani atatumia jasho kulia ubwabwa na uji wa ukwaju🤣🤣🤣

SIku hizi mambo yote ni mtandaoni ficha aibu ndogo ndogo kwa kugoogle na kuuliza madogo wa std 5 hapo mitaani😁😁😁
1. Ahaha mbona unajizima data , nimekwambia kwa mamlaka gani walikuwa nayo wale waliofuta vitabu 6 kutoka kwenye 72/73 ? unatakiwa kujibu hapa mbona unaangaika toka jana 😂😂 hakuna alie uliza shida tunataka kujua uhalali wa kitabu cha Mungu kufutwa kama magazeti ya Shigongo nipo na wewe hapa mpaka ujibe

2.Othman kafuta kitabu gani? au nyaraka gani? mbona kama umeanza kuchanganyikiwa, mimi nazungumzia watu kufuta vitabu 6 mpaka 7, wewe tuletee hapa alichofuta Selemani, nakwambia safari kazi unayo

3.Jiwe tunalibusu na kulishika hakuna shida yeyote, wewe unapigia masananmu magoti mbona sisi tumetulia 😂😂 , sisi jiwe tuna Historia nayo kuwa ni la peponi, wewe masanamu yako yanachongwa Buza unayapigia magoti na kufumba macho halafu una mshangaa anaeshika na kubusu jiwe, hizi akili mmeacha wapi wewe ahahah

4.suala la Nyota BBC imemaliza, siwezi kuacha kuamini BBC nikusikilize wewe ambaye una amini Mungu anaweza kupigwa kama kibaka , hili jambo la nyota Huna hoja tena , ongea mengine maana aibu naona mimi,EACH STAR CREATES ENOUGH LIGHT ( kila nyota inatengeneza MWANGA wa kutosha), sasa hapa nikusikilize wewe utopolo wako

BBAD3486-783D-467D-8666-E633A5768B32.jpeg


Halafu GOOGLE HAWA HAPA
STAR WOULD LIGHT UP THE SKY GIVING PEOPLE LIGHT, nikusikilize wewe sinitakuwa na kichaa 😂😂😂
FFDD8EB9-F696-4A31-AB45-909BAADCB694.jpeg


5.Kwahiyo lugha ya picha ni NYOKA kula vumbi yale mengine mbona yameeleweka pale pale? 😂😂 kwa tumbo atakwenda hakuna lugha ya picha ila kula VUMBI ndio lugha ya picha, huyu Mungu hata wakina Adam walijificha HaKUWAONA unashangaa nini Nyoka kula Vumbi wewe

Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako;

Mwanzo 3:14
NYOKA MLA VUMBI
 
1. Ahaha mbona unajizima data , nimekwambia kwa mamlaka gani walikuwa nayo wale waliofuta vitabu 6 kutoka kwenye 72/73 ? unatakiwa kujibu hapa mbona unaangaika toka jana 😂😂 hakuna alie uliza shida tunataka kujua uhalali wa kitabu cha Mungu kufutwa kama magazeti ya Shigongo nipo na wewe hapa mpaka ujibe
Hakuna mamlaka yoyote ni kama uthmani tu alivyoamua kipi kikae ktk msaafu na kipi kikae nje,ni vile tu umeamua kuona tatizo huku ambalo kimsingi halipo,ila kwako hujui kama kuna tatizo zaidi😅😅
2.Othman kafuta kitabu gani? au nyaraka gani? mbona kama umeanza kuchanganyikiwa, mimi nazungumzia watu kufuta vitabu 6 mpaka 7, wewe tuletee hapa alichofuta Selemani, nakwambia safari kazi unayo
Hujui na wala hutajua,wewe kazi ni kukimbia na kanzu chafu ukiimba allah akbar,Quran imekamilika😆😅.
Imekamilika vipi wakati aliyeikusanya si Allah wala mtume na waliiandika watu wengine tu???



3.Jiwe tunalibusu na kulishika hakuna shida yeyote
mimi sina shida nawewe kulibusu shida yangu ni wewe kulisujudia,halafu unashangaa mimi kumsujusia Yesu huo sio tu ni unafiki ni ugonjwa wa akili😂😂😂
, wewe unapigia masananmu magoti mbona sisi tumetulia 😂😂 ,
Hujawahi kutulia,huwa unashindwa usemeje maana kuna mecca kule mpaka hela 12 milioni unalipia ukapigie magoti shuka jeusi🤣🤣🤣.
Sasa unaanzaje kunisema mimi ambaye sitoi hata jero kupigia magoti hiyo ya hapa hapa???
sisi jiwe tuna Historia nayo kuwa ni la peponi, wewe masanamu yako yanachongwa Buza unayapigia magoti na kufumba macho halafu una mshangaa anaeshika na kubusu jiwe, hizi akili mmeacha wapi wewe ahahah
Historia ya wapi wewe maandazi??ibada hii ilikuwepo kabla ya uislam huyo tapeli wenu akaja kuiunganisha na uislam,kwa kuunathibisha na jiwe eti limetoka peponi😁😁,wewe hakuna kitu unajua.ni mizuka na kanzu tu.
4.suala la Nyota BBC imemaliza, siwezi kuacha kuamini BBC nikusikilize wewe ambaye una amini Mungu anaweza kupigwa kama kibaka , hili jambo la nyota Huna hoja tena , ongea mengine maana aibu naona mimi,EACH STAR CREATES ENOUGH LIGHT ( kila nyota inatengeneza MWANGA wa kutosha), sasa hapa nikusikilize wewe utopolo wako
Hili swala la nyota na mwanga nimemaliza,kama una akili za kuelewa umeelewa,huna sawa uwe unaendelea kusema hivyo mbele za watoto wakucheke😂😂😂
View attachment 3131410

Halafu GOOGLE HAWA HAPA
STAR WOULD LIGHT UP THE SKY GIVING PEOPLE LIGHT, nikusikilize wewe sinitakuwa na kichaa 😂😂😂
View attachment 3131413

5.Kwahiyo lugha ya picha ni NYOKA kule vumbi yale mengine mbona yameeleweka pale pale? 😂😂 kwa tumbo atakwenda hakuna lugha ya picha ila kula VUMBI ndio lugha ya picha, huyu Mungu hata wakina Adam walijificha HaKUWAONA unashangaa nini Nyoka kula Vumbi wewe
La kula kwa jasho ulilielewa pale pale???vipi nyoka huwa anauma kisigino pekee kama ilivyoandikwa???
😅😅😅yaani wewe ndugu yangu hakuna kitu chochote unachoweza simamia kutetea uislam wako,ni scam tupu humo😁😁.
Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako;

Mwanzo 3:14
imagine unaamua kushikilia hili kama udhaifu ktk bible na unajua kabisa ni kweli nyoka anakula vumbi kwa taabu ila sio chakula,hapa umetumia akili ipi kaka??😂😂😂
Watu wasijesema nakuonea kukusimanga.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Awe Hindu, Sabato, Budha au Muislamu haijalishi, Mbinguni watu wanakwenda kwa WOKOVU kumuamini YESU, dini ni njia za wanadamu kumtafuta mungu ila Wokovu uliletwa na Yesu mwenyewe alipokufa kwaajili ya wanadamu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Stupid, bure kabisa!
Hv nyie mnaofstilia dini kwa ndani Sana, inawasaidia nini? Kiuchumi, kissyansi, huo ujuzi, mnaoupata, unaleta ahueni gani hapa duniani katika kutatua changamoto za wananchi, ajira, magonjwa, Arya, nk,
Dunia inatuma rocket kwenda sayari zingine kuangslia uwezekano, wa watu kuishi huko, wewe unaleta story za kuruani na bible,! You fuckers get life! Wewe ulikuwepo wakati bible na kuruani zinaandikwa? Je tukiwa wote wa Islam, so, what! Kuna uzuri gani, kuwa islam,!? Somalia, zenj,Afghanistan, Pakistan, wote huko kuna islam wengi! Kipi kizuri kqtika hizo nchi, hiyo dini imewasaidia nini?
 
Hakuna mamlaka yoyote ni kama uthmani tu alivyoamua kipi kikae ktk msaafu na kipi kikae nje,ni vile tu umeamua kuona tatizo huku ambalo kimsingi halipo,ila kwako hujui kama kuna tatizo zaidi😅😅

Hujui na wala hutajua,wewe kazi ni kukimbia na kanzu chafu ukiimba allah akbar,Quran imekamilika😆😅.
Imekamilika vipi wakati aliyeikusanya si Allah wala mtume na waliiandika watu wengine tu???




mimi sina shida nawewe kulibusu shida yangu ni wewe kulisujudia,halafu unashangaa mimi kumsujusia Yesu huo sio tu ni unafiki ni ugonjwa wa akili😂😂😂

Hujawahi kutulia,huwa unashindwa usemeje maana kuna mecca kule mpaka hela 12 milioni unalipia ukapigie magoti shuka jeusi🤣🤣🤣.
Sasa unaanzaje kunisema mimi ambaye sitoi hata jero kupigia magoti hiyo ya hapa hapa???

Historia ya wapi wewe maandazi??ibada hii ilikuwepo kabla ya uislam huyo tapeli wenu akaja kuiunganisha na uislam,kwa kuunathibisha na jiwe eti limetoka peponi😁😁,wewe hakuna kitu unajua.ni mizuka na kanzu tu.

Hili swala la nyota na mwanga nimemaliza,kama una akili za kuelewa umeelewa,huna sawa uwe unaendelea kusema hivyo mbele za watoto wakucheke😂😂😂

La kula kwa jasho ulilielewa pale pale???vipi nyoka huwa anauma kisigino pekee kama ilivyoandikwa???
😅😅😅yaani wewe ndugu yangu hakuna kitu chochote unachoweza simamia kutetea uislam wako,ni scam tupu humo😁😁.

imagine unaamua kushikilia hili kama udhaifu ktk bible na unajua kabisa ni kweli nyoka anakula vumbi kwa taabu ila sio chakula,hapa umetumia akili ipi kaka??😂😂😂
Watu wasijesema nakuonea kukusimanga.
1.Uthman anakuwa Khalifa , tayari Quran Original iko kwa Hafsa mke wa mtume, tayari ilishatumika kwa Abubakari na Omary, ambao hawa wote wamemuona mtume na wameishi nae hakuna alichofuta pale kwenye Quran OG, RUDI kwa hawa waliofuta vitabu 6 ambavyo tayari vilikuwa sehemu ya Biblia tayari narudia walifuta kwa mamlaka gani hawa maana hawakumuona Yesu wala huyo Paulo,yaani mtu analala halafu anaamka anaamua kufuta kitabu cha Mungu kama magazeti ya Shigongo walipata wapi hawa mamlaka?😂😂

2. Kwahiyo ukigusa kitu au kubusu ndio kusujudia kitu siku hizi? 😂😂😂kwahiyo ukimbusu au kumshika mwanao unakuwa umemsujudia hizi akili za wapi!!! aiseee umeshikwa pabaya sana huwezi kutetea Mungu wako kupigwa makofi na waislamu kushika jiwe , unatia huruma aiseeee 😂😂😂Allah ametulia anakuangalia unavyotaabika kutetea Mungu anakunya mavi , kwa taarifa yako sisi tunagusa jiwe na wale wayahudi wanagusa ukuta, ila wewe unapigia magoti masanamu uliojenga Buza
3. ndio tunakwenda Meccah na nyie si mnaenda Israel hakuna aliewazuia, au unataka kutuambia Israel mnakwenda bure kugusa ule ukuta pale 😂😂😂, hata Trump alienda kugusa ule ukuta pale Israel , sisi tunagusa jwe wale waisrael wanagusa ule ukuta wao, na hao waisrael ukiwaambia Yesu ni Mungu wanakushangaa, Mungu hawezi fanywa ndafu
4. Sasa BBC waseme nyota inatengeneza mwanga mimi nikusikilize wewe 😂😂😂😂, huyo mtoto labda awe haijui bbc au hujui kiingereza ndio atasikiliza porojo zako

5.Kula kwa jasho imeeleweka kwani si watu wanatoka jasho, ila akija Nyoka kula vumbi unaleta siasa za lugha ya picha 😂😂
Huyo Mungu wako anajua nyoka anakula VUMBI kisa anatembelea tumbo ndio maana hata wakina Adam walipojificha hakuwaona, Mungu wako mwambie ale mchicha HAONI

Kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, Bwana Mungu asiwaone.

Mwanzo 3:8

NYOKA ANAKULA VUMBI, mara watu wamejificha Mungu HAWAONI anaanza kuuliza huko wapi?😂😂😂😂

Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?

Mwanzo 3:9
😂😂Mwambie ale mchicha kwa wingi haoni watu wakijificha kwenye majani, ndio maana alikuja kuchezea makofi duniani
 
Kwahiyo Jacob alikuwa hana dini?

Unataka kutuambia kuwa Jacob alikuwa mpagani?

Alafu Cha kushangaza umeeleza habari za Jacob Kwa hisia zako na akili zako badala ya kutumia mandiko au haujui kuwa Jacob alikuwa nabii wa Mungu

Quran 2:133
- Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake.


Hilo andiko hapo Allah anaanza Kwa kuliza swali na wanaoulizwa hapo ni makafiri kama wewe walikuwa wanasema Jacob alikuwa mpagani

Alafu Allah anaendelea kuelezea manano ya mwisho ya nabii Jacob aliyo waambia wanawe kuwa wasitoke katika mstari waendelee kumuabudu Mungu mmoja tu

Wewe unatakiwa utaje dini ya Jacob Ili Quran ionekane imedanganya hapo iliposema Jacob na kizazi chake wote walikuwa waislam
Daah!Maalim umemkalia kooni kondoo mpaka nimemuhurumia 😁😁😁😁
 
Ngoja apigwe kwenye mshono
Swali jepesi kabisa ambalo wanabidi wajiulize,kama Mtume Muhammad S.wa alianzisha uislam kwanini aligusia na kusistiza watu kufuata maamrisho ya mitume na manabii waliotangulia?Kwakifupi Mtume Muhammad alihitimisha Uislam ambao msingi wake ulianza kwa nabii Adam
 
1.Uthman anakuwa Khalifa , tayari Quran Original iko kwa Hafsa mke wa mtume, tayari ilishatumika kwa Abubakari na Omary, ambao hawa wote wamemuona mtume na wameishi nae hakuna alichofuta pale kwenye Quran OG, RUDI kwa hawa waliofuta vitabu 6 ambavyo tayari vilikuwa sehemu ya Biblia tayari narudia walifuta kwa mamlaka gani hawa maana hawakumuona Yesu wala huyo Paulo,yaani mtu analala halafu anaamka anaamua kufuta kitabu cha Mungu kama magazeti ya Shigongo walipata wapi hawa mamlaka?😂😂
Basi sasa tuliza kipago upewe shule,vitabu 6 vilivyotolewa havikutupwa vipo,aliyekwambia vimetupwa pia alikukusanya ujinga.

2. Kwahiyo ukigusa kitu au kubusu ndio kusujudia kitu siku hizi?
ukiulizwa Yesu aliswalije unasema alisujudu,kwa maana alipiga magoti akaianama kifudifudi,leo unaisujuida kaaba kwa kupiga goti na kuuinamia unakataa kama ni kuisujudia!!!😂😂😂.
muslim na unafiki ni dam dam.GUY????
hapa umeruka kama umepanda buraq kwenda jerusalem kama mtume fyuuuuuuuuuu.
😂😂😂kwahiyo ukimbusu au kumshika mwanao unakuwa umemsujudia hizi akili za wapi!!!
hapana ukimbusu na kumshika mwanao baada ya kumpigia magoti na kuinama kifudifudi mbele yake unakuwa umesujudia😂😂,umeelewa sasa???
aiseee umeshikwa pabaya sana huwezi kutetea Mungu wako kupigwa makofi na waislamu kushika jiwe , unatia huruma aiseeee 😂😂😂
ah weeh,hakuna muislam anaweza simama na mimi kwenye Q & N,kwa hoja za give and take.
Hata Allah mwenyewe ningemzabua hawezi tokeza.
Allah ametulia anakuangalia unavyotaabika kutetea Mungu anakunya mavi
Allah huyu huyu aliyeshindwa kumkinga mtume wake asipewe sumu??asit ombe mke wa mwanaye,mtoto wa miaka 9,😆😆😆,hana macho,mikono wala lolote zaidi ya nyinyi waislam kumsaidia hata kumtetea.
, kwa taarifa yako sisi tunagusa jiwe na wale wayahudi wanagusa ukuta, ila wewe unapigia magoti masanamu uliojenga Buza
wala hakuna shida,shida yangu nyinyi kusujusia jiwe,kama hujui maana labda hujawahi fika,unazunguka mara 7 kutoka kushoto kwenda kulia kisha unapiga magoti kuielekea kisha unasujudu.hii hata wakristo hawafanyii hayo masanamu yao wanapiga magoti tu😅😅😅
3. ndio tunakwenda Meccah na nyie si mnaenda Israel hakuna aliewazuia, au unataka kutuambia Israel mnakwenda bure kugusa ule ukuta pale 😂😂😂
hakuna anayekwenda kugusua ukuta kama maagizo ya ibada,sio ya Yesu wala mtume yeyote ktk ukristo,watu wanakwenda kwa ratiba zao tu.
, hata Trump alienda kugusa ule ukuta pale Israel , sisi tunagusa jwe wale waisrael wanagusa ule ukuta wao, na hao waisrael ukiwaambia Yesu ni Mungu wanakushangaa, Mungu hawezi fanywa ndafu
wala usijinasibishe na wayahudi hufanani nao chochote maana wao hawakubali hata unayemwita masihi,wao wanamwona mtu mhuni tu wa mtaani.
4. Sasa BBC waseme nyota inatengeneza mwanga mimi nikusikilize wewe 😂😂😂😂, huyo mtoto labda awe haijui bbc au hujui kiingereza ndio atasikiliza porojo zako
BBC wamesema nyota inatengeneza mwanga,hawajaungana na wewe na Allah kwamba nyota zinamulika duniani😂😂😂,huo utumbo ni wa Allah na wewe jeshi lake.
5.Kula kwa jasho imeeleweka kwani si watu wanatoka jasho, ila akija Nyoka kula vumbi unaleta siasa za lugha ya picha 😂😂
Kula kwa jasho maana yake nini??maana hiyo nayo lugha ya picha au uwezo mdogo kuelewa umechanganyikiwa😂😂😂.

Huyo Mungu wako anajua nyoka anakula VUMBI kisa anatembelea tumbo ndio maana hata wakina Adam walipojificha hakuwaona, Mungu wako mwambie ale mchicha HAONI
Unadhani ni kweli Mungu hakuwaona???
kwani Allah hakujua kama Muddy chupi hajui kusoma mpaka akamwamlisha jibril amkabe???🤣🤣🤣🤣.mpaka mtume akalia"sijui kusoma mimi"😂😂
Allah hakumpa desa hili jibril alisahau.
Kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, Bwana Mungu asiwaone.
yah kwa upumbavu wao kama wako,wakidhani hakika hata waona😂😂😂,umeona sasa bible inavyogusa vitu kwa rythim???
Mwanzo 3:8

NYOKA ANAKULA VUMBI, mara watu wamejificha Mungu HAWAONI anaanza kuuliza huko wapi?😂😂😂😂
Hapana kaka tumia akili tu vyema utaelewa mantiki,usisome ili kukariri pekee kama Quran.
Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?
tena akauliza kwanini umejificha???😂😂
akili mtu wangu sio kusoma ili kumaliza.
Mwanzo 3:9
😂😂Mwambie ale mchicha kwa wingi haoni watu wakijificha kwenye majani, ndio maana alikuja kuchezea makofi duniani
At least umekubali kwamba alikuja duniani.
Sio huyo ambaye ataujaribu moto kama unaunguza vya kutosha kwa mguu wake😆😆😆😆😆
 
Daah!Maalim umemkalia kooni kondoo mpaka nimemuhurumia 😁😁😁😁
😅😅😅mnajitia kidole na kunusa😁😁.

Muislam anikalie kooni mimi,katawadhe nawewe urudi hapa,niwapike wote kwa pamoja kama wakeze mtume.
 
Once KONDOO ALWAYS KONDOO!
Watu kama nyinyi ndio mtaji wa MWAMPOSA kutajirika
Mwamposa ni kama Muhammad tu,angekuja leo mbwa yule angekuwa na utajiri wa kutisha.
Mwamposa chamtoto,ukiwa na wafuasi mandezi wasio na upeo wa kufikiri unayatumia tu.

Ona leo mpaka unaweza lia akitukanwa😂😂,si bora hata mfuasi wa mwaisa??
 
Mwamposa ni kama Muhammad tu,angekuja leo mbwa yule angekuwa na utajiri wa kutisha.
Mwamposa chamtoto,ukiwa na wafuasi mandezi wasio na upeo wa kufikiri unayatumia tu.

Ona leo mpaka unaweza lia akitukanwa😂😂,si bora hata mfuasi wa mwaisa??
Sasa bwashee Mungu wako hatoshi mpaka atumie MASANAMU kama mawakala wa kupokea MAOMBI yenu?
Ibrahim alikataa kuabudu masanamu sasa wewe unayeabudu masanamu unafuata mila za Ibrahim gani?
 
Sasa bwashee Mungu wako hatoshi mpaka atumie MASANAMU kama mawakala wa kupokea MAOMBI yenu?
Ibrahim alikataa kuabudu masanamu sasa wewe unayeabudu masanamu unafuata mila za Ibrahim gani?
Mimi naweza kukwambia wanaoabudu sanamu wanakosea kabisa kwa andiko.

Lakini wewe nikikuuliza Mungu wako kwanini atumie kaaba kukusamehe dhambi utasemaje kijana na wakati ni agizo la mtume😁😁😁
Kwa maana ni wazi Allah amekubali jiwe liwe wakala wake😂😂😂
 
Hoja nyingine za ajabu. Au ndo kusema uislam ulikuwepo kabla ya mohammad? Au kabla ya Jackobo? Au mohamned aliishi kabla ya Jackobo? Ni kwanini waislam kila siku ni kutafuta hoja kinzani na ukristo? Mbona wakristo hawahangaiki na uislam ?
Au tunye hapa haja kubwa ya kunuka mkeka uharibike?
 
Basi sasa tuliza kipago upewe shule,vitabu 6 vilivyotolewa havikutupwa vipo,aliyekwambia vimetupwa pia alikukusanya ujinga.


ukiulizwa Yesu aliswalije unasema alisujudu,kwa maana alipiga magoti akaianama kifudifudi,leo unaisujuida kaaba kwa kupiga goti na kuuinamia unakataa kama ni kuisujudia!!!😂😂😂.
muslim na unafiki ni dam dam.GUY????
hapa umeruka kama umepanda buraq kwenda jerusalem kama mtume fyuuuuuuuuuu.

hapana ukimbusu na kumshika mwanao baada ya kumpigia magoti na kuinama kifudifudi mbele yake unakuwa umesujudia😂😂,umeelewa sasa???

ah weeh,hakuna muislam anaweza simama na mimi kwenye Q & N,kwa hoja za give and take.
Hata Allah mwenyewe ningemzabua hawezi tokeza.

Allah huyu huyu aliyeshindwa kumkinga mtume wake asipewe sumu??asit ombe mke wa mwanaye,mtoto wa miaka 9,😆😆😆,hana macho,mikono wala lolote zaidi ya nyinyi waislam kumsaidia hata kumtetea.

wala hakuna shida,shida yangu nyinyi kusujusia jiwe,kama hujui maana labda hujawahi fika,unazunguka mara 7 kutoka kushoto kwenda kulia kisha unapiga magoti kuielekea kisha unasujudu.hii hata wakristo hawafanyii hayo masanamu yao wanapiga magoti tu😅😅😅

hakuna anayekwenda kugusua ukuta kama maagizo ya ibada,sio ya Yesu wala mtume yeyote ktk ukristo,watu wanakwenda kwa ratiba zao tu.

wala usijinasibishe na wayahudi hufanani nao chochote maana wao hawakubali hata unayemwita masihi,wao wanamwona mtu mhuni tu wa mtaani.

BBC wamesema nyota inatengeneza mwanga,hawajaungana na wewe na Allah kwamba nyota zinamulika duniani😂😂😂,huo utumbo ni wa Allah na wewe jeshi lake.

Kula kwa jasho maana yake nini??maana hiyo nayo lugha ya picha au uwezo mdogo kuelewa umechanganyikiwa😂😂😂.


Unadhani ni kweli Mungu hakuwaona???
kwani Allah hakujua kama Muddy chupi hajui kusoma mpaka akamwamlisha jibril amkabe???🤣🤣🤣🤣.mpaka mtume akalia"sijui kusoma mimi"😂😂
Allah hakumpa desa hili jibril alisahau.

yah kwa upumbavu wao kama wako,wakidhani hakika hata waona😂😂😂,umeona sasa bible inavyogusa vitu kwa rythim???

Hapana kaka tumia akili tu vyema utaelewa mantiki,usisome ili kukariri pekee kama Quran.

tena akauliza kwanini umejificha???😂😂
akili mtu wangu sio kusoma ili kumaliza.

At least umekubali kwamba alikuja duniani.
Sio huyo ambaye ataujaribu moto kama unaunguza vya kutosha kwa mguu wake😆😆😆😆😆
1. Mbona unaruka ruka wewe😂😂, nimekwambia toka mwanzo Waroma ndio wanavitumia 72/73, wale wa Protestant ambao ni wasabato, Anglikana, walutheran n.k wamevifuta kwenye Biblia zao , swali mtu anawezaje kufuta vitabu 6 vya Mungu kwa kulala na kuamka tu ? yaani mtu kavimbiwa anakuja kuchomoa vitabu 6 kuwa HAVIFAI

2.Wayahudi wanashika ule ukuta wao Western Wall sisi waislamu tunashika jiwe jeusi, wewe unapiga magoti kwenye yale masanamu yako ya Buza , huu ndio uhalisia sio mfanano , sasa wayahudi na Yesu wapi na wapi ahahaha, wale wana mambo yao huwezi mwambia Myahudi kuwa Yesu ni Mungu , hizo imani za kipuuzi ni zenu nyie wakristo msio na akili sio wayahudi

3.Mbona unaweweseka wewe si ndio ulisema Nyota haitoi mwanga?😂😂😂akili imekukaa sawa , BBC wako wazi Nyota inatengeneza mwanga sasa kelele zote zile ulikuwa unapiga za nini? aibu naona mimi
HAPA VIP NA GOOGLE YAPO
STARS WOULD LIGHT UP THE SKY GIVING PEOPLE LIGHT , huna hoja unaweweseka
E56E2208-8218-448A-8207-AD06ED442375.jpeg

4. Jiwe jeusi hoja yako imekufa kibudu kabisaa, watu wanaligusa na kulibusu basi, hata wayahudi wana ukuta wao wanakwenda pale kuongea na Mungu wao sio huyu komando kipensi,kuhusu Alkaaba Allah ndio katupa maelekezo watu wote tuelekee wakati wa kuswali kwenye msikiti mtakatifu wa Makkah, sasa hapa napo kuna swali? haya ni maelekezo ya Mungu ambaye haitaji kupigwa makofi ili mambo yake yaende

5.HAKUWAONA ndio maana anauliza mko wapi 😂😂😂 , sasa Jibril ndio Allah aliekuwa anakaba Jibril sio Allah mbona unachanganya wewe mambo, umeanza kuchanganyikiwa sio buree, Mungu wako anachojua ni nyoka kula Vumbi, na wakina Adam walipojificha vichakani HAONI

Kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, Bwana Mungu asiwaone.

Mwanzo 3:8

KUTHIBITISHA KUWA HAONi
Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?

Mwanzo 3:9
Mpeni mboga za majani aone watu vichakana , acha hasira wewe NYOKA MLA VUMBI

6.Sasa si bora anaejaribu moto tena huko mbinguni sio hapa, kuliko yule alieshindana na Yakobo akapigwa kwenye upaja 😂😂😂😂 au kale kaliko tundikwa kama Korodani kwenye msalaba
 
Back
Top Bottom