Uislamu ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu (Allah) na kumtii kwa kufuata mafundisho yake, kama yalivyofunuliwa kwa Mitume na Manabii, ikiwemo Mtume Muhammad (SAW). Msingi wa Uislamu ni kumwamini Mungu mmoja (Allah) na kwamba Muhammad ni Mtume wake wa mwisho. Mafundisho ya Uislamu yanapatikana katika Kitabu Kitakatifu cha Qur'an na Hadithi za Mtume Muhammad (SAW).
Uislamu kama njia ya kujisalimisha kwa Mungu na kumtii, ulianza na Nabii Adamu na kuendelea kupitia mitume wengine kama Nuhu, Ibrahim, Musa, Isa (Yesu), hadi Muhammad (SAW).
Sina muda sasa Mkuu nina mengi ya kuandika