Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Muhimu Selemani alikula mbususu nyingi kuliko mtume, kelele kibao ahooo mtume alikuwa na wanawake wengi wanawake wenyewe hata 50 hawajafika, wakati Selemani aliwapanga 700 mpaka wapagani alipiga 😂😂😂
Mimi sina shida na K nyingi za mtume,ni k za aina gani???shida ni kwamba yeye ni mtume na ni kiongozi wa daraja😂😂,hapo ndio naishiwa nguvu,utachoka bure kunishawishi kaka,lala tu.
 
Mimi sina shida na K nyingi za mtume,ni k za aina gani???shida ni kwamba yeye ni mtume na ni kiongozi wa daraja😂😂,hapo ndio naishiwa nguvu,utachoka bure kunishawishi kaka,lala tu.
Hata Ibrahim alikula K ya beki tatu, nashangaa unaangaika na mwanaume akila K 😂😂😂😂mwanaume akipakatwa ndio ushangae sio kula K
 
Nini maana ya Uislam?

Quran inaeleza kuwa Uislam ulikuwepo toka kipindi cha Adam a.s.

Uislam ni kunyenyekea na kujisalimisha kwa Mungu mmoja. Kila watu walipewa mitume na manabii wao wawafuate pamoja na sheria zao ila uislam ni uleule.
Uislamu ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu (Allah) na kumtii kwa kufuata mafundisho yake, kama yalivyofunuliwa kwa Mitume na Manabii, ikiwemo Mtume Muhammad (SAW). Msingi wa Uislamu ni kumwamini Mungu mmoja (Allah) na kwamba Muhammad ni Mtume wake wa mwisho. Mafundisho ya Uislamu yanapatikana katika Kitabu Kitakatifu cha Qur'an na Hadithi za Mtume Muhammad (SAW).

Uislamu kama njia ya kujisalimisha kwa Mungu na kumtii, ulianza na Nabii Adamu na kuendelea kupitia mitume wengine kama Nuhu, Ibrahim, Musa, Isa (Yesu), hadi Muhammad (SAW).

Sina muda sasa Mkuu nina mengi ya kuandika
 
Kama yakobo ni muislamu na kile kinachoendelea mashariki ya kati sitakuwa nimetoa kashifa kwa dini ya kiislamu kuwa ni dini ya shetani.
Na kama umeikubali hio aya inamaanisha umekubali Israel wamevamia hpo
 
Mimi ni mwalimu sasa nielewe nini tena au ndio kuvurugwa?😂😂😂kazi yangu kunyoosha watu kama wewe
ktk uislam huko yoyoye tu anawezakuwa mwalimu,si unaona haya Muhammad ni kiumbe bora wa mfani kwa waislam🤣🤣🤣🤣
 
Uislamu ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu (Allah) na kumtii kwa kufuata mafundisho yake, kama yalivyofunuliwa kwa Mitume na Manabii, ikiwemo Mtume Muhammad (SAW). Msingi wa Uislamu ni kumwamini Mungu mmoja (Allah) na kwamba Muhammad ni Mtume wake wa mwisho. Mafundisho ya Uislamu yanapatikana katika Kitabu Kitakatifu cha Qur'an na Hadithi za Mtume Muhammad (SAW).

Uislamu kama njia ya kujisalimisha kwa Mungu na kumtii, ulianza na Nabii Adamu na kuendelea kupitia mitume wengine kama Nuhu, Ibrahim, Musa, Isa (Yesu), hadi Muhammad (SAW).

Sina muda sasa Mkuu nina mengi ya kuandika
Unawezakuwa Muislam na ukamwita Mungu baba yako???
 
Hata Ibrahim alikula K ya beki tatu, nashangaa unaangaika na mwanaume akila K 😂😂😂😂mwanaume akipakatwa ndio ushangae sio kula K
Sihangaiki mkuu,nahangaika na kiumbe bora wa mfano kula K mpaka za watoto😂😂😂
 
ktk uislam huko yoyoye tu anawezakuwa mwalimu,si unaona haya Muhammad ni kiumbe bora wa mfani kwa waislam🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo sisi kuwa waalimu tu unaona wivu? Mbona nyie kwenye ukristo kila mtu anaweza kuwa nabii mfano Nabii Tito, kuna yule Nabii Mashimo, kaa kwa kutulia 😂😂
 
Sihangaiki mkuu,nahangaika na kiumbe bora wa mfano kula K mpaka za watoto😂😂😂
Naam ndio maana wakina Musa waliposhinda vita wakaambiwa wale wanawake wasioguswa mbususu wajichukulie kama zawadi ya vita, kwahiyo wakajisevia vibinti vidogo ambavyo una muonea wivu navyo Mohamadi
 
Kwahiyo sisi kuwa waalimu tu unaona wivu? Mbona nyie kwenye ukristo kila mtu anaweza kuwa nabii mfano Nabii Tito, kuna yule Nabii Mashimo, kaa kwa kutulia 😂😂
Nabii sio ishu,mbona Muhammad ni mtume nayeye😂😂,unafikiri Muhammad awe mtume wwngine unabii uwashinde😂😂
 
Naam ndio maana wakina Musa waliposhinda vita wakaambiwa wale wanawake wasioguswa mbususu wajichukulie kama zawadi ya vita, kwahiyo wakajisevia vibinti vidogo ambavyo una muonea wivu navyo Mohamadi
Ndio maana sisi Mussa sio kiongozi wetu wa daraja.

Nayeye tunamsoma tu kama tulivyowasoma manabii wengine na madhambi yao kama daudi nk.

Sisi tuko na Yesu kaka.
 
Nabii sio ishu,mbona Muhammad ni mtume nayeye😂😂,unafikiri Muhammad awe mtume wwngine unabii uwashinde😂😂
Wewe ndio uache wivu kuwa waislamu waalimu wengi, kama sisi tusivyo waonea wivu manabii wenu wakina Mashimo 😂😂😂😂😂
 
Wewe ndio uache wivu kuwa waislamu waalimu wengi, kama sisi tusivyo waonea wivu manabii wenu wakina Mashimo 😂😂😂😂😂
Mashimo,titto,mwamposa na Muhammad hawa kwetu wote ni matapeli tu.na wote wana wafuasi😂😂😂😂
 
Ndio maana sisi Mussa sio kiongozi wetu wa daraja.

Nayeye tunamsoma tu kama tulivyowasoma manabii wengine na madhambi yao kama daudi nk.

Sisi tuko na Yesu kaka.
Sasa wewe na nani ? wakati Musa ndio muandishi wa vitabu vingi 😂😂😂 Wayahudi wanamjua na kumuheshimu musa wewe nani sasa ukatae, huyo aliweka bikira kwa ajili ya wapiganaji wake
 
Naweka Aya ya kitabu Cha Mungu wangu.

Surat Threesome 69:69
"Asemaye yakobo alikuwa muislam ni kichwa boga, enyi wanadamu kwanini hamzinduki akili??"

Haya namimi nimeweka apo ushahidi, njoo tubishane Kwa ushahidi.
Aya za kitabu Chako Vs. kitabu changu.
 
Mashimo,titto,mwamposa na Muhammad hawa kwetu wote ni matapeli tu.na wote wana wafuasi😂😂😂😂
Huko ni kuchanganyika hao ni wasomi wa Biblia ni ndugu zako acha kutuletea uchafu wako kwenye Uislamu 😂😂😂😂
 
Naweka Aya ya kitabu Cha Mungu wangu.

Surat Threesome 69:69
"Asemaye yakobo alikuwa muislam ni kichwa boga, enyi wanadamu kwanini hamzinduki akili??"

Haya namimi nimeweka apo ushahidi, njoo tubishane Kwa ushahidi.
Aya za kitabu Chako Vs. kitabu changu.
Mkuu bangi uvute ukiwa umeshiba
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Uko sawa
 
Back
Top Bottom