ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Mungu baba na Mungu mwana nani ni mkuu kuliko mwengine au wote wako sawa?Wakristo wanamubudu Mungu na Si Maria, Yusufu, sijui Issa, mtakatifu pyey pyee.
Mungu mmoja nafsi ttu yaani :-
1. Mungu baba
2. Mungu mwana [YESU]
3. Mungu roho mtakatifu.
Wewe ukikataa unatakiwa kuja kutoa andiko lako kuwa Yakobo alikuwa Mkristo au myahudi? sio kuleta mipashoTena wanawakusanyaga vizuri na kuanza kuwalisha matango pori,,, wakitoka hapo wanakuja kupiga makelele kama wamevumbua kitu fulani cha ajabu sana duniani
Hoja ipo mezani, jikite hapoQuran Haina SIFA wala MAMLAKA ya kuwa KITABU cha REJEA labda Kwa wanao Tunga Mashariti na nyimbo za taarab...
Mambo ya historia hayana uhusiano na mambo ya Mungu, ndio maana hao wana historia wanakuja na vitu vya ajabu, mara binadamu alianzia kwenye sokwe n.k, mambo ya Mungu jikite kwenye vitabu vya imaniMkuu hata historia ya std4 haujasoma?
Miaka elfu ngapi toka Yakobo hadi kuzaliwa Mwamed?
Mungu alikuweko kabla ya Ibrahim na akawepo baada ya Ibrahim, huyo ndio Mungu muumba wa mbingu na nchi , kwahiyo usituchagulie Mungu kuanzia Ibrahim mara IsakaM
Mungu gani huyo mmoja? Sema kuna Mungu na miungu labda ndiyo unayoiongelea hapa kwenye kijiwe, halafu hiyo miguu ya ndege uliochora chora hapo hatuijui, tupe tafsiri .
Kuna Mungu wa Ibrahim, Mungu Isaka na Mungu wa Yakobo, baada ya hapo ni KRISTO YESU.
Tuambie wewe Yakobo alikuwa Dini gani ili mtoa mada awe amesema uongo kwa andiko sio maneno matupu?Uislam umezaliwa miaka 500 baada ya Yesu Kristo kupaa, na ni miaka kama 3000 (afu tatu) tangu Yakobo afariki. yet, mtu asiyejua kusoma na kuandika anakuja kuwadanganya hawa viumbe kuwa Yakobo alikuwa muislam. kwahiyo alikuwa muislam kabla uislam haujaanzishwa hapa duniani? kwani uislam si umeanzishwa na mohamed? na mohamed si nabii wa uongo wa juzi tu hapa aliyekuja kuchambua Biblia aipindishe akasahau kutunza maneno ya akiba? hivi mna ubongo kweli?
Badala ya kuuliza haya maswali ebu tuambie wewe Yakobo alikuwa dini gani?Kwahiyo Yakobo alikuwa Muislam kabla ya Uislam wenyewe!!!??? Quran ilishushwa enzi za Mohammad kwa maana nyingine Uislam ulianzia hapo quran iliposhushwa maana hiyo ndo mwongozo wa uislam. Angalau unhesema alikuwa Myahudi
Hii aya tulisha waeleza ndio wa kwanza kwa Nyakati zake (umma wake), ila huko nyuma pia nabii husika wa umma husika pia alikuwa wa kwanza kufundisha imani na kusilimu kisha anawaendea binadamu wengine
Aya ya 2:37, 6:14, 39:12 muhamadi anasema ameamrishwa awe wa kwanza ku slim ( kuwa mwisilamu) hizo aya aya ambazo alikuwa anasema sijui Yakobo ni muislam zilikiwa kamba, anawadanganya waarabu ili wamuamini. Muhamad ni tapeli tapeli na msanii sana
Braza kuna kitu nataka nikufahamishe tena ni rahisi sana yaani hata kama hukusoma darasa moja unaweza kuelewa.Katika ujenzi wa jambo lolote kuna mtiririko ufuataoAkili za hawa jamaa......
Alikua muislamu swala 5 swafi kabisa hata kitimoto na pombe hagusi yaheeWewe ukikataa unatakiwa kuja kutoa andiko lako kuwa Yakobo alikuwa Mkristo au myahudi? sio kuleta mipasho
Wacha we leo kuna kigodoro mkuranga acha nkakodi na matarumbeta amiJikite kwenye hoja acha kelele
Hata ukinunua ni kwa faida yako, uhuru wa mtu upewe heshima yakeWacha we leo kuna kigodoro mkuranga acha nkakodi na matarumbeta ami
Tafsiri yake ni kwamba umekosa andiko la kupangua andiko la mtoa uzi, sasa unaleta porojo tuuuAlikua muislamu swala 5 swafi kabisa hata kitimoto na pombe hagusi yahee
Waislamu wa facebook mnatuchanganya sana,hivi dini yenu ilianzishwa lini ,mbona mnatuvuruga sana.Uislamu ulikuja zama za mtume tena baada ya kuteremshwa quran na ndio maana mtume akasema yeye atakuwa wa kwanza kwa waliosilimu..kumbuka mtume miaka yake yote 39 hakuwa muislamu (Alikuwa mpagani) je kama uislamu ulikuwepo kwa nini ajiite wa kwanza kusilimu?.Na kama haitoshi kuna aya Allah anazungumzia waliotangulia kabla yenu..je kama ulikuwepo uislamu kwa nini aseme waliotangulia kabla yenu.Kwanza pia nina wasi wasi kabla ya quran hata Allah hakuwepo maana sidhani kama kuna kitabu ambacho kilimzungumzia zaidi ya quran..japokuwa yeye anavitambua vitabu vya zaburi,torat na injili ila sina uhakika kama vimemzungumzia.Wadau hamjamboni nyote?
Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."
Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.
Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.
Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali
Niwatakie siku njema wapendwa
Nukuu:
Surah Al-Baqarah Ayat 133
أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Correctly answered, Hakukuwa na Dini kwa jina Christianity, Wala Judaism, Wala Islam. Kulikuwa na kuishi kwa mapokeo ya manabii. Dini ziliundwa na serikali mbalimbali kwa kuibia ibia way of life (walikuwa wamestaaribika kuhusu kuwa wasafi kwa kumawa, kutahiriwa n.k) ya Jews na mdio maana hata sasa wanadamu sehemu nyingi dunia wanaendelea kujitambua na kuiachanisha serikali na usimizi wa Dini. Mwisho wa siku Dini itakosa wa kuibeba, hatimaye, kifo.Nabii Yakubu (Jacob) alikuwa ni mtumishi wa Mungu aliyeishi kabla ya Uislamu, Ukristo, au Uyahudi kujitokeza kama dini zilivyo leo. Katika Uyahudi na Ukristo, anachukuliwa kama mmoja wa mababu wa taifa la Israeli. Katika Uislamu, Yakub anaheshimiwa kama nabii na mmoja wa mitume wa Mwenyezi Mungu, lakini Uislamu ulianzishwa na Mtume Muhammad karne nyingi baada ya maisha ya Yakub.
Kwa hiyo, ingawa Yakub anaheshimiwa katika Uislamu kama nabii, hakuwa "Mwislamu" kwa maana ya kufuata dini ya Kiislamu, bali alikuwa mfuasi wa Mungu Mmoja aliyehubiri ujumbe wa kumtii Mwenyezi Mungu, sawa na manabii wengine waliomtangulia Muhammad.
Hujakosea kabisa,,,,,,ndo maana nimekuja kwa ulamaa nielewe vizuri leta habari amiiTafsiri yake ni kwamba umekosa andiko la kupangua andiko la mtoa uzi, sasa unaleta porojo tuuu
Na mie nna mpango wa kupiga makelele kama vile visupika vya masijidi vinavotusumbuaHata ukinunua ni kwa faida yako, uhuru wa mtu upewe heshima yake
Mimi niko na mtoa nyuzi si ametoa andiko hapo, wewe lete andiko lako kumpinga sio maneno matupuHujakosea kabisa,,,,,,ndo maana nimekuja kwa ulamaa nielewe vizuri leta habari amii
Usumbufu kawaida tu mbona hata hapa jirani kwangu zinapigwa kengere na maisha yana endeleaNa mie nna mpango wa kupiga makelele kama vile visupika vya masijidi vinavotusumbua