HURUMA: Mdude Nyagali awatoa machozi wajumbe wa Kongamano la Katiba Mpya

HURUMA: Mdude Nyagali awatoa machozi wajumbe wa Kongamano la Katiba Mpya

CHADEMA
ni imani
ni fikra
ni falsafa
Kwa mbinyo ule awamu ngumi ( 👊,5) ,bado wamo.
Kama wamegoma kuchukua ruzuku,shughuli hizo nani anagharimikia.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Hilo la kutumia lugha mbaya inabidi ajirekebishe,haimsaidii chochote.
Kwanini hiyo luga mbaya alietumia Mdude haiwekwi wazi? inwezekana ni ile kusema Raisi akileta "jeuri" na jeuri maana yake ukaidi, na maana yake ni kukataa kila jambo jema unaloshauriwa bila sababu yoyote.
Wembe uleule niliomnyoleya MWENDAZAKE, inawezekana Mdude anaamini mabaya aliokuwa akimwombea mwendazake kwa mola, ndio yaliosababisha aendezake.
 
Back
Top Bottom