Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
au angeuawaEnzi za shetani mwendazake meneja wa huo ukumbi leo angebinwa mapumbu mpaka akome.
Jamaa alikuwa katili sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au angeuawaEnzi za shetani mwendazake meneja wa huo ukumbi leo angebinwa mapumbu mpaka akome.
Jamaa alikuwa katili sana
Haya makapi ya mwendazake.unamuitaje fala Mandela wa Tanzania ?
Mbowe huyu kawa Mandela wa Tanzania.....hahahahahaha..unamuitaje fala Mandela wa Tanzania ?
Viongozi wakuu wa serikali msioweza kuvumilia lugha za maudhi achieni ngazi mkafanye shughuli zenu binafsi, mtaani kuna kundi kubwa la vijana kwa wazee walio tayari kuwa viongozi wakuu wa serikali na wakavumilia lugha za maudhi.Mdude akiweza kuacha matusi na lugha za kuudhi kwa viongozi wakuu wa serikali anaweza kuja kuwa mwanasiasa mzuri
Weka akiba ya manenoKwakweli Mdude alitekwa mara kadhaa kabla ya kubambikiwa kesi ya kutoa Madawa ya kulevya Afghanistan na kuja kuyasambaza Mkoa wa Mbeya
Kama Nchi Huru tulifika pabaya sana Mungu katuletea Raisi Samia tunamuona kama Lulu ing'arayo.
Wewe endelea kunufaika waache wasionufaika na wasiojua wajifunze kipi wanapaswa kujua na nini wanachokisimamia na kukiamini.kongamano la katiba mpya ya chadema
Nguvu ya umma,kwa umoja wao kwa imani yao na kwa falsafa yao ya kizalendo tena uliokuwa halisi, Bila maslahi binafsi ndani yake.CHADEMA
ni imani
ni fikra
ni falsafa
Kwa mbinyo ule awamu ngumi ( 👊,5) ,bado wamo.
Kama wamegoma kuchukua ruzuku,shughuli hizo nani anagharimikia.
Katiba Mpya ni muhimu sana, uwepo wa Mdude kwenye hilo kongamano ndio kunachagiza zaidi upatikanaji wa Katiba Mpya.
Hatuwezi kama taifa kuendelea kuishi kwa kutegemea hisani za viongozi wa CCM, akiwepo mbaya aonee raia, akiwepo mwenye huruma ndio raia wapate afadhali, hili lazima liondoshwe.
Tujiulize, kama leo Magufuli bado angekuwa Rais wa hii nchi, Mdude angekuwa wapi kwa jinsi mahakama zetu zilivyokuwa zimeshikwa na ikulu? ni wazi, Mdude angekuwa anatumikia kifungo wakati huu tena kwa makosa ya kubambikiwa.
Tuamke sasa, wakati ndio huu, Katiba Mpya ni lazima ipatikane ije kutuweka huru kwenye nchi yetu, irudishe usawa wa raia kwenye taifa letu bila kujali itikadi, rangi, wala dini zetu, na rasilimali za nchi yetu zitunufaishe sote sio kikundi kidogo cha watu pekee wanaolindana.
Wale wote wanaopinga upatikanaji wa Katiba Mpya ni wanyonyaji wanaoishi kwa kunywa damu za watanzania wenzao (zombies), akili zao bado zimelala, tusichoke tuendelee kuwaamsha wala tusiogope eti tutalala sisi, wataamka tu, kwa sababu Katiba Mpya itakuwa kwa manufaa yao pia.
NimekuelewaWeka akiba ya maneno
Hawana ushahidi ni uonevu tuWengi humu ndani wanaongelea matusi ya Mdude wakati alishtakiwa kwa madawa ya kulevya, ambapo imeonekana ni ya kubambika. Ilishindikana vipi kumfungulia kesi ya matusi kama ushahidi ulikuwepo?
Sasa yule aliyekuwa akiwaita Wapinzani vilaza alistahili kupigwa Mawe.Kama Samia ni LULU basi muitunze kwa kuiepushia Yale matusi yenu kwa hayati JPM.....
Hakuna Mtu anayekataa lakini si angefunguliwa mashtaka ya kumdhalilisha Raisi sasa jiwe amemteka mara mbili na kumbambikia kesi ya Madawa.Hata waswahili walitunga methali kuwa Asiye sikia la mkuu,uvunjika mguu.Unawezakuwa mwanasiasa bora basipo matusi,akina Slaa,Mbowe, Zito,wamekuwa wanasiasa mashuhuri nchi pasipo kutukanana,na watu tuliwaelewa,Siasa ni hoja sio matusi,kumbuka huyo unayendhalilisha kwa matusi ni mkuu wa nchi,pia anafamilia,
watakuwa wamenyanduana sana jana hawa watukongamano la katiba mpya ya chadema
Hiyo ndio dawa ya njinga kama yule, maana alikuwa anajificha kwenye chaka,hata wangelimpeleka mahakamani wasingempata,hiyo ndio ilikuwa dawa yake.Hata . hivo amejifunza kitu,sidhani kama atarudia tena.Hakuna Mtu anayekataa lakini si angefunguliwa mashtaka ya kumdhalilisha Raisi sasa jiwe amemteka mara mbili na kumbambikia kesi ya Madawa.
Kwahiyo kwanini usishauri muswaada usipelekwe Bungeni ili tuwe na Sheria ya kuteka wapinzani wa mitandaoni na wanaomdhalilisha Raisi ili iwe Dawa komesha ya Chadema?Hiyo ndio dawa ya njinga kama yule, maana alikuwa anajificha kwenye chaka,hata wangelimpeleka mahakamani wasingempata,hiyo ndio ilikuwa dawa yake.Hata . hivo amejifunza kitu,sidhani kama atarudia tena.
Hilo la kutumia lugha mbaya inabidi ajirekebishe,haimsaidii chochote.Kivipi?