n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
😀 😀 😀 Chama cha mfukoni kwa Mwenyekiti.kongamano la katiba mpya ya chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 😀 Chama cha mfukoni kwa Mwenyekiti.kongamano la katiba mpya ya chadema
Tusi liko wapi , mbona ni swali tu ?Mkuu, mkandahari, Hivi unajua sjakutukana hata kidogo, nashangaa umeporomosha matusi ya hatari kwangu!
Kwa kosa lipi sasa, na umepata nini sasa kumtukana mzazi wangu aisee!!
Na hii ligi mkuu usithubutu tena kuisnzisha aisee
Wakati ukutaMama alitakiwa awakazie hawa kina faru John zaidi hata ya mwendazake ndio wangepata akili vizuri. Ukicheka na kima lazima uvune mabua tu.
wewe sinaga utani na wewe, ni makosa makubwa kuondoa heshima yako kwa jambo la kipuuzi kiasi hiki mkuu, TafadhariTusi liko wapi , mbona ni swali tu ?
Machozi yakwapi?Kwa hiyo makamanda wamelia!!?
Matusi na dhihaka ndizo zinazombeba.....Mdude akiweza kuacha matusi na lugha za kuudhi kwa viongozi wakuu wa serikali anaweza kuja kuwa mwanasiasa mzuri
Kama Samia ni LULU basi muitunze kwa kuiepushia Yale matusi yenu kwa hayati JPM.....Kwakweli Mdude alitekwa mara kadhaa kabla ya kubambikiwa kesi ya kutoa Madawa ya kulevya Afghanistan na kuja kuyasambaza Mkoa wa Mbeya
Kama Nchi Huru tulifika pabaya sana Mungu katuletea Raisi Samia tunamuona kama Lulu ing'arayo.
kusokotea siyo tusiwewe sinaga utani na wewe, ni makosa makubwa kuondoa heshima yako kwa jambo la kipuuzi kiasi hiki mkuu, Tafadhari
Tumia akili! Na maswali ya Ben Saanane kuhusu PhD ya mwendazake yalikuwa ni matusi?Ngoja tuone mama naye akizingua kama ataanza kuporomosha matusi. Mdude ni mwanaharakati mzuri lakini sijui alikuwa anapata faida gani kuporomosha matusi non stop. Kwa matusi yale hata sasa akianza kumtukana mama laivu namna hiyo watamkamata tena.
Kabla uongo wake wa list feki ya Lisu kulipwa mafao yake na bunge haujakauka vizuri leo malisa ameamua kuhara uongo mwingine!Mdude ni Kama TUNDU LISSU....
Ni watu wenye midomo michafu yenye KEDI ,KEBEHI ,DHARAU NA MATUSI.....
Ukiwatukana wenye NGUVU kamwe hawatokuacha.....
Mkuu umechoka kuheshiwa?kusokotea siyo tusi
Kuwa mwanaharakati siyo lazima kuporomosha matusi. Mbona wapo wanaharakati wengi tu wanaopiga harakati zao kwa kuheshimu mamlaka? Mwambieni abadilishe staili ya harakati zake. Akianza kumtukana Mama kwa matusi yale watamsweka ndani tena. Hilo halina mjadala!Tumia akili! Na maswali ya Ben Saanane kuhusu PhD ya mwendazake yalikuwa ni matusi?
msitunge mashtaka ya uongo , washitakini kwa hakiMdude ni Kama TUNDU LISSU....
Ni watu wenye midomo michafu yenye KEDI ,KEBEHI ,DHARAU NA MATUSI.....
Ukiwatukana wenye NGUVU kamwe hawatokuacha.....
RBC hivi ukimtukana BABA yako iweje umlaumu kwa adhabu atakayokupa?!!!msitunge mashtaka ya uongo , washitakini kwa haki
Katiba ya Nchi haiendeshwi kama Jando na unyagoRBC hivi ukimtukana BABA yako iweje umlaumu kwa adhabu atakayokupa?!!!
Hivi JANDONI NA UNYAGONI hatufundishwi ADABU NA NIDHAMU kwa wakubwa?!!
Kwa hiyo siasa za uliberali zimekuja kuundoa utu wetu waafrika?!!!
Katiba ya nchi haijaruhusu MATUSI NA DHARAU kwa Rais wa nchi.....Katiba ya Nchi haiendeshwi kama Jando na unyago