Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
Tafuta bwege mwenzako umuombe msaadaKuna haja pia ya kuangalia mtu wa kumuomba msaada!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta bwege mwenzako umuombe msaadaKuna haja pia ya kuangalia mtu wa kumuomba msaada!
Aliku block?Nshamsaidia msister hivi total 250k shida kweli kweli kwamba atanrudishia
Hadi leo ni mwaka aliniblock na urafiki ulikufa
Hawa viumbe sinaga huruma nao tena
Muwe mnajifunza kuacha shobo nyie k3ng3(samahani kwa tusi, nimekwazika sana)Nshamsaidia msister hivi total 250k shida kweli kweli kwamba atanrudishia
Hadi leo ni mwaka aliniblock na urafiki ulikufa
Hawa viumbe sinaga huruma nao tena
Huna mpango au hakutaki?sina mpango huo.
@Robert Heriel ubalikiwe sana,nilijifunza kuwa ivi nilivyo kutok kwenye nyuzi zakoNdo lugha zao, utasikia nimekumiss hatari [emoji16]
Nakubaliana na mdau aliyesema usimuonee hurum mwanamke.
Dont care about themKuna viumbe humu wanaleta mfumo jike, ukimsema vibaya tu mwanamke, umewakwaza.
Duh! Kwamba hata ungetimuliwa ni kivyako, yeye hajali?Yani na nilimpa sababu ya msingi tu...nkamwambia nfanyie mchakato kodi inabidi nilipe lakini alinifungia vioo ma.ma.e
Unaongea ubwege upi wewe?(sorry)Kama una uwezo saidia tu mkuu!
Mimi nikiona mwanaume anasema nina rafiki wa kike (kama hamkazi au mbia wa kibiashara) huwa namuona kama fala sana. Platonic friendships between genders only benefit the woman.Muwe mnajifunza kuacha shobo nyie k3ng3(samahani kwa tusi, nimekwazika sana)
Binadu changamoto mkuuDuh! Kwamba hata ungetimuliwa ni kivyako, yeye hajali?
😅😅Muwe mnajifunza kuacha shobo nyie k3ng3(samahani kwa tusi, nimekwazika sana)
Block ile blockAliku block?
SahihiSoma Uzi wa Robert ,,unasema usimuonee huruma mwanamke wa kustahiki huruma kidogo ni mama ako na Dada zako