atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Mara bomu likakulipukie ndaniKaribu vitu vyote unavyo vihitaji vigezo ninavyo, isipokiwa hilo la sogea tuishi kwanza, nafungaje ndoa sasa pasipo kufahamiana vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara bomu likakulipukie ndaniKaribu vitu vyote unavyo vihitaji vigezo ninavyo, isipokiwa hilo la sogea tuishi kwanza, nafungaje ndoa sasa pasipo kufahamiana vizuri.
Sikupingi mkuu 😂Huyu anaonekana ni mkongwe humu jf[emoji23]
Kwani wewe utafurahi nikijiita atlas girl utajisikiaje kwanini mtu asiumize kichwa kazi kukopy nakupaste wivu ni yeye ndio anayo sio mie kaniuziiTayari umeshamwonea wivu mwenzako
Sio mie kajizoleaa tu majina ya watu kwanini asitafute yakeTumeatambua janja janja uliotumia ndugu Mgombea ila tuko pamoja 🤣🤣🤣
Sina Sifa nduguShift Malizaneni mfunge hizi nyuzi zenu
Tunaendelea kuona mengi..[emoji3][emoji3]Wakuu mkapime uzito kama kweli mnakubalika, yaani uzito ni moja ya vigezo[emoji28][emoji28]
Wewe binti mtafuta mume kuna maswali nimekuuliza kwenye comment namba 114 lakini haujibu... uko serious wewe?Sio mie kajizoleaa tu majina ya watu kwanini asitafute yake
Jichanganye. Si kasema anatafuta mme. Ina maana alimpoteza. Sasa we kijana,unaenda wapi!Una kadi hai ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Una C ya Basic Maths O-level? Unajua kupika vizuri chapati za kusukuma? Utaweza kuwa mtiifu hata kwa maagizo usiyoyapenda?
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na nina sifa zote unazozihitaji hasa hiyo ya "Financial stable"
Anatafuta pa kujishikiza,akishaweka mambo yake sawa,ataendelea na safari. Sema tu hatujui anaelekea wapi. Bonge si bonge.financially stable huku mwenyewe umeigika, anza kwanza kuwa nawewe financially stable halafu utafute mwenzio wakufanana.
kama umepigika tafuta aliyepigika mwenzio.
Thanks babes.Warangi mabinam zangu,usiache kunialika kwenye ndoa mambo yakiwa ya motoo,Ila tu kuwa makini humu pia kuna mahayawani nadhani umeshayaona kwenye comments #Kila lakheri
Sina kadi ya chama Cha mapinduzi.Wewe binti mtafuta mume kuna maswali nimekuuliza kwenye comment namba 114 lakini haujibu... uko serious wewe?
Nikitafuta financially stable man simaanishi nataka kuondokana na umaskini wangu kupitia yeye, ila ninaepuka wanaume wanaotegemea wanawake kukamilisha mambo yao.New member. Uko Dar,na umeajiliwa temporaly. Unatafuta mme. Umechezewa weeee,mabaki umeona uwaletee wa JF. Hawakombiii
1. Umechoka na uzinzi
2. Unatafuta mwanaume financially stable.
Huyo humpati. Hesabu wamezishika vizuri. Yupo naemjua,ila nae sharti no moja. Kwenye kila utakachomkuta nacho,utarejesha 50% ya gharama. Ana nyumba,ana gari la kifahari,gharama za kusomeshwa mtapigiana hesabu uone utarudisha ngapi. Siyo unakuja na michupi chakavu tu,af badae unataka mgawane mali