Buseresere
Member
- Feb 17, 2011
- 41
- 29
Karibu vitu vyote unavyo vihitaji vigezo ninavyo, isipokiwa hilo la sogea tuishi kwanza, nafungaje ndoa sasa pasipo kufahamiana vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achukuwe mfano kwa peter msechu wamepambana sahizi wamejenga wanaishi jumba la kifahari japokuwa bonge.Kila la kheri.
Hapo "asiwe bonge", chukua hata bonge...alaf utamsaidia kupunguza uzito...
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.
Tumeatambua janja janja uliotumia ndugu Mgombea ila tuko pamoja 🤣🤣🤣Mtoa mada ukaona hilo jina ni zuri kuweka unique 😎😎😡😡😡
Hivi kumbe ni mrangi huyu dah sikuona hapoKamba hizi.
Sijawahi kuona mrangi mkristo. Wewe utakuwa msandawe.
Unamfahamu Jaji Lubuva aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na aliyemtangaza Magufuli kama Mshindi mwaka 2015. Yule ni Mrangi na RC.Hao wasandawe wanajidai tu warangi siyo warangi.
Uhu valuka ari ni wa Haubi au Itololo kura no kuri na vakristo varifooMsinga ni nkasu URI huu!!?
Uri mlaangi wa hai wewe!!?
Nene meeto ni changaa kuraa arami wewe wa haiii!!?
Kama wewe ni mrangi kweli utakua umenielewa!!
Na natangari vii lazima uvaluke wa Haubi maana kura na Itololo no vari fwee. Nanene nalola Haubi hei na hara maduki kabisa kwala Ashatu Kijaji. Lakini nalola mwislam [emoji23]Nijoree? Ndi mulaangi wa Haubi.
Tayari umeshamwonea wivu mwenzakoMtoa mada ukaona hilo jina ni zuri kuweka unique [emoji41][emoji41][emoji35][emoji35][emoji35]
Huwezi kujua kila kitu mama,wapo warangi wakristo wa katoliki.rejea aliekua askofu wa jimbo la UlangaKamba hizi.
Sijawahi kuona mrangi mkristo. Wewe utakuwa msandawe.
Heri hata umenisaidia kujibuSasa na majukumu ya ndoa itakuwaje? Nimecheka sana.
Huyu anaonekana ni mkongwe humu jf[emoji23]Mambo ya love connect haya
Sister unazingua, masharti mengi sana, eti "usiwe Sharobaro, usiwe brother man, USIWE WA MJINI, usiwe muongeaji, usiwe mgomvi, usiwe mkali, usiwe bonge" unatuonea sister, punguza hizo qualifications utakosa vijana wazuri huko PM.I have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.
Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.
Sifa za mtu nimtafutaye:
A man that can handle a family. Meaning financially stable.
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.
Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.
Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 70's. Or 60's.
Karibu PM.
Chawa kama chawa,lazima uwe vizur kifinancialUna kadi hai ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Una C ya Basic Maths O-level? Unajua kupika vizuri chapati za kusukuma? Utaweza kuwa mtiifu hata kwa maagizo usiyoyapenda?
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na nina sifa zote unazozihitaji hasa hiyo ya "Financial stable"
Vigezo vyake apoTusikupatie support?🤣
Siko na sifa hata moja hapo ya kumpata🤣
Mimi sio Bonge ila nina 89 Kg .. dada hutak wenye kilo nyingi tukipanda kwa juu lazima ujambe..Usiwe bonge please uzito wako uwe around 70's. Or 60's.
Karibu PM.