MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Umejibu kwa weledi wa hali ya juu. Hongera kwa kupata B ya hesabu. Kama pilau unajua kupika basi haina shida chapati tutanunua kwa jimama fulani jirani. Uje PM tuendelee na hatua muhimu zinazofuata. Umri wako wa 29yrs ni mzuri.Sina kadi ya chama Cha mapinduzi.
Nina B+ ya Mathematics O level.
Chapati za kusukuma nimejifunza ila bado sijazipatia kuzipika lakini vyakula vingine eg Pilau, la kwangu ni tamu hujawahi kula ever in your life. Maagizo nisiyoyapenda naweza kuyatimiza lakini yawe yanamake sense in my head. Nikichekecha nikaona hayaniingii akilini naweza nisiyafuate 100%.
Mie siye mtaka mumeWewe binti mtafuta mume kuna maswali nimekuuliza kwenye comment namba 114 lakini haujibu... uko serious wewe?
mkuu hana kadi ya ccm pengine ana kadi ya chadema msije mkawa wapinzaniUmejibu kwa weledi wa hali ya juu. Hongera kwa kupata B ya hesabu. Kama pilau unajua kupika basi haina shida chapati tutanunua kwa jimama fulani jirani. Uje PM tuendelee na hatua muhimu zinazofuata. Umri wako wa 29yrs ni mzuri.
Mwanaume financial stable inatosha ivyo vigezo vingine vyakutafutia mwanamke siyo mwanaume
We kata kona ushakosa vigezo bonge bonge la mtu unaweza mziba akashindwa kupumua siku ya honi muni 😀😀😀Sisi vibonge vipi
Masharti mengi mnoI have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.
Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.
Sifa za mtu nimtafutaye:
A man that can handle a family. Meaning financially stable.
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.
Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.
Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 80's. Or 60's.
Karibu PM.
utiifu hata kwa maagizo asiyoyapenda ni kuwa na kadi ya CCM. Hatashindwa kutii kama yuko serious. Pia mapenzi hayana chama.mkuu hana kadi ya ccm pengine ana kadi ya chadema msije mkawa wapinzani
Erii eeh!hara itololo mission huu!!!!Aye hara kivulini hara itololo kwa shangazi yane hara!!Uhu valuka ari ni wa Haubi au Itololo kura no kuri na vakristo varifoo
Nene sinawahi fika Itololo bwete nona kibao vii hara Masawi Lembo basi. Nikala sana berabera ko wakumanyireErii eeh!hara itololo mission huu!!!!Aye hara kivulini hara itololo kwa shangazi yane hara!!
Bera Bera kwala Mwenda filipo,kwala mikidadi,kwala mwinyi makha !Eri master joji amware Bera Bera huu!!?Nene sinawahi fika Itololo bwete nona kibao vii hara Masawi Lembo basi. Nikala sana berabera ko wakumanyire
Huyu wa hii sifa nafikiri nanda AI wakutengenezeeI have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.
Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.
Sifa za mtu nimtafutaye:
A man that can handle a family. Meaning financially stable.
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.
Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.
Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 80's. Or 60's.
Karibu PM.
Alikua amefunga ndoa chuoniUjana wako 18-28 yrs ulikula na nani?
Aisee...sii mchezo. Vipi sie wenye vibamia tunaweza tuma maombi? Hela ya kutunza ninayo ila ni kibamiaI have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.
Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.
Sifa za mtu nimtafutaye:
A man that can handle a family. Meaning financially stable.
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.
Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.
Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 80's. Or 60's.
Karibu PM.