Husband is needed

Husband is needed

Sina kadi ya chama Cha mapinduzi.
Nina B+ ya Mathematics O level.
Chapati za kusukuma nimejifunza ila bado sijazipatia kuzipika lakini vyakula vingine eg Pilau, la kwangu ni tamu hujawahi kula ever in your life. Maagizo nisiyoyapenda naweza kuyatimiza lakini yawe yanamake sense in my head. Nikichekecha nikaona hayaniingii akilini naweza nisiyafuate 100%.
Umejibu kwa weledi wa hali ya juu. Hongera kwa kupata B ya hesabu. Kama pilau unajua kupika basi haina shida chapati tutanunua kwa jimama fulani jirani. Uje PM tuendelee na hatua muhimu zinazofuata. Umri wako wa 29yrs ni mzuri.
 
Umejibu kwa weledi wa hali ya juu. Hongera kwa kupata B ya hesabu. Kama pilau unajua kupika basi haina shida chapati tutanunua kwa jimama fulani jirani. Uje PM tuendelee na hatua muhimu zinazofuata. Umri wako wa 29yrs ni mzuri.
mkuu hana kadi ya ccm pengine ana kadi ya chadema msije mkawa wapinzani
 
Nakumbuka pale mgomeni demu wa kirangi alifumaniwa na mume wa mwanamke mwenzie asee.

Kesho yake huyo namuona demu anaosha vyombo nje ya nyumba yao.

Nikapiga mstari mwekundu.

Warangi ni pisi kali ila asee wanapenda kuchovywa chovywa sana japo sio wote. WARANGI PEPO YENU MNAYO.
 
I have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.

Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.

Sifa za mtu nimtafutaye:

A man that can handle a family. Meaning financially stable.

Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.

Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.

Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 80's. Or 60's.

Karibu PM.
Masharti mengi mno
Dada usikariri maisha
Kwani lzm awe anaishi dar?
😅
 
I have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.

Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.

Sifa za mtu nimtafutaye:

A man that can handle a family. Meaning financially stable.

Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.

Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.

Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 80's. Or 60's.

Karibu PM.
Huyu wa hii sifa nafikiri nanda AI wakutengenezee
 
financially stable? we acount yako ya benki inasoma milioni mia ngapi? KATAA NDOA NDOA NI UNYONYAJI MTU AKIPIGIKA NA MAISHA ANAKIMBILIA KUOLEWA
 
I have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.

Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.

Sifa za mtu nimtafutaye:

A man that can handle a family. Meaning financially stable.

Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.

Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.

Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 80's. Or 60's.

Karibu PM.
Aisee...sii mchezo. Vipi sie wenye vibamia tunaweza tuma maombi? Hela ya kutunza ninayo ila ni kibamia
 
Back
Top Bottom