Husband is needed

Sister unazingua, masharti mengi sana, eti "usiwe Sharobaro, usiwe brother man, USIWE WA MJINI, usiwe muongeaji, usiwe mgomvi, usiwe mkali, usiwe bonge" unatuonea sister, punguza hizo qualifications utakosa vijana wazuri huko PM.

Kwa hizo qualifications unaonekana unamtafuta "Prince charming" anayepatikana ndotoni tuu.
 
Chawa kama chawa,lazima uwe vizur kifinancial
 
Unazeeka ndio unakumbuka kua kuna wanaume wa kukuoa? Ujana wako 18-28 yrs ulikula na nani? Nenda kale ukikocheza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…