DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Toka nizaliwe cjawah ona mrangi ambaye ni mkristo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mimi nitakomaa kujenga hoja yangu.Kuna vitu vya kushindana na kuna vitu vya kutoshindana, sasa mim kam namwambia kuna Warangi tunakula nao kitimoto na ni wakristo alaf yey anabisha sasa utalazimisha
Kaza buti kijana maisha ni mafupi halafu huko mbinguni (kwa wakristo) hakuna kuoana so ukifa ndo umekufa na mbegu zako za kiume, changamka mapema kabla hujafa.Mapenzi sio siri, aseme tu...kaka niko tayari...hapo ndio tuhamie pm kuyajenga
Haha hauko siriazKaza buti kijana maisha ni mafupi halafu huko mbinguni (kwa wakristo) hakuna kuoana so ukifa ndo umekufa na mbegu zako za kiume, changamka mapema kabla hujafa.
😂😂Tatizo Vigezo Vingi kama Kazi za TAMISEMI,
Hata hivyo Kumuoa mwanamke anayekaribia Miaka 30 Hayo sio mapenzi ni Tukio la uokoaji.
Mwanaume kuwa na uzito 60 kg unataka mbilikimo? Mimi siyo bonge ila uzito wangu 86. Hizo 63 kg nilikuwa nazo nikiwa form four.I have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.
Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.
Sifa za mtu nimtafutaye:
A man that can handle a family. Meaning financially stable.
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.
Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.
Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 70's. Or 60's.
Karibu PM.
Umri na makazi vimenikosesha mrembo wa kirangi!I have just turned 29, Mimi ni mdada, maji ya kunde, si mfupi, siyo kibonge Wala siyo mwembamba. Kabila langu ni mrangi, mwenye degree, ni mkristo RC, I don't take alcohol, nimeajiriwa temporary lakini, I am looking for someone to wifey me. I don't have a kid yet. Napatikana Dar es Salaam.
Natafuta ready to settle man. Mtu aliye tayari to wed. Siyo sogea tuishi.
Sifa za mtu nimtafutaye:
A man that can handle a family. Meaning financially stable.
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, asiye na hasira na ugomvi. Umri 30-39.
Awe mkristo RC itapendeza zaidi. Asiwe mbabe. Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam.
Usiwe sharobaro wala Brother men. Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. Usiwe bonge please uzito wako uwe around 70's. Or 60's.
Karibu PM.
Mimi sipelekeshi mtu I am humble, trust me.
Kamba hizi.
Sijawahi kuona mrangi mkristo. Wewe utakuwa msandawe.
Sasa kama anayemuona anachagua humu mitandaoni atachaguaje? Ngoja akutane na bandidu akili zimkae sawa.Hahahaha, wanachagua sana hao ,ukiwakuta mtaani
Acha udini, warangi wakatoliki wengi sana. Jimbo kuu dodoma mapadre, masista, waumini wengi warangi. Kule kondoa kuna jimbo kabisa maana warangi ni wengi sana. Nenda Haubi, Itololo, hurui ni RC manazi.Kamba hizi.
Sijawahi kuona mrangi mkristo. Wewe utakuwa msandawe.
Nyumbani kwa Isuja RIP. Napafahamu, nilikuja parokiani enzi za fr. Kachiwire. Nadhani ulikuwa mtoto.Nijoree? Ndi mulaangi wa Haubi.