Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Aliyehustle hawezi show offTulia wewee,wanashow off hustle zao unaumia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyehustle hawezi show offTulia wewee,wanashow off hustle zao unaumia nini?
Kama Mayweather vile ni ushamba fulani hivi Kama bashite kulimbukia ukubwani😅😅😅 kina ginimbi na wahaya kadhaa.
Kama anataka viewsUnaweza kudhani ni mere show off, mwenzako ndiyo business yenyewe hiyo inamwingizia mkwanja
Unabisha sababu ya umaskini tu, shika kwanza 100B Tzs afu tukujue tabia yako.Aliyehustle hawezi show off
Aaah wapi sijaja Mkubwa mjiniUnabisha sababu ya umaskini tu, shika kwanza 100B Tzs afu tukujue tabia yako.
AmeenWalaaniwe wote wanaozima mafanikio ya vijana.
Hizo pesa mbona ndogo Sana Kama ukilifuma chimbo la mercury.Unabisha sababu ya umaskini tu, shika kwanza 100B Tzs afu tukujue tabia yako.
Nakubali mwamba[emoji106][emoji16]Hizo pesa mbona ndogo Sana Kama ukilifuma chimbo la mercury.
Hadi uwe na connection,life bila connection utokiTunazipataje boss 100Bil
.....................Ni ujinga tu,yuko wapi sasa si huyo hapo wameshamng'ang'ania?angekaa kimya angeendelea kutusua mdogo mdogo ila miluzi yake mwenyewe imemuuza.Tulia wewee,wanashow off hustle zao unaumia nini?
Hapo ndio ujinga wetu unapoanzia......................Ni ujinga tu,yuko wapi sasa si huyo hapo wameshamng'ang'ania?angekaa kimya angeendelea kutusua mdogo mdogo ila miluzi yake mwenyewe imemuuza.
Yupo jamaa mmoja wa kiarabu ni hacker nadhani ni mu-Algeria yeye ishu zake alikuwa anapiga kwenye ma international banks tu yaani alikuwa akipata upenyo tu anasafisha account ila alikuwa hamiliki hata Altezza hata siku alipokamatwa Thailand huko hawakuamini kama ni yeye kwa jinsi alivyokuwa amevaa ila hii rangi ya mkaa hela kidogo tu server za mitandao zinajaa mapicha mapicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapo aisee ni pagumu kuelewa lakini kwa hesabu za fasta fasta nimeanza kuwajua wote hao Hush na Ginimbi muda tu na niseme kwamba Ginimbi bado yuko vizuri zaidi ya Hush, yaani Hush hawezi kuta kitu kwa Boss G japo kwenye darasa huyu Hush yuko modernized.iv huyu jamaa anamzid marehemu Ginimbi?
Nilitegemea uoneshe ajakamatwa kumbe showoff ajanya na kadakwa.....................Ni ujinga tu,yuko wapi sasa si huyo hapo wameshamng'ang'ania?angekaa kimya angeendelea kutusua mdogo mdogo ila miluzi yake mwenyewe imemuuza.
Yupo jamaa mmoja wa kiarabu ni hacker nadhani ni mu-Algeria yeye ishu zake alikuwa anapiga kwenye ma international banks tu yaani alikuwa akipata upenyo tu anasafisha account ila alikuwa hamiliki hata Altezza hata siku alipokamatwa Thailand huko hawakuamini kama ni yeye kwa jinsi alivyokuwa amevaa ila hii rangi ya mkaa hela kidogo tu server za mitandao zinajaa mapicha mapicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa pont yako nini